<?xml version='1.0' encoding='UTF-8'?><?xml-stylesheet href="http://www.blogger.com/styles/atom.css" type="text/css"?><feed xmlns='http://www.w3.org/2005/Atom' xmlns:openSearch='http://a9.com/-/spec/opensearchrss/1.0/' xmlns:georss='http://www.georss.org/georss' xmlns:gd='http://schemas.google.com/g/2005' xmlns:thr='http://purl.org/syndication/thread/1.0'><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076</id><updated>2012-01-06T13:45:35.583+03:00</updated><category term='falsafa'/><title type='text'>utambuzi na kujitambua</title><subtitle type='html'>Blog hii itakuwa ikijihusisha zaidi na habari za elimu ya utambuzi, Maisha, pilikapilika za hapa na pale na ushuhuda kutoka kwa watu mbali mbali watakaohitaji kuelezea uzoefu wao katika maisha.
Naamini pamoja tutasaidiana kuiboresha Blog hii na kuwa ni kitivo cha taaluma hii ya utambuzi.
Naomba kuwasilisha.</subtitle><link rel='http://schemas.google.com/g/2005#feed' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/posts/default'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default?max-results=100'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/'/><link rel='hub' href='http://pubsubhubbub.appspot.com/'/><link rel='next' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default?start-index=101&amp;max-results=100'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><generator version='7.00' uri='http://www.blogger.com'>Blogger</generator><openSearch:totalResults>185</openSearch:totalResults><openSearch:startIndex>1</openSearch:startIndex><openSearch:itemsPerPage>100</openSearch:itemsPerPage><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-6377776766082774244</id><published>2011-09-21T16:17:00.007+03:00</published><updated>2011-09-21T16:32:35.900+03:00</updated><title type='text'>NAMNA YA KUTOKA KWENYE UTUMWA WA NDOA…….</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-NoKqG7qQsPs/Tnnl6Tv8olI/AAAAAAAAAjw/OxylxIygKrI/s1600/depression-440a012308.jpg"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; DISPLAY: block; HEIGHT: 266px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5654803597036921426" border="0" alt="" src="http://1.bp.blogspot.com/-NoKqG7qQsPs/Tnnl6Tv8olI/AAAAAAAAAjw/OxylxIygKrI/s320/depression-440a012308.jpg" /&gt;&lt;/a&gt; &lt;span style="font-family:Times New Roman;font-size:130%;"&gt;Sio lengo langu kuwafundisha wanawake namna yakuachana na wapenzi au waume zao. Lakini hebu fikiria kwamba kila wakati &lt;/span&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;wanandoa au wapenzi wako kwenye vita. Hakuna amani, hakuna masikilizano. Kutwa nzima mtu anawaza kuhusu uhusiano wake mbaya hadi anashindwa hata kufanya kazi. Je, hali kama hii ina maana kwa mtu kuendelea kuwa kwenye ndoa?&lt;?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-com:office:office" /&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt; &lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Hapa nazungumzia wale ambao wanashindwa kutoka kwenye uhusiano, ambao wanajua kabisa kwamba, unawatesa na kuwaumiza. Kuna sababu nyingi kwa nini watu hawa wanashindwa, lakini nyingine zinatokana tu na kutojua namna ya kutoka, sio utegemezi wa aina yoyote.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;font-size:130%;"&gt;Moja ya sababu, ambazo ninaziona sana hasa kwa wanawake ni kujali jamii itasemaje. Mtu anaona kabisa uhusiano haufai na anatamani kutoka . lakini anajiuliza, hivi watasemaje? Kuna wakati ndugu wanamwambia, yeye ndiye mkorofi. Kama hii ndio sababu anachotakiwa kufanya mwanandoa ni kuhakikisha kwamba anajifunza kuishi kama yeye. Nijuavyo mimi, hata wanandugu au jamii hata ikisema vipi, anayeumia au kuepuka kuumia au kuuawa ni yule aliye kwenye mateso ya ndoa&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Jambo la kujiliza hapa ni kama, jamii ndiyo inayopigwa, kutukanwa, kutelekezwa au kudhalilishwa? Lakini jambo kubwa zaidi la kufahamu ni kwamba mtu alishaolewa maana yake ni mtu mzima mwenye haki ya kuamua juu ya maisha yake. Akisbiri ndugu wamwamulie, basi huyo bado ni mtoto..&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Jambo lingine ni lile la, je nikimwacha nitapata mwingine? kwani wanaume siku hizi ni shida sana? Ni ujinga unaowafanya wengi kuuliza swali hilo. Unahitaji mwingine wa nini? Unahitaji mwingine ili maisha yako yawe ya maana zaidi au? Kama hakuna mwingine ni vyema kwa sababu maana yake ni kwamba hakuna mwingine wa kukutesa. Lakini wanasaikolojia wanaamini kwamba, ‘kila bidhaa ina mnunuzi.’ Kama unataka mwingine, hata ukiwa na miaka sitini utampata. Huwezi kumpata wakati ukiwa ndani ya tanuru la mateso. Ni lazima utoke kwanza.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Kuna wale wanaoshindwa kutoka kwa sababu wanaamini kwamba mwanamke haruhusiwi kutoa talaka. Hi siyo kweli. Kuna wanaoshindwa kutoka kwa sababu dini zao zinakataza kuachana, hii pia siyo kweli. Mwanamke au mwanaume, yeyote anaweza kuomba talaka na ikatolewa, kama kuna sababu zenye kukidhi haja hiyo. Chombo pekee kinachoweza kutoa talaka au kuidhinisha wanandoa kuachana ni Mahakama, siyo dini au taasisi nyingine. Kinachoitwa ‘talaka tatu’ kwa mfano, ni ushahidi tu, na sio talaka. &lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Kuna wale ambao hawako tayari kutoka kwenye uhusiano mgumu kwa sababu ya mali. Wanaogopa watagawana mali na wenzao, jambo ambalo hawako tayari kulifanya na mara nyingi hawa ni wanaume. Wapo pia wanawake ambao wao ndio waliokuwa watafutaji wakuu. Swali la kujiuliza ni hili. ‘Ni kipi bora, ni mali au ni amani na utulivu na uhai wako?’ kama ni mali, basi hakuna anayeweza kukuingilia kwenye uamuzi wako. &lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Lakini, kwa ufahamu tu, ni kwamba, pasipo na amani, mali haina maana na pasipo na amani uhai ni wa kubahatisha pia.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Wengine wanashindwa kutoka kwenye husiano kwa sababu wazazi wa mume na ndugu wanampenda sana. Anaogopa kuwaudhi kwa kuondoka kwenye ndoa ya mateso ya mtoto wao na ndugu yao. Anataka wafurahi, hivyo hawezi kuondoka. Huu nao ni upungufu.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Hivi unakuwa umeolewa na ndugu na wazazi au na mume? Lakini, kwani ukiondoka utashindwa kuwa karibu na watu hawa? Hutashindwa na pengine urafiki wenu utakuwa wa kudumu. Ukiendelea kukaa kwenye ndoa ya mateso kuna siku utakosana hata na hawa, maana unaweza ukalipukwa ukamuuwa mtoto au ndugu yao.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Kuna wale wanaoshindwa kutoka kwenye uhusiano mgumu kwa sababu wana watoto na wanaogopa kwamba, watoto wao watateseka. Hivi ni kuteseka kupi kubaya, kule kwa utotoni au ukubwani? Mtoto anayeishi kwenye ndoa yenye vurugu, anaharibikiwa kuanzia utotoni hadi ukubwani. Lakini, hata hivyo kuachana kwa wazazi, sio lazima kuwe na maana ya watoto kuteseka.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Kuna wakati hata watoto wanamwambia mama atoke kwenye ndoa, halafu mama huyo huyo anadai anakaa kwenye ndoa hiyo kwa sababu ya watoto! Kuna haja ya kujiuliza maswali kwa upana zaidi.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Ukitaka kutoka kwenye ndoa ngumu jiulize maswali haya. Je, ndoa hii ni kwa faida ya nani? Je, niliolewa au kuoa ili kupata shida au amani na upendo? Je, bila ndoa,nisingeweza kuishi mwenyewe? Tafuta mifano ya wasio na ndoa ambao wanafurahia maisha.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Jiulize ni kwa kiasi gani wengine wanasaidia kukusukuma zaidi kwenye ndoa hiyo? Jiulize ukamilifu wako. Je, wewe ni nusu mtu au mtu kamili? Kama ni mtu kamili , basi ishi kama mtu kamili.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;/p&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-6377776766082774244?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/6377776766082774244/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=6377776766082774244&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/6377776766082774244'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/6377776766082774244'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2011/09/namna-ya-kutoka-kwenye-utumwa-wa-ndoa.html' title='NAMNA YA KUTOKA KWENYE UTUMWA WA NDOA…….'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-NoKqG7qQsPs/Tnnl6Tv8olI/AAAAAAAAAjw/OxylxIygKrI/s72-c/depression-440a012308.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-3045530619198139477</id><published>2011-09-14T08:55:00.007+03:00</published><updated>2011-09-14T09:31:18.837+03:00</updated><title type='text'>THAMANI HULETWA NA UHABA!</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-OlDmkekshBQ/TnBGvanyC6I/AAAAAAAAAjY/d5tBvC5Lj3o/s1600/11.JPG"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; DISPLAY: block; HEIGHT: 240px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5652095312763947938" border="0" alt="" src="http://2.bp.blogspot.com/-OlDmkekshBQ/TnBGvanyC6I/AAAAAAAAAjY/d5tBvC5Lj3o/s320/11.JPG" /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/a&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="center"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;strong&gt;Mafuta yalipanda thamani kutokana na uhaba!&lt;/strong&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNoSpacing" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNoSpacing" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Uhusiano wa uhaba na thamani ni mada ambayo ikianza kujadiliwa aina kikomo. Kila mmoja wetu anajua kwamba maji ya mito kwa ajili ya kunywa ni kuhimu kwa maisha a binadamu.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNoSpacing" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Watu wa vijijini ambako kuna mito mingi hawaoni thamani thamani ya maji na ndiyo maana wanakunywa bure. Kwa maana hiyo pamoja na umuhimu wa maji, watu hao wanaona kwamba hayana thamani kwa sababu ni mengi. &lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Lakini watu wa miji kama Dar wanaona maji ni muhimu kwa sababu kwanza wanayanunua.