0715 72 92 92

SHABAN KALUSE

Kwa Matangazo na mambo mbalimbali & Wasiliana Nami

http://www.serenahotels.com/serenadaressalaam/default-en.html

Nov 25, 2008

HOJA ZA MWANBLOG KAMALA!!!!!!!!!

Haya ni maswali ya mwanablog mwenzangu na mtambuzi wa maarifa haya ya utambuzi, ambaye amejitambua na pia kuitambua blog hii kama kitivo cha maarifa haya ya utambuzi.
Nafurahishwa sana na michango yake mbalimbali anayonipa katika kuiboresha blog hii.
Na mimi namuahaidi kuwa mswali yake yote yamepata majibu.

KAMALA...........
asante kwa makala nzuri sisi ni nini? lakini nina swali moja kwako. wakristo wanasema kwamba Yesu kristo alipaa mbinguni akiwa na mwili, je wewe unasemaje? kwa sababu umetuonyesha ni kwa kiasi gani mwili hutegemea vitu vya mavumbini au ardhini yaani mimea nafaka na maji.je tule nyama? mbona inaonekana sisi hatupaswi kula wanyama wenzetu?

Monday, November 24, 2008

No comments:
Andika Maoni Maoni

This Blog Designed by DonSoo, Contact 0656212326.DonSoo
Kaa Karibu na Mimi