Tamko la Peen Lawyer kutokukubaliana na suluhu ya "Sugu" na Ruge
-
SIJAKUBALIANA NA MAPATANO YA SUGU NA RUGE/NA KAMA KWELI HIZI NI HARAKATI
BASI KINEGA BADO NTAZIENDELEZA. Unajua nini..! iam swahili original,,,na
ntaend...
Feb 9, 2011
AJALI KOROGWE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

2 Maoni:
Duh! inaonekana ajali ilikuwa kubwa lakini hata hivyo watu wanajali kupata mafuta tu. Na kama ilivyo wanajali maisha yao tu sio ya wengine. Pole kwa ajali natumaini hakukuwa na waliojeruihiwa wengi.
Umasikini huu, umasikini huu...utaisha lini. Watu kumetokea ajali , lakini kinachowazwa sio kusaidia ni jinsi gani nitapata chochote kwenye hiyo ajali hata ikibidi kuua...utu umeisha umbebakia unyama!
Post a Comment