&lt;?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-com:office:office" /&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNoSpacing" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Pili, yakikatika kwa muda wa wiki mtu, watu wanatafutana! Ndoo moja ya maji inapanda sana. Kwa hiyo kumbe thamani ya kitu inaongezeka kukiwa na uhaba wa kitu hicho.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNoSpacing" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Kama kitu siyo haba kama yalivyo maji kwa watu wa vijijini, thamani ya kitu hicho hupungua! Ni kama ilivyotokea hivi karibuni baada ya wauzaji na wasambazaji wa nishati a mafuta walipoanya mgomo baada ya serikali kushusha bei ya nishati hiyo, hali ilikuwa ngumu kweli hapa nchini na ilifikia hatua walanguzi waliuza mafuta kwa bei mbaya ambayo wengi hawakuitarajia, lakini walilazimika kununua. &lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Hali hiyo inaweza kutokea pia kwenye chakula, madawa na vitu vingine ambavyo vinakuwa haba baada ya janga Fulani kutokea.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNoSpacing" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Katika nchi kama Marekani umeme haukatiki na hivyo watu hawaoni umuhimu wake kwa sababu sio haba.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNoSpacing" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Mtu wa Marekani kwa mfano akija huku kwetu ambako umeme ni swala la ‘kukata shingo’ atagundua kwa mara ya kwanza thamani ya umeme. Unapokikosa kitu, kinatengeneza thamani kwa sababu ni haba.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNoSpacing" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Pia uhaba ni kama mwalimu. Kwa mfano, kama kuna uhaba wa petroli au dizeli. Wenye agari wanakaa kwenye vituo vya mafuta kwa muda mrefu wakisubiri ili wapate huduma hiyo.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Wakati mwingine wanalazimika kupata mafuta kwa njia ya kuruka kama upatikanaji wake unakuwa wa mashaka zaidi.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNoSpacing" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Lakini uhaba huu kama mwalimu; baadhi ya watu badala ya kukaa kwenye foleni na kupoteza muda wanaamua kutotumia gari katika safari ambazo si za muhimu sana.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNoSpacing" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Sasa tunakuwa macho kutokana na uhaba. Tunaanza kujua kwamba kila kilometa moja inakula mafuta kiasi gani wakati zamani tulikuwa tunajaza mafuta tani yetu na kwa fujo!&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNoSpacing" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Sasa tunafanya maamuzi kwamba niende na gari au niende kwa miguu! Sasa akili yetu inakuwa na neon uhaba kwa karibu zaidi kuliko neon wingi.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Uhaba maana yake ni umasikini. Uhaba ni neon la kiuchumi lenye maana, mahitaji yamezidi rasilimali. Kitu kikiwa haba bei yake inapanda.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Ndio maan sasa hivi serikali ya Tanzania inadai kwamba bei ya vyakula inapanda kwa sababu mvua haikunyesha na hivyo kuna uhaba wa vyakula.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Pia uhaba unaweza kuoanishwa na upatikaaji wa kazi. Kazi ambazo ni adimu zina mishahara mikubwa kuliko kazi ambazo sia adimu.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Kazi adimu ni zile ambazo mafunzo ake ni magumu na hivyo si kila mtu anaweza kuingia na kujifunza.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Wale wanaojitoa muhanga na kusomea fani hizo ngumu wakishamaliza hupata mishahara minono kuliko wat waliosomea fani ambazo ni rahisi kiulinganifu! Na kama serikali zingeweka mishahara sawa kwa fani rahisi na fani ngumu hakuna mtu ambaye angekuwa anasomea fani anasomea fani ngumu!&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNoSpacing" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Kwa hiyo sababu mojawapo ya kuweka mishahara juu kwa ani ngumu ni kuwavutia watu wajitoe muhanga kusomea fani hizo ili wakihitimu wapate mishahara mikubwa! Kwa hiyo fani zenye wataalamu haba zina mishahara minono kuliko fani zenye wataalamu wengi.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNoSpacing" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Sasa swali linalobaki kwako ni kwa kiasi gani umejiandaa kifani pale kampuni yako itakapoamua kupunguza wafanyakazi? Uko katika watu wenye kazi adimu katika kampuni yako hata kama leo ukiamua kuacha kazi unaamini kwamba kampuni yako itatetereka? Soma kila wakati ili uwe na moja ya fani ambayo kama janga la kutaka kupunguza wafanyakazi likitokea basi wewe uwe mmoja wa wale watakaosalimika.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Na ndio maana wale wanaotetemeka sana wakati wa kupunguza wafanyakazi ni wale wafanyao kazi zisizo na ujuzi! &lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNoSpacing" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNoSpacing" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt;&lt;/span&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNoSpacing" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-3045530619198139477?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/3045530619198139477/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=3045530619198139477&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/3045530619198139477'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/3045530619198139477'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2011/09/thamani-huletwa-na-uhaba.html' title='THAMANI HULETWA NA UHABA!'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-OlDmkekshBQ/TnBGvanyC6I/AAAAAAAAAjY/d5tBvC5Lj3o/s72-c/11.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-3097390271678407817</id><published>2011-09-07T09:22:00.003+03:00</published><updated>2011-09-07T09:26:51.875+03:00</updated><title type='text'>BINTI MSAGAJI KATENGENEZWA NA WAZAZI!</title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-O0orN5WIQng/TmcOOgckvxI/AAAAAAAAAjQ/6wnZS9RMjj8/s1600/pet_african_girls%252C0.jpg"&gt;&lt;strong&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; DISPLAY: block; HEIGHT: 217px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5649499899950317330" border="0" alt="" src="http://4.bp.blogspot.com/-O0orN5WIQng/TmcOOgckvxI/AAAAAAAAAjQ/6wnZS9RMjj8/s320/pet_african_girls%252C0.jpg" /&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/a&gt;&lt;strong&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;em&gt; Malezi huweza kuwaathiri!&lt;br /&gt;&lt;/em&gt;&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;span style="color:#330000;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="BORDER-BOTTOM: #4f81bd 1pt solid; BORDER-LEFT: medium none; PADDING-BOTTOM: 4pt; PADDING-LEFT: 0in; PADDING-RIGHT: 0in; BORDER-TOP: medium none; BORDER-RIGHT: medium none; PADDING-TOP: 0in; mso-element: para-border-div; mso-border-bottom-themecolor: accent1"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="BORDER-BOTTOM: #4f81bd 1pt solid; BORDER-LEFT: medium none; PADDING-BOTTOM: 4pt; PADDING-LEFT: 0in; PADDING-RIGHT: 0in; BORDER-TOP: medium none; BORDER-RIGHT: medium none; PADDING-TOP: 0in; mso-element: para-border-div; mso-border-bottom-themecolor: accent1"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:Calibri;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Mwanamke ambaye ana tabia a kujilaumu yeye kama mwanamke na kulaani kuwa kwake mwanamke, yuko kwenye nafasi kubwa ya kumuuwa mtoto wake wa kike kisaikolojia. Kuna wanawake ambao kwa kuudhiwa na waume zao au hata na wanawake wenzao huwa wanapenda sana kuropoka kauli za kudhalilisha jinsia ya kike.&lt;?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-com:office:office" /&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:Calibri;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;“Mimi nakwambia sisi wanawake hatufai kabisa, kuzaliwa mwanamke ni jambo baya sana………ningekuwa naweza nimwombe Mungu anibadilishe niwe mwanaume …. Wanawake ni wajinga sana….” Kauli za aina hii zinaporudiwa mara mbili au tatu humfanya mtoto wa kike kuziamini na huanza kuwa na wasiwasi na jinsia yake. Hata watoto wa kiume nao huziamini kauli hizi na kuanza ‘ubabe’ wa kiume kuanzia hapo.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:Calibri;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Mtoto wa kike anapozisikia kauli hizi kutoka kwa mama yake na kwa sababu mama yake ndiye ‘shujaa’ wake, huanza kujenga dhana kwamba, kama mama yake hapendi kuwa mwanamke, kwa sababu mwanamke ni mjinga na dhaifu, naye hana budi kuikimbia hali hiyo. &lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:Calibri;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Anaikimbiaje?&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:Calibri;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Kuna njia nyingi za kukimbia hali hiyo, lakini kubwa na ya karibu ni kwa mtoto huyu kuanza kujibainisha na jinsia ya kiume. Kwa sababu akili ya mtoto haichuji, huanza kuhisi vibaya kuwa kwake mwanamke mbele ya wenzake, hasa wanaume. Kujibainisha na jinsia ya kiume ni pamoja na kufuatana na wanaume, kuvaa kiume, kuongea kiume, kutembea kiume na kufanya kazi za kiume.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:Calibri;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Siyo lazima, lakini mtoto huyu anaposhindwa kupata mahali ambapo atadondosha dhana au imani hii, ni wazi atakuja kujibainisha kimapenzi, atajibainisha kama mwanaume. Matokeo ya jambo kama hili ni kuwa na mwanamke ambaye anataka kuwa mwanaume kwa wanawake wenzake kimapenzi.