Utiaji Saini Wizara Miundombinu Zanzibar
-
Katibu Mkuu wa Wizra ya Miundombinu na Mawasiliano Zanzibar Vuai Iddi Lila
akitia
Saini kwa niaba ya SMZ na Kulia ni Msaidizi meneja Wa Kampuni ya SOGEA ya...
Feb 14, 2011
ILIKUWA NI NASIBU AU?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

6 Maoni:
DUH! Hilo bonge la coincidence!
Au ndio GREAT minds think and DRESS alike nini?
Mumependeza! Ukiangalia kwa haraka licha ya mavazi mnafanana kwa sura!
Ama kweli huu ni mfananisho utafikiri mlijuzana. ila nawaonea wivu makubasi halafi t-shirt tu, na halafu bila kofia duh raha kweli. Ni kweli mmependeza, fananafanana na halafu wote mna nywele fupi:-)
Waoo! mumpeneza saaaaaannnaaaaaa nimetamani na mimi ningekuwepo ingekuwa mpango mzima
Inatokea hasa mkiwa na mtizamo mmoja na hobby sawa
Mie nilidhani mlikuwa katika sare rasmi....hiyo kweli ni bonge la coincidence.
Post a Comment