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:Calibri;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Kama sio kauli za akina mama kujilaumu, kauli za akina baba kuwalaumu wanawake pia na akina mama kuzikubali kivitendo, zinaweza kuwaathiri watoto wa kike kimakuzi. Baba anapokuwa na tabia ya kutoa kauli kali na chafu dhidi ya mama, na mama kuonyesha kukubaliana na kauli hizo kwa vitendo ni hatari sana.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:Calibri;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Hebu sikia kauli kama hii kutoka kwa baba: “Mwanamke gani anayezaa mitoto ya kike tu, ni afadhali kuoa mke mwingine…..”&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt; &lt;/span&gt;&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt;&lt;/span&gt;majibu ya mwanamke anayekashifiwa ni haya: “Kwani mimi nimetaka, si Mungu mwenyewe, kwani hata mimi si ninapenda watoto wa kiume……” Kwa mtoto wa kike majibu kama haya, huwa yanasikika masikioni mwake kama, “Hata mimi sitaki watoto wa kike kwa sababu hawana thamani, lakini sina uwezo wa kuwakataa..” &lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:Calibri;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Akina mama, yawapasa kuelewa kwamba, kauli zao na kuzipa kauli za waume zao nguvu, huweza kuwaathiri sana watoto wao. Kila neno wanalotamka kwa watoto ni lazima walikague mara mbili. Waume zenu wanapotoa kauli zinazobagua watoto kijinsia mbele ya watoto hao ni lazima mzikanushe sawia na kuwaeleza watoto ukweli utakaowapa nguvu ya kufurahia jinsia waliyonayo.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:Calibri;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt;&lt;/span&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-3097390271678407817?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/3097390271678407817/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=3097390271678407817&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/3097390271678407817'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/3097390271678407817'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2011/09/binti-msagaji-katengenezwa-na-wazazi.html' title='BINTI MSAGAJI KATENGENEZWA NA WAZAZI!'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-O0orN5WIQng/TmcOOgckvxI/AAAAAAAAAjQ/6wnZS9RMjj8/s72-c/pet_african_girls%252C0.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-8425412369044024375</id><published>2011-09-02T17:56:00.006+03:00</published><updated>2011-09-02T18:11:22.439+03:00</updated><title type='text'>HIVI HUKU SIO KUBAKA KWELI?</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-P-Lj_-PwPqo/TmDw_TpyOrI/AAAAAAAAAjI/3uuqs2Cjj7A/s1600/46400_stock-photo-portrait-of-a-young-african-american-couple-lying-on-the-bed-and.jpg"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; DISPLAY: block; HEIGHT: 214px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5647778903120558770" border="0" alt="" src="http://2.bp.blogspot.com/-P-Lj_-PwPqo/TmDw_TpyOrI/AAAAAAAAAjI/3uuqs2Cjj7A/s320/46400_stock-photo-portrait-of-a-young-african-american-couple-lying-on-the-bed-and.jpg" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="center"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;span style="color:#660000;"&gt;&lt;strong&gt;&lt;span style="color:#330000;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Kama&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt; &lt;/span&gt;kubaka ni hali ya mwanau&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;me au mwanamke kulazimisha kufanya tendo la ndoa bila hiyari ya mwingine, basi wanawake wengi sana walioko kwenye ndoa hubakwa na waume zao kila siku. &lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Kubakwa huku kunatokana na ukweli kwamba wanawake wengi hulazimika kukubali kufanya tendo la ndoa na waume zao kutokana na mazingira mbalimbali yaliyo nje ya upendo. &lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Kuna ndoa nyingi ambazo zimekufa, ingawa wanandoa wanaishi pamoja. Zimekufa kwa sababu hazina mawasiliano kabisa. Lakini cha ajabu ni kwamba, watu hawa wanakutana kimwili na pengine kuzaa watoto. Kwa sehemu kubwa kwenye ndoa za aina hii, wanawake huwa hawako kwenye ukamilifu wao kimawazo.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Mara nyingi athari huwa ni kwa wanawake kwa sababu wao kimaumbile huishi kihisia. Kutokana na kuathirika kimawazo hamu yao ya kushiriki tendo la ndoa nayo hupotea.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Kwa kuwa hawana hamu ya kushiriki tendo la ndoa, waume zao wanapowaambia, ‘geuka huku’ (hawaongei zaidi ya hapo kwa sababu hakuna mawasiliano), hufanya hivyo. Na hufanya hivyo huku wakiwa hawataki.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Sio wengi wanaoweza kukataa kwa sababu hawakulelewa katika mazingira yanayoweza kuwafanya wakatae. Wamelelewa kwenye mazingira ambayo yamewaambia, miili yao hawana haki nayo mbele ya utashi wa waume zao!&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Ukiacha mawasiliano kuna ndoa ambazo wanaume ni Malaya sana, walevi, au wapigaji. Kwenye ndoa za aina hii unaweza kukuta mwanamke bado anaendelea kuwepo kwa sababu mbalimbali, ikiwemo ya utegemezi au watoto. Pamoja na kuendelea kwao kuwepo, hamu ya tendo la ndoa na waume zao nayo inakuwa haipo&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Lakini mwanaume hatakiwi kunyimwa mwili wake anapouhitaji. Kwa hiyo, kinachotokea ni mwanamke kufanya mapenzi kwa kujilazimisha au kulazimishwa..&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Kuna kesi nyingi ambapo tumesikia juu ya wanaume kuwauwa wake zao kutokana na kuwakatalia unyumba au wakiwa wanapigana baada ya mwanamke kukataa kushiriki tendo la ndoa.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Kwenye ndoa nyingi wanawake hubakwa, yaani hushiriki tendo la ndoa bila hiyari zao.&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt; &lt;/span&gt;Hulazimishwa au hujilazimisha kutokana na nafasi ambayo jamii imewapa.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Ni kwa nini basi tunapozungumzia kubaka tusiwaambie wanawake na kuwashauri wawe macho na ubakaji huu ambao una athari kubwa kwao na kwa jamii wakiwemo watoto wanaozaliwa kwenye ndoa hizi za kibabe?&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt; &lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-8425412369044024375?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/8425412369044024375/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=8425412369044024375&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/8425412369044024375'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/8425412369044024375'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2011/09/kama-kubaka-ni-hali-ya-mwanaume-au.html' title='HIVI HUKU SIO KUBAKA KWELI?'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-P-Lj_-PwPqo/TmDw_TpyOrI/AAAAAAAAAjI/3uuqs2Cjj7A/s72-c/46400_stock-photo-portrait-of-a-young-african-american-couple-lying-on-the-bed-and.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-6542342798991269536</id><published>2011-06-09T07:45:00.000+03:00</published><updated>2011-06-09T07:46:26.557+03:00</updated><title type='text'>AKAJISIFU KOROGWE KAMA YEYE NI TAJIRI</title><content type='html'>&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-com:office:office" /&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Ingawa tukio hili lilitokea takribani miongo minne &lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt;&lt;/span&gt;iliyopita lakini ni tukio ambalo liliacha simulizi katika jiji la Dar Es Salaam na vitongoji vyake.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt; &lt;br /&gt;&lt;p&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Tukio hili lilitokea mnamo July 23, 1977 majira ya saa tatu na dakika arobaini na tano za asubuhi katika mtaa wa Nkrumah kwenye duka la DARTEX ambapo majambazi wawili waliokuja kujulikana baadae kwa majina ya Aidan John Alfonce Mweri ambae ndie aliyekuwa mshitakiwa wa kwanza katika kesi hii na mwenzie John Joseph Tarimo aliyekuwa mshitakiwa wa pili walivamia gari la DARTEX lililokuwa lisafirishe fedha kuzipeleka benki.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Majamabzi hao ambao inasemekana walikuwa wanafahamu mpango huo wa kupeleka fedha benki yalikuwa yamejipanga jirani kabisa na eneo la duka hilo la DARTEX huku wakiwa na silaha zao.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Fedha hizo zilikuwa zipelekwe na watu watatu waliotajwa kwa jina moja moja ambao ni Bi Sanga ambae alikuwa ni mhasibu wa DARTEX na ndie aliyekuwa amebeba mkoba wenye fedha kiasi cha shilingi 627,603.45 na hudi zenye thamani ya shilingi 125,192.35 ambazo zilitokana na mauzo ya jana yake katika duka hilo, wengine walikuwa ni Mwakalasa askari polisi na Gongolo ambae alikuwa ni mwanajeshi, wote walikuwa wanamsindikiza Bi Sanga kupeleka fedha hizo benki.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Wakati wakijiandaa kupanda gari dogo lililokuwa limeegeshwa nje ya duka hilo ndipo katika hali ya kushtukiza majambazi hao wakafytua risasi hewani mara kadhaa na kusababisha hali katika eneo lile kuwa ya kuogofya na watu wote waliokuwa katika eneo lile walikumbwa na mshtuko kiasi cha kuanza kukimbia hovyo huku na huko kwa kihoro.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Katika hali ya kuzuia uporaji ule askari polisi Mwakalasa alanza kurushiana risasi na jambazi mmoja, lakini kwa bahati mbaya akajeruhiwa na risasi tumboni na lakini hata hivyo aliendelea kukabiliana na jambazi yule kwa kurushiana nae risasi mpaka akamjeruhi katika mkono wake wa kushoto na hivyo kudondosha bastola yake na kuanza kukimbia kutoka katika eneo la tukio ili kusalimisha maisha yake.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Nae Mhasibu wa DARTEX Bi Sanga akiwa bado amekumbwa na mshituko asijue la kufanya alishitukia akinyang’anywa mkoba wenye fedha na jambazi mwingine aliyekuja kujulikana baadae kwa jina la Aidan John Alfonce Mweri, hiyo ilikuwa ni baada ya kumtisha kwa bastola na kutokomea nao kusikojulikana.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Jambazi mwingine John Joseph Tarimo alionekana akikimbia kutoka katika eneo la tukio na kuingia katika jengo moja la ghorofa ambalo lilikuwa limepangishwa na mhindi.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Hata hivyo baadae Jambazi huyo alikamatwa kwa ushirikiano wa raia wema na Polisi na alionekana akiwa anavuja damu katika mkono wake kuashiria kuwa alikuwa amejeruhiwa kwa risasi kutokana na mapigano yale ya kurushiana risasi na Polisi.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Baadae ilikuja kubainika kwamba baada ya kufanikiwa kukimbia na mkoba wenye fedha Mweri alikwenda Korogwe na kununua nyumba mbili.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Hata hivyo wakati akiwa Korogwe ilizuka minong’ono katika mji huo wa Korogwe na vitongoji vyake kwamba Mweri alikuwa akijigamba kwamba ana fedha nyingi sana.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Nao Polisi katika mji wa Korogwe wakaisikia minong’ono hiyo, hivyo wakaanza kumtilia mashaka mtuhumiwa huyo. &lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Mnamo November 5, 1977 polisi walivamia nyumbani kwa Mweri na kufanya upekuzi ambapo walipata kiasi cha shilingi 48,705.50 zikiwa katika mfuko wa karatasi. Hata hivyo upekuzi huo haukuwa na uhusiano na wizi wa DARTEX. &lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Baadae Mweri alikamatwa na kupelekwa kituoni kwa mahojiano zaidi.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Ikumbukwe kwamba katika miaka hiyo ya 70 mtu kukutwa na kiasi kikubwa cha fedha bila ya maelezo mazuri ya namna ulivyozipata fedha hizo lilikuwa ni kosa kisheria.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Lakini hata hivyo wakati Mweri akiendelea kuhojiwa na Polisi mjini Korogwe, polisi wakadokezwa kwamba mtuhumiwa huyo anatafutwa na Polisi wa jijini Dar akihusishwa na tukio la uporaji uliotokea katika duka la DARTEX, hivyo Polisi wa mjini Korogwe wakamrejesha jijini Dar.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Hatimaye alipofikishwa jijini Dar akaunganishwa na mwenzie na kusomewa mashitaka ya unyang’anyi wa kutumia silaha kosa ambalo linaangukia katika vifungu vya sheria 285 na 286 vya makosa ya jinai na kosa lingine likiwa ni la kumiliki silaha kinyume cha sheria, kosa ambalo linaangukia katika kifungu cha 8 (1) cha sheria ya makosa ya usalama wa taifa ya mwaka 1970. &lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Washtakiwa wote wawili walikana mashitaka yao ambapo upande wa mashitaka ulileta mashahidi wake.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Miongoni mwa mashahidi walioitwa walikuwa ni Chiku Nasibu ambae alikuwa ni shahidi wa pili katika kesi hiyo na Zainabu &lt;?xml:namespace prefix = st1 ns = "urn:schemas-microsoft-com:office:smarttags" /&gt;&lt;st1:personname st="on"&gt;Ali&lt;/st1:personname&gt; ambae alikuwa ni shahidi wa nne, ambapo wote wawili walikuwa katika eneo la tukio siku hiyo uporaji ulipotokea.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Akitoa ushahidi wake Shahidi wa nne Zainab &lt;st1:personname st="on"&gt;Ali&lt;/st1:personname&gt; aliiambia mahakama kuwa yeye alikuwa ni mteja wa muda mrefu wa duka hilo la DARTEX.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Akisimulia zaidi shahidi huyo aliieleza mahakama hiyo kwamba siku hiyo ya tukio majira ya asubuhi alikwenda dukani hapo kama kawaida yake kununua bidhaa huku akiwa ameandamana na mwenzie shahidi wa pili Chiku Nasibu.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Akiwa pale dukani kama nasibu vile alimuona mshitakiwa wa kwanza Mweri akiwa amesimama nje ya duka, hata hivyo shahidi huyo alibainisha kwamba kwa njia moja ama nyingine kitendo cha kumuona mtuhumiwa yule mahali pale kilimtia mashaka. &lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Shahidi huyo aliendelea kusema kwamba mtuhumiwa huyo alikuwa ameegemea kwenye gari la kusambaza vifaa vya masijala (Stationary), huku akionekana kama anasoma gazeti au alikuwa anajenga mazingira ya kuonekana kuwa alikuwa anasoma gazeti.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Huku akimnyooshea kidole mtuhumiwa, Zainabu alitaka kumjulisha jambo shahidi wa pili Chiku kuhusiana na mtuhumiwa wa kwanza Mweri ndipo ghafla kwa mshituko wakasikia mlio wa risasi iliyofyatuliwa na mtu mwingine aliyekuwa katika eneo hilo la tukio, huku akindelea kushangaa alimuona mshitakiwa wa kwanza akichomoa bastola yake na kumfuata mhasibu Bi Sanga na kumpora mkoba wenye fedha kwa kumtisha na bastola yake. &lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Huku akikimbia na fedha hizo alimuona mshitakiwa huyo akirusha risasi, Pia aliona Polisi akirushiana risasi na mtu mwingine ambae alikuwa na sura ngeni kwake. &lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Akijibu mojawapo ya maswali aliyoulizwa na mahakama, Zainab alisema kwamba yeye anaishi mtaa Bungoni jijini Dar, na nyumba yake iko mkabala na ya mshitakiwa wa kwanza na ametokea kumfahamu mshitakiwa huyo kwa zaidi ya mwaka mmoja.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Nae mshitakiwa wa pili Chiku ushahidi wake haukutofautiana na wa shahidi wa nne Zainab.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Kwa mujibu wa maelezo yake shahidi huyo alikiri kujulishwa na shahidi wa nne kuhusu kuwepo kwa mshitakiwa wa kwanza katika eneo la tukio, pia alisikia mlio wa risasi ghafla.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Shahidi huyo alimuona polisi akitokwa na damu baada ya kupigwa risasi na pia alimuona mshitakiwa wa kwanza akimnyang’anya mhasibu Bi Sanga mkoba wenye fedha.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Ushahidi mwingine uliotolewa mahakamni hapo ulikuwa ni dhidi ya mshitakiwa wa pili John Joseph Tarimo.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Ushahidi dhidi yake ulitolewa na mashahidi watatu ambao ni aliyekuwa shahidi wa kwanza katika kesi hiyo Mwakalasa, shahidi wa sita Joseph na shahidi wa 14 Songolo.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Shahidi wa kwanza Mwakalasa alikuwa ni Polisi mwenye cheo cha Sajenti Meja na alikuwa amepangiwa jukumu la kusindikiza fedha za DARTEX kupelekwa benki.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Akitoa ushahidi wake mahakamani hapo Mwakilasa aliieleza mahakama kwamba wakiwa wanajiandaa kupanda gari ambalo walikuwa ndilo walitumie kupelekea fedha benki alistukia anapigwa na risasi tumboni.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Mara akamuona mshitakiwa wa pili akiwa ameshika Bastola katika mkono wake wa kulia na kuanza kumfokea “Askari Kimbia”, lakini kwa ujasiri kwa kutumia bunduki yake aina ya Sub-Machine Gun alirusha risasi ambayo ilimjeruhi mshitakiwa huyo wa pili, hivyo akaanza kukimbia kutoka katika katika eneo la tukio huku akirusha risasi ambayo ilimjeruhi raia mmoja mwenye asili ya kiasia ambae alikuwa kwenye eneo la tukio.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Mwakalasa alimkimbiza mshitakiwa huyo na kumpiga risasi katika mkono wake wa kushoto ambapo alidondosha Bastola ambayo alikuwa ameishika mara baada ya kupigwa risasi hiyo.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Shahidi huyo aliiokota bastola hiyo ambayo ilitumika mahakamini kama kidhibiti cha kwanza.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Mara baada ya kuokota bastola hiyo aliendelea kumkimbiza mshitakiwa huyo ambapo mbio hizo ziliishia katika ghorofa ya tatu kwenye jengo lingine lililojulikana kwa jina la Kulsum Mansion alilokuwa akiishi raia mwingine mwenye asili ya kiasia aliyejulikana kwa jina la Lakhani ambae alikuja kuwa shahidi wa 15 katika kesi hiyo. &lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Shahidi huyo aliukuta mlango wa katika ghorofa hiyo ukiwa umefungwa hivyo aliona nivyema akimbilie hospitali kutibiwa jeraha la risasi aliyopigwa na kuamua kumuacha shahidi wa 6 aliyejulikana kwa jina la Joseph nje ya jengo hilo ili kumlinda mshitakiwa asitoroke kabla ya kutiwa mbaroni, hivyo alimkabidhi silaha aliyokuwa nayo ambayo ilikuwa ni Sub Machine Gun pamoja na Bastola aliyoidondosha mshitakiwa.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Shahidi huyo aliithibitishia mahakama kwamba ana uhakika kabisa kwamba mtu ailyerushiana nae risasi na aliyedondosha bastola ni mshitakiwa wa pili John Joseph Tarimo. &lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Shahidi aliyefuatia kutoa ushahidi wake dhidi ya mshtakiwa alikuwa ni shahidi wa sita katika kesi hiyo aliyejulikana kwa jina la Joseph.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Kwa upande wake Joseph ambaye alikuwa ni askari Polisi aliyekuwa na cheo cha Coplo aliiambia mahakama kwamba siku ya tukio alikuwa katika Hoteli ya kitalii ya Rex, ndipo ghafla akasikia milio ya risasi ikirindima kutokea upande lilipo duka la DARTEX. Shahidi huyo alikimbilia katika eneo la tukio haraka ili kutoa msaada, alipokaribia tu akamuona shahidi wa kwanza Mwakalasa akimkimbiza mshitakiwa wa pili huku akiwa ameshikilia bunduki aina ya Sub Machine Gun pamoja na bastola, na ndipo akaamua kumsaidia kumkimbiza mshitakiwa huyo wa pili ambapo alikuja kumkuta mwakalasa akiwa nje ya mlango katika ghorofa hilo ambao ulikuwa umefungwa kwa ndani. &lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Ndipo Mwakalasa akamuomba ampokee silaha na aendelee kumfuatiali mshitakiwa kwani hali yake haikuwa nzuri kutokana na kupigwa risasi tumboni hivyo alitaka kukimbilia hospitali kwa matibabu.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Shahidi huyo aliendelea kuielezea mahakama kwamba alipokea Bunduki na Bastola kutoka kwa Mwakalasa kisha akamuamrisha mshitakiwa afungue mlango kwa usalama wake kitu ambacho hakutii, hivyo akaamua kupiga risasi kwenye mlango, ndipo mshitakiwa huyo akafungua mlango na kujisalimisha.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Baada ya kutiwa mbaroni, baadae alikimbizwa hospitalini kwa matibabu kutokana na kujeruhiwa kwa risasi.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Shahidi wa mwisho kutoa ushahidi wake dhidi ya mshitakiwa wa pili ni mwanajeshi Songolo ambaye alikuwa ni shahidi wa 14 aliyekuwa akilinda katika duka la DARTEX.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Kwa ujumla ushahidi wake haukutofautiana sana na ushahidi wa Mwakalasa na wa Joseph.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Katika utetezi wake mshitakiwa wa kwanza Aidan John Alfonce Mweri ambaye alijitambulisha pale mahakamni kama mfanyabiashara wa mbao alikanusha kabisa kushiriki katika uporaji ule. &lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Mshitakiwa hiyo alikanusha kuwepo katika eneo la tukio na wala kuhusika na uporaji uliotokea. &lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Akizungumzia ushahidi uliotolewa dhidi yake na shahidi wa pili Chiku Nasibu na shahidi wa nne Zainabu &lt;st1:personname st="on"&gt;Ali&lt;/st1:personname&gt; Mshitakiwa huyo alidai kwamba mashahidi hao ni waongo kabisa. &lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Mweri alidai kwamba mashahidi hao walikuja kutoa ushahidi huo dhidi yake kwa sababu ya chuki binafsi alizokuwa nazo shahidi wa nne dhidi yake.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Mweri aliendendelea kuieleza mahakama kwamba anakumbuka mwanzoni mwa mwaka 1977, akiwa anaendesha gari lake ilibaki kidogo tu amgonge mtoto wa shahidi wa nne Zainab &lt;st1:personname st="on"&gt;Ali&lt;/st1:personname&gt; ambae alikatisha barabarani ghafla bila kuchukuwa tahadhari, basi kuanzia wakati huo shahidi huyo alijenga uhasama mkubwa sana na yeye.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Mshitakiwa huyo aliiomba mahakama hiyo ipuuze ushahidi wa mashahidi hao wawili kwa sababu hakuna shahidi mwingine aliyetoa ushahidi dhidi yake.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Akizungumzia kuhusu kumiliki nyumba mbili Korogwe, mshitakiwa huyo alidai kuwa nyumba hizo ni za familia yao na yeye aliteuliwa kuwa msimamizi wa nyumba hizo.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Zamu ya mshitakiwa wa pili John Joseph Tarimo ilipofika mshitakiwa huyo alikanusha madai ya kwamba yeye ni mmojawapo wa wahusika wa tukio la uporaji katika duka la DARTEX na wala sio mmiliki wa bastola iliyoletwa pale mahakamani kama kidhibiti.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Mshitakiwa huyo aliieleza mahakama hiyo kwamba yeye alikuwa jirani au katika eneo la tukio wakati milio ya risasi iliposikika, kwa hiyo madai ya kuwepo kwake katika eneo la tukio wakati uporaji huo unatokea hawezi kuupinga.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Akiendelea kusimulia zaidi kuhusu tukio hilo mshitakiwa huyo alidai kwamba yeye ni mchuuzi wa samaki kutoka Nyumba ya Mungu mkoani Kilimanjaro, hivyo mnamo Julai 21, 1977 alileta samaki jijini Dar ili kuziuza, ambapo alipomaliza kuuza samaki wake katika soko la kariakoo aliamua kwenda kufanya manunuzi ya bidhaa mbalimbali siku ya Julai 23, 1977. &lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Katika mizunguko yake alijikuta akiwa mtaa wa Nkurumah karibu na duka la DARTEX na ndipo aliposikia milio ya risasi na kuona watu wakikimbia ovyo.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Wakati watu wakiendelea kukimbia aliona baadhi ya watu wakiwa wameshika bunduki na baada ya kuona hali katika eneo hilo si shwari nae akaamua kukimbia ili kusalimisha maisha yake.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Mshitakiwa huyo aliendelea kuieleza mahakama hiyo kwamba, wakati anakimbia alijikuta akianguka na kuumia mkono wake wa kushoto lakini kwa bahati nzuri aliweza kuamka na kuendelea kukimbia,&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Hata hivyo mshitakiwa huyo alibainisha kwamba wakati akiendelea kukimbia akashitukia anapigwa risasi, lakini alimudu kukimbia mpaka kwenye ghorofa lilikuwa jirani na kisha akapoteza fahamu, aliporudiwa na fahamu siku iliyofuata alijikuta akiwa amelazwa hospitalini. &lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Kesho yake aliruhusiwa kutoka hospitalini na alichukuliwa na polisi hadi kituo cha kati cha Polisi na kuwekwa ndani.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Mnamo Agost 25, 1977 alipatwa na mshituko kusikia akisomewa mashitaka uporaji wa kutumia silaha dhidi yake.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Shahidi wa mshitakiwa wa pili Silas Lucas Mbwambo waliwahi kufungwa pamoja katika gereza la ukonga.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Wote wawili walikuwa mahabusu katika gereza la Keko kipindi cha nyuma .&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Shahidi huyo akitoa ushahidi wake wa kumtetea mshitakiwa wa pili alidai kwamba mtu aliyekuwa akirushiana risasi na shahidi wa kwanza polisi Mwakalasa na aliyemjeruhi raia mwenye asili ya kiasia alikuwa ni mtu aliyemtaja kwa jina la Juma Shabani na sio mshitakiwa wa pili.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Shahidi huyo aliendelea kudai kwamba alimuona Juma Shabani akitoroka kutoka katika eneo la tukio kwa gari huku akiendesha kwa mwendo wa kasi. &lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Kesi hiyo ya jinai namba 1207 ya mwaka 1977 ilisikilizwa na hakimu L F Musiba ilifikia tamati yake mnamo November 5, 1979 na washitakiwa walipatikana na hatia.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Hata hivyo washitakiwa hawakuridhishwa na uamuzi wa mahakam ya kuwatia hatiani hivyo walikata rufaa katika mahakamaa kuu.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Rufaa hiyo iliyosikilizwa na Jaji D P Mapigano na katika uamuzi wa mahakama kuu rufaa hiyo ilitupiliwa mbali mara baada ya kupitia upya ushahidi wa pande zote mbili.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Hivyo mahakama kuu iliwahukumu washitakiwa wote wawili kifungo cha miaka 10 jela kwa kosa la kwanza na kifungo cha mwaka mmoja kwa kosa la pili, na adhabu zote mbili zitatumikiwa kwa pamoja, pia washitakiwa hao walitakiwa kurejesha fedha walizoiba DARTEX baada ya kumaliza kutumikia vifungo vyao.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;Akihitimisha kusoma hukumu hiyo kwa maneno yake mwenyewe Jaji Mapigano alisema “Kosa walilolifanya washitakiwa ni kubwa lisiloweza kuvumilika katika jamii, hivyo kama alivyowahi kusema waziri wa mambo ya ndani kuwa matukio ya ujamabazi wa kutumia silaha yamefikia katika kiwango cha kutisha nchini hivyo washitakiwa hawa watapewa adhabu kali ili iwe fundisho kwa wengine” alimalizia kusema Jaji Mapigano kabla ya kutoa hukumu hiyo.&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Cambria', 'serif'; FONT-SIZE: 11pt; mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-6542342798991269536?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/6542342798991269536/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=6542342798991269536&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/6542342798991269536'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/6542342798991269536'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2011/06/akajisifu-korogwe-kama-yeye-ni-tajiri.html' title='AKAJISIFU KOROGWE KAMA YEYE NI TAJIRI'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-7337548036180949739</id><published>2011-05-19T16:26:00.002+03:00</published><updated>2011-05-19T16:29:27.101+03:00</updated><title type='text'>KUMBE HAKUWA MWENDAWAZIMU! SEHEMU YA MWISHO</title><content type='html'>&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; LINE-HEIGHT: 18pt; MARGIN: 0in 0in 0pt; BACKGROUND: #e6e6e6" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black; mso-theme: EN-GBfont-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;" lang="EN-GB"   &gt;ILIPOISHIA.............&lt;?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-com:office:office" /&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; LINE-HEIGHT: 18pt; MARGIN: 0in 0in 0pt; BACKGROUND: #e6e6e6" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black; mso-theme: EN-GBfont-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;" lang="EN-GB"   &gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; LINE-HEIGHT: 18pt; MARGIN: 0in 0in 0pt; BACKGROUND: #e6e6e6" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black; mso-theme: EN-GBfont-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;" lang="EN-GB"   &gt;Kwa maneno yake mwenyewe mzee Martin alisema “Hivi inawezekana kweli mtuhumiwa awe anaumwa uwendawazimu na awe na uwezo wa kukumbuka kwamba, kwa kuwa mzee Makende aliwahi kumwambia kuwa atamloga, kwa hiyo ndiye aliyemloga na hivyo aamue kwenda kumuuwa? Zaidi ya hapo mtuhumiwa pia anajua kwa usahihi kabisa kwamba alimpiga mzee Makende na mchi mara ngapi kichwani kitu ambacho hakiwezekani kufanywa na mtu mwenye wendawazimu”&lt;/span&gt;&lt;span style="COLOR: black;font-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;"   &gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black;font-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;"   &gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black;font-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;"   &gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black;font-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;"   &gt;SASA ENDELEA……&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black;font-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;"   &gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black; mso-theme: EN-GBfont-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;" lang="EN-GB"   &gt;Katika hukumu yake katika kesi hii Jaji Bahati alikubaliana na maelezo yaliyotolewa na wazee wote wawili wa baraza.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black; mso-theme: EN-GBfont-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;" lang="EN-GB"   &gt;Katika majumuisho yake kwa maneno yake mwenyewe Jaji Bahati alianza kwa kusema “Swali la kujiuliza hapa ni Je mtuhumiwa alikuwa na uwendawazimu wakati anauwa au la?” &lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black; mso-theme: EN-GBfont-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;" lang="EN-GB"   &gt;Jaji Bahati aliendelea kusema kwamba, kwa mujibu wa kanuni ya sheria kifungu cha 12 na 13 kama vilivyotumika katika kesi ya M’naghten aliyeshitakiwa kwa kosa la kuuwa kwa kukusudia vimeelezea bayana kuhusu watuhumiwa wenye uwendawazimu.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black; mso-theme: EN-GBfont-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;" lang="EN-GB"   &gt;Kwa mujibu wa kifungu cha 12 cha sheria ya kanuni ya adhabu sura ya 16 imeeleza kwamba sheria inamchukulia mtu yeyote kuwa ni mwenye akili timamu kwa wakati wowote mpaka pale itakapoamuliwa vinginevyo.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black; mso-theme: EN-GBfont-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;" lang="EN-GB"   &gt;Lakini kifungu cha 13 cha sheria ya kanuni ya adhabu sura ya 16 imesema waziwazi kuwa mtu yeyote hawezi kuchukuliwa kuwa ametenda kosa kama kutenda kwake au kutokutenda kwake na katika muda wa kutenda au kutokutenda alikuwa anasumbuliwa naugonjwa na akili na hivyo kumfanya kutokutambua alichokuwa anakifanya.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black; mso-theme: EN-GBfont-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;" lang="EN-GB"   &gt;&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt;&lt;/span&gt;(Tafsiri ya vifungu hivi ni ya muandishi)&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black; mso-theme: EN-GBfont-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;" lang="EN-GB"   &gt;Baada ya kunukuu vifungu hivyo Jaji Bahati aliendelea kubainisha kwamba kwa mujibu wa vifungu hivyo jukumu la kuthibitisha kuwa mtuhumiwa alikuwa na uwendawazimu liko kwa mtuhumiwa mwenyewe kwa sababu kwa mujibu sheria inaaminika kwamba kila mtu ana akili timamu, vinginevyo labda mpaka ithibitishwe kitaalamu.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black; mso-theme: EN-GBfont-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;" lang="EN-GB"   &gt;Hata hivyo jaji Bahati alikubaliana na Bi Humplick kuwa tatizo la uwendawazimu mtuhumiwa alilodai kuwa nalo halikuthibitishwa kitaalamu, lakini ili kuleta uwiano Jaji huyo alinukuu kesi kati ya Mbekule na Jamhuri ya mwaka 1971 EA 481.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black; mso-theme: EN-GBfont-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;" lang="EN-GB"   &gt;Lakini hata hivyo Jaji Bahati alizidi kusisitiza kwamba, pamoja na yote hayo bado kunahitajika ushahidi wa kitaalamu ili kuthbitisha kwamba mtuhumiwa alikuwa na uwendawazimu wakati anauwa?&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black; mso-theme: EN-GBfont-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;" lang="EN-GB"   &gt;Swala la uwendawazimu limeelezwa vizuri katika kanuni ya sheria kifungu cha 13, kwa mfano kesi kati ya Muswi Musola na Jamhuri kama ilivyonikuliwa hapo juu inawiana na kesi hii.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black; mso-theme: EN-GBfont-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;" lang="EN-GB"   &gt;Katika kesi hiyo mtuhumiwa alimuuwa mkewe kwa sababu aliamini kuwa mkewe alikuwa akimloga.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black; mso-theme: EN-GBfont-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;" lang="EN-GB"   &gt;Mtuhumiwa aliieleza mahakama kwamba hakuwa anajua ni nini alichokuwa anakifanya wakati anamuuwa mkewe, lakini kulikuwa na ushahidi kutoka kwa Daktari aliyemchunguza mtuhumiwa na kuthibitisha kuwa alikuwa na na akili zake timamu na alikuwa anajua ni nini alichokuwa anakifanya wakati anamuuwa mkewe.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black; mso-theme: EN-GBfont-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;" lang="EN-GB"   &gt;Kwa hiyo kwa kusingizia kwake kuwa alikuwa na uwendawazimu mtuhumiwa alidhani kwamba angehalalisha alichokifanya ingawa alikuwa anaweza kutofautisha baya na zuri.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black; mso-theme: EN-GBfont-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;" lang="EN-GB"   &gt;Baadae katika mahakama ya rufaa ilikuja kugundulika kuwa ushahidi ulikuwa ni finyu sana katika kuthibitisha hata uwezekano wa kuwa mtuhumiwa alishambuliwa na maradhi yaliyoathiri akili yake hivyo kutojua ni nini alichokuwa anakifanya.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black; mso-theme: EN-GBfont-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;" lang="EN-GB"   &gt;Hata hivyo Jaji Bahati aliendelea kubainisha kwamba, kwa kuangalia ukweli juu ya kanuni ya sheria kifungu cha 12 na 13 alikiri kutokuona ugumu kutupilia mbali utetezi wa mtuhumiwa Nestory Hussein Chigawa kuwa alikuwa na uwendawazimu wakati anamuuwa mzee Makende.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black; mso-theme: EN-GBfont-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;" lang="EN-GB"   &gt;Jaji Bahati aliendelea kubainisha kuwa iwavyo vyovyote vile kama mtuhumiwa alikuwa hajui ni nini anachokifanya wakati anatekeleza mauaji, basi asingeweza kuonyesha tabia aliyoionyesha kabla na baada ya kutekeleza mauaji&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black; mso-theme: EN-GBfont-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;" lang="EN-GB"   &gt;Mtuhumiwa alikiri mwenyewe kukutana na shahidi wa pili katika kesi hii, mtoto wa mzee Makende aitwae Paschal Makende na alikiri pia kuwa alimpiga mzee Makende kwa mchi mara mbili kichwani, na kwa mujibu wa shahidi wa kwanza katika kesi hii&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt; &lt;/span&gt;binti wa mzee Makende aitwae Maria Makende akitoa ushahidi wake alikiri kumuona mtuhumiwa akikimbia mara baada ya kumuuwa baba yake mzee Makende.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black; mso-theme: EN-GBfont-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;" lang="EN-GB"   &gt;Pia mtuhumiwa huyo huyo alikimbilia kwa shahidi wa tatu katika kesi hii Eduard Chigawa na kumueleza kuwa amemuuwa adui yake mzee Makende kwa hiyo ampeleke kwa mwenyekiti wa kijiji.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black; mso-theme: EN-GBfont-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;" lang="EN-GB"   &gt;Jaji Bahati alikiri kuwa hayo sio matendo yanayoweza kufanywa na mtu mwenye uwendawazimu ambaye hajui ni nini anachokifanya.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black; mso-theme: EN-GBfont-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;" lang="EN-GB"   &gt;Jaji Bahati aliendelea kusema kwamba hakuna kitu kigeni kwa mtuhumiwa kutweta na kupumua kwa nguvu mara baada ya kumuuwa mzee Makende, kwani mtuhumiwa huyo alikuwa akimkimbiza mzee Makende , na mara baada ya kumuuwa alikimbia kutoka katika eneo la tukio na kwenda kwa shahidi wa tatu ambaye ni mjomba wake Eduard Chigawa. Licha ya hivyo katika kipindi chote wakati kesi hiyo inaendeshwa mtuhumiwa alionekana kuwa katika hali ya kawaida kabisa .&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black; mso-theme: EN-GBfont-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;" lang="EN-GB"   &gt;Kwa maneno yake mwenyewe Jaji Bahati alisema “Sikuwahi kuona hali yoyote isiyo ya kawaida kutoka kwa mtuhumiwa wakati naendesha kesi hii, hivyo nakubaliana na wazee wa baraza kuwa mtuhumiwa alikuwa anjua ni nini alichokuwa anakifanya na nimeona kuwa utetezi wa mtuhumiwa kuwa na uwendawazimu wakati akitekeleza mauaji haukuthibitishwa kabisa, kwa hiyo kama wazee wa baraza, na mimi naungana nao kuwa tuhuma za mauaji ya kukusudia kama ilivyoainishwa na kanuni ya sheria kifungu cha 196 zimethibitishwa bila shaka yoyote, kwa hiyo basi mtuhumiwa amepatikana na hatia ya kuuwa kwa kukusudia na ninamhukumu kama ifuatavyo;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black; mso-theme: EN-GBfont-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;" lang="EN-GB"   &gt;Kwa mujibu wa sheria kuna hukumu moja tu kwa makosa ya kuuwa kwa kukusudia , nayo ni adhabu ya kifo, kwa hiyo basi, nakuhukumu wewe Nestory Hussein Chigawa adhabu ya kifo kwa kunyongwa na haki ya mtuhumiwa kukata rufaa iko wazi”&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt; &lt;/span&gt;&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt;&lt;/span&gt;&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt;&lt;/span&gt;&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt;&lt;/span&gt;&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt;&lt;/span&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black; mso-theme: EN-GBfont-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;" lang="EN-GB"   &gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black; mso-theme: EN-GBfont-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;" lang="EN-GB"   &gt;&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt;&lt;/span&gt;&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt;&lt;/span&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black; mso-theme: EN-GBfont-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;" lang="EN-GB"   &gt;**************MWISHO************** &lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt;&lt;/span&gt;&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt;&lt;/span&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black;font-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;"   &gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black;font-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;"   &gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="COLOR: black;font-family:'Bookman Old Style', 'serif';font-size:11;color:#0e001;"   &gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-7337548036180949739?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/7337548036180949739/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=7337548036180949739&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/7337548036180949739'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/7337548036180949739'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2011/05/ilipoishia.html' title='KUMBE HAKUWA MWENDAWAZIMU! SEHEMU YA MWISHO'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-1249230761720137861</id><published>2011-05-10T19:48:00.008+03:00</published><updated>2011-05-10T20:02:34.572+03:00</updated><title type='text'>KUMBE HAKUWA MWENDAWAZIMU!</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-klDvfkCDLps/Tclth-c-dQI/AAAAAAAAAiY/F10oVi6bdCs/s1600/haki.jpg"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 175px; DISPLAY: block; HEIGHT: 150px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5605131641706935554" border="0" alt="" src="http://1.bp.blogspot.com/-klDvfkCDLps/Tclth-c-dQI/AAAAAAAAAiY/F10oVi6bdCs/s320/haki.jpg" /&gt;&lt;/a&gt; &lt;span style="mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin" lang="EN-GB"&gt;Kesi hii iliyotokea mwaka 1981 na mshitakiwa katika kesi hii ni Nestory Hussein Chigawa ambaye alishitakiwa kwa kosa la kumuuwa kwa kukusudia Bonifasi Makende. Kesi hii ilifunguliwa kwa mujibu wa kifungu cha sheria ya mauaji ya kukusudia, na ilisikilizwa na Jaji A. &lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt;&lt;/span&gt;Bahati.&lt;?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-com:office:office" /&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt; &lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin" lang="EN-GB"&gt;Kwa mujibu wa ushahidi uliotolewa mahakamani wakati wa usikilizwaji wa kesi hiyo ilibainika kuwa mnamo Machi 11, 1981 mtuhumiwa Nestory Hussein Chigawa alikwenda nyumbani kwa Bonifasi Makende na akiwa njiani kuelekea huko alikutana na Paschal Makende, mtoto wa Bonifasi Makende ambaye alikuja kuwa shahidi wa pili katika kesi hii. &lt;/span&gt;&lt;span style="mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin" lang="EN-GB"&gt;Alipofika nyumbani hapo mtuhumiwa alimkuta Bonifasi Makende amekaa kwenye kiti nje ya nyumba yake. &lt;/span&gt;&lt;span style="mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin" lang="EN-GB"&gt;Katika hali ya kustukiza mtuhumiwa alimzaba makofi mara tatu Bonifasi makende, ambapo alinyanyuka na kuanza kukimbia ili kuepuka kipigo zaidi. Mtuhumiwa alichukuwa mchi na kuanza kumkimbiza na alipomfikia alimpika na mchi huo kichwani mara kadhaa ambapo alianguka lakini mtuhumiwa aliendelea kumpiga mzee huyo hadi akatosheka kisha akautupa mchi ule na kukimbia.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin" lang="EN-GB"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin" lang="EN-GB"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin" lang="EN-GB"&gt;Tukio zima la kupigwa kwa mzee Bonifasi Makende lilishuhudiwa na binti yake aitwae Maria Makende ambaye alikuja kuwa shahidi wa kwanza katika kesi hii. Baada ya tukio lile mtuhumiwa alikimbilia kwa mjomba wake Eduard Chigawa ambaye nae alikuja kuwa shahidi wa tatu katika kesi hii ambapo alimjulisha kuwa amemuuwa adui yake mzee Bonifasi Makende, hivyo kumuomba mjomba wake huyo ampeleke kwa mwenyekeiti wa kijiji. &lt;/span&gt;&lt;span style="mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin" lang="EN-GB"&gt;Kwa mujibu wa maelezo ya Eduard Chigawa , mtuhumiwa alikuwa akitetemeka na alikuwa akipumua kwa nguvu huku akiongea kwa sauti ya juu kuwa amemuwa adui yake na hivyo anataka apelekwe kwa mwenyekiti wa kijiji. Hata hivyo&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt; &lt;/span&gt;Eduard Chigawe alikiri kuwa tangu amfahamu mtuhumiwa hajawahi kumuona akiwa katika hali kama ile; Baada ya tukio lile la mauaji mwili wa Boniface Makende ulipelekwa hospitalini kwa uchunguzi zaidi, ili kujua sababu ya kifo chake. &lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt;&lt;/span&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin" lang="EN-GB"&gt;&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt;&lt;/span&gt;&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt;&lt;/span&gt;&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt;&lt;/span&gt;&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt;&lt;/span&gt;&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt;&lt;/span&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin" lang="EN-GB"&gt;Mwili ule ulifanyiwa uchunguzi na kwa mujibu wa mtaalam wa kuchunguza maiti (post-mortem) ilibainika kuwa mzee&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt; &lt;/span&gt;Makende alifariki kutokana na kuvunjika kwa fuvu la kichwa na kuvuja damu kwa ndani. Mtuhumiwa hakukanusha maelezo yote yaliyotolewa na mashahidi wote waliotoa ushahidi katika kesi hii bali utetezi wake ulikuwa kwamba hakujua anachokifanya kwa sababu alikuwa amechanganyikiwa. &lt;/span&gt;&lt;span style="mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin" lang="EN-GB"&gt;Akitoa historia ya maradhi yake mtuhumiwa alidai kuwa amekuwa akisumbuliwa na maradhi asiyoyafahamu ambapo kuna wakati mapigo ya moyo wake huenda mbio &lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt;&lt;/span&gt;kunakoambatana na kutetemeka mwili mzima, na hali hiyo inapojitokeza huwa anachanganyikiwa na kutojitambua kuwa yeye ni nani. &lt;/span&gt;&lt;span style="mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin" lang="EN-GB"&gt;Mtuhumiwa huyo aliendelea kusema kuwa hapo nyuma aliwahi kwenda kwenye zahanati ili kupatiwa tiba ya tatizo hilo ambapo alipewa vidonge atumie lakini hali yake haikuonyesha kubadilika,hivyo ndugu zake waliamua kumpeleka kwa mganga wa miti shamba. Alipofikishwakwa mganga wa miti shamba alipewa matibabu na kupata nafuu na tangu hapo kila tatizo hilo linapojitokeza huwa anapelekwa kwa mganga huyo na kupatiwa matibabu.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin" lang="EN-GB"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin" lang="EN-GB"&gt;Akizungumzia siku aliyomuuwa mzee Makende,mtuhumiwa huyo alidai kwamba alichanganyikiwa na hakujua ni nini alichokuwa anakifanya na alipokwenda kwa mzee Makende na kumpiga mara mbili kichwani hakuwa anajua anachokifanya, na hakuwa ni yeye kiakili. Mtuhumiwa huyo aliendelea kusema kwamba anachokumbuka ni pale alipojulishwa baadae kuwa ameuwa. Hata hivyo mtuhumiwa alidai kuwa kuna wakati mzee Makende alimwambia kwamba atamloga,na hivyo ndivyo alivyofanya kwani alimloga kweli na ndio sababu akawa mwendawazimu. &lt;/span&gt;&lt;span style="mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin" lang="EN-GB"&gt;Katika mahojiano ya awali mtuhumiwa alikiri kwamba wakati anakwenda kumuuwa mzee Makende alikutana na mtoto wa mzee huyo aitwaye Paschal Makende ambaye ni shahidi wa pili katika kesi hii, na mara baada ya&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt; &lt;/span&gt;kumuuwa mzee huyo hajawahi kuumwa tena. &lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin" lang="EN-GB"&gt;Mtuhumiwa huyo alizidi kudai kuwa hali yake kiafya imekuwa njema kwa kuwa mtu aliyekuwa anamloga ameshamuuwa kwa hiyo hawezi kuumwa tena, lakini hata hivyo alisisitiza kuwa hakuwa anajua anachokifanya wakati anamuuwa mzee Makende. &lt;/span&gt;&lt;span style="mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin" lang="EN-GB"&gt;Naye shahidi wa tatu kwa upande wa mashitaka katika kesi hii mzee Eduard Chigawa aliiambia mahakama kuwa anafahamu kuwa mtuhumiwa alikuwa anasumbuliwa na maradhi asiyoyafahamu ambayo yalikuwa yanamfanya aonekane kama mtu asiye wa kawaida lakini walipompeleka katika zahanati ya kijiji alionekana hana tatizo. Akizungumzia tatizo hilo kwa undani mzee Chigawa alisema kuwa kila mtuhumiwa huyo anapotokewa na tatizo hilo huwa anatetemeka mwili mzima na huwa anazungumza maneno yasiyoeleweka.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin" lang="EN-GB"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin" lang="EN-GB"&gt;Kwa mujibu wa maelezo ya Eduard Chigawa ni kwamba mnamo&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt; &lt;/span&gt;machi 11,1981 mtuhumiwa alikwenda shambani pamoja nae, na mara baada ya kumaliza shughuli&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt; &lt;/span&gt;za shamba wote walirejea nyumbani. Walipofika nyumbani mtuhumiwa alitoweka ghafla katika mazingira ya kutatanisha, na aliporejea alikuwa akitweta na kuongea maneno yasiyoeleweka, lakini miongoni mwa maneno yake alisema kuwa amemuuwa adui&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt; &lt;/span&gt;yake mzee Makende. Katika majumuisho ya ushahidi uliotolewa dhidi ya mtuhumiwa pale mahakamani mwanasheria wa serikali aliyetambuliwa kwa jina moja tu Rutashobya aliieleza mahakama kuwa mtuhumiwa hakuwa mwendawazimu kwani &lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt;&lt;/span&gt;alikuwa na akili zake timamu wakati anamuuwa mzee Makende na alikuwa akijua ni nini anachokifanya kwa hiyo ana hatia kutokana na kosa aliloshitakiwa nalo.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin" lang="EN-GB"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin" lang="EN-GB"&gt;Mwanasheria huyo alinukuu vifungu vya 12 na13 vya kanuni za sheria ambavyo vinafafanua juu ya kumtambua mtu mwendawazimu na asiye mwendawazimu na ili kutetea hoja yake alitoa mfano wa kesi namba 23 EACA 622 ya&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt; &lt;/span&gt;Muswi Musola na kumalizia kwamba mshitakiwa anapaswa kupatikana na hatia kama alivyoshitakiwa. Katika majibu yake dhidi ya mwanasheria wa serikali wakili aliyekuwa akimtetea mtuhumiwa huyo ambaye naye alitajwa kwa jina moja tu la Bi Humplick aliielezea mahakama kuwa ni kweli mtuhumiwa alikuwa na hali ya kuchanganyikiwa ndiyo sababu alikuwa hajui ni nini anachokifanya.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin" lang="EN-GB"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin" lang="EN-GB"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin" lang="EN-GB"&gt;Ili kutetea hoja yake hiyo naye alirejea kesi namba A 330 ya mwaka 1957 kati ya Jamhuri na Magata Kachehekana. Bi Humplick aliendelea kusema imani juu ya uchawi kwa kawida huwa inaweza kumfanya yule anaeamini kutojua kuwa ni nini anachokifanya. Wakili huyo Aliendelea kubainisha kwamba mtuhumiwa hakuwa anajitambua wakati alipokuwa anakwenda kumshambulia mzee Makende kwa hiyo hana haki ya kushitakiwa. Nao wazee wa Baraza katika kesi hii (Assessors) katika maoni yao mara baada ya kupitia kwa makini kanuni ya sheria namba 12 na 13 iliyotolewa na mwanasheria aliyekuwa akimtetea mtuhumiwa, Bi Humplick, wote kwa pamoja waliridhika kabisa kuwa mtuhumiwa anayo kesi ya kujibu kama alivyoshitakiwa.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin" lang="EN-GB"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin" lang="EN-GB"&gt;Wazee wote wa Baraza hawakuridhishwa na madai kwamba mtuhumiwa hakuwa anajua ni nini anachokifanya wakati anatekeleza mauaji. Mzee wa Baraza wa kwanza aliyejulikana kwa jina la Ramadhani alisema kwamba, kama mtuhumiwa alikuwa na uwendawazimu asingeweza kuzungumza yale yote aliyomueleza Eduard Chigawa kwa sababu alikuwa hajui ni nini anachokifanya.Nae mzee wa pili wa baraza aliyejulikana kwa jina la Martin alisema kwamba kwa mujibu wa vipimo vya hospitalini ilibainika kwamba mtuhumiwa alithibitishwa kuwa alikuwa na akili zake timamu na pia ugonjwa wa uwendazimu aliokuwa anadai kuwa ulikuwa ukimtokea mara kwa mara haukuwa ukifahamika pale kijijini kwao kwa sababu kwa kawaida&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt; &lt;/span&gt;mtu mwenye ugonjwa wa uwendawazimu angejulikana pale kijijini kwao. &lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin" lang="EN-GB"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="mso-ascii-theme-font: major-latin; mso-hansi-theme-font: major-latin" lang="EN-GB"&gt;Kwa maneno yake mwenyewe mzee Martin alisema “Hivi inawezekana kweli mtuhumiwa awe anaumwa uwendawazimu na awe na uwezo wa kukumbuka kwamba, kwa kuwa mzee Makende aliwahi kumwambia kuwa atamloga, kwa hiyo ndiye aliyemloga na hivyo aamue kwenda kumuuwa? Zaidi &lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt;&lt;/span&gt;ya hapo mtuhumiwa pia anajua kwa usahihi kabisa kwamba alimpiga mzee Makende&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt; &lt;/span&gt;na mchi mara ngapi kichwani kitu ambacho hakiwezekani kufanywa na mtu mwenye&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt; &lt;/span&gt;wendawazimu”&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal"&gt;************ITAENDELEA***************&lt;/p&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-1249230761720137861?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/1249230761720137861/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=1249230761720137861&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/1249230761720137861'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/1249230761720137861'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2011/05/kumbe-hakuwa-mwendawazimu.html' title='KUMBE HAKUWA MWENDAWAZIMU!'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-klDvfkCDLps/Tclth-c-dQI/AAAAAAAAAiY/F10oVi6bdCs/s72-c/haki.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-6211993595749314318</id><published>2011-05-04T15:43:00.002+03:00</published><updated>2011-05-04T15:56:05.312+03:00</updated><title type='text'>MSINIONE NAPENDEZA</title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-xSTRFSpiM_8/TcFKfSxveWI/AAAAAAAAAiA/bwIfw7ToKm8/s1600/IMGP2548.JPG"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; DISPLAY: block; HEIGHT: 240px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5602841312902478178" border="0" alt="" src="http://4.bp.blogspot.com/-xSTRFSpiM_8/TcFKfSxveWI/AAAAAAAAAiA/bwIfw7ToKm8/s320/IMGP2548.JPG" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt; &lt;/span&gt;&lt;strong&gt;&lt;em&gt;&lt;span style="color:#330000;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;Hapa ndipo ninaponunulia Viwalo vyangu&lt;/span&gt;............&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Hivi karibuni nimemtembelea Rafiki yangu Musa Hassan maarufu kwa jina la Kambi, yeye ni muuzaji wa Nguo zilizotumika huko Ughaibuni maarufu kama Mitumba pale maeneo ya Karume. Ni siku nyingi kidogo tangu nilipoonana naye kwa mara ya mwisho. Nilizungumza naye mambo mengi juu ya maisha na mustakabali wa biashara zao pale Karume pamoja na rabsha za Askari wa Jiji.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Jambo moja ambalo lililonivutia ni kuhusiana na Machinga Complex, nilimdadisi kutaka kujua kwa nini hakuomba nafasi katika jengo lile ambalo hadi leo bado lina nafasi za kutosha?&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Maelezo yake kwa kweli yaliniacha kinywa wazi.......... wiki ijayo mungu akipenda nitawawekea kile nilichozungumza na rafiki yangu huyu.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-6211993595749314318?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/6211993595749314318/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=6211993595749314318&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/6211993595749314318'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/6211993595749314318'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2011/05/msinione-napendeza.html' title='MSINIONE NAPENDEZA'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-xSTRFSpiM_8/TcFKfSxveWI/AAAAAAAAAiA/bwIfw7ToKm8/s72-c/IMGP2548.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-3639679886757724604</id><published>2011-04-26T08:09:00.002+03:00</published><updated>2011-04-26T08:14:58.859+03:00</updated><title type='text'>NI MBAYA KWA KULINGANISHWA NA NINI HASA?</title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-F9sHFBxQueU/TbZUQKvPqrI/AAAAAAAAAh4/pdWpUxXR2U4/s1600/africa_closeup.jpg"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 246px; DISPLAY: block; HEIGHT: 320px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5599755823418944178" border="0" alt="" src="http://4.bp.blogspot.com/-F9sHFBxQueU/TbZUQKvPqrI/AAAAAAAAAh4/pdWpUxXR2U4/s320/africa_closeup.jpg" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;strong&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;color:#663333;"&gt;&lt;em&gt;Kuna mengi tusiyoyajua!&lt;br /&gt;&lt;/em&gt;&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%;font-size:12;" &gt;&lt;span style="font-family:Calibri;"&gt;&lt;?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-com:office:office" /&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%;font-size:12;" &gt;&lt;span style="font-family:Calibri;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%;font-size:12;" &gt;&lt;span style="font-family:Calibri;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;Miongoni mwa wanafalsafa maarufu duniani ni mgiriki Socrates. Kwa wale wanaosoma na kufuatilia maisha ya wanafalsafa wa kale hapa duniani, huenda watakuwa wanajua kuhusu ndoa ya mwanafalsafa huyu maarufu.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;Wanaofuatilia maisha ya wanafalsafa hao watakubaliana nami kuhusu mke wa Socrates. Watu au wenzake Socrates walipokuwa wanamuuliza kuhusu mke wake, wakitegemea kusikia akilalamika, kwa sababu mama huyu alikuwa na ghubu sana, hawakusikia malalamiko yoyote. Badala yake aliwauliza, ‘mnataka kujua yukoje kwa kulinganisha na nini?’&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;Je, wewe umeshagundua mahali ambapo falsafa imejificha kwenye swali hilo la Socrates la ‘kwa kulinganisha nanini?’ Ni hivi, iwe ni kwa watu, maeneo, hali, matukio, na hata hisia zetu vyote hivyo havina maana yenye kulingana kwa watu wote. Vyote hivyo ni vizuri au vibaya kwa viwango kwa kutegemea tunavilinganisha na nini.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;Kwa mfano nikisema mke wangu ni mgomvi sana na ana ghubu ni lazima niwe ninawajua wanawake ambao ni wagomvi au wana ghubu kidogo. Kwa kuwajua hao ndipo ninapojua viwango vya ghubu au ugomvi. Hivyo hapo ninaweza kusema kiwango cha ugomvi au ghubu kwa mke wangu. Kama sina cha kulinganisha, maana yake sina mahali pa kupimia.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;Kwa kujua ukweli huu kutoka kwa Socrates, tunaweza kupata utambuzi mkubwa zaidi na mbinu za kumudu kuishi bila matatizo na watu wakorofi, penye matatizo, penye hali ngumu au mbaya na matukio ya kila siku kwenye maisha yetu. Tunapata uwezo wa kuyapa hayo yote majibu mazuri baada ya kufikiri vizuri. &lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;Hebu fikiria kuna aina ngapi za watu? Kuna aina nyingi sana, kama ilivyo idadi ya watu, kwa mfano, kwa Tanzania kuna aina za watu kiasi cha milioni 30! Kama tunashindwa kuwavumilia watu wakorofi kama tunavyowaita, inabidi tujiulize kwanza, watu hao ni wakorofi kwa kulinganisha na kitu gani? Kama kila mtu ana tabia, mienendo na mitazamo yake, ukorofi wa hawa unaupima kutokea wapi? Kwa kulinganisha na akina nani wakati kila mmoja ana tabia tofauti na mwingine?&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;Hebu tuchukue vikombe vya aina moja, kama kimoja kimebenduka, tunaweza kusema hakiko kamili. Ni rahisi kusema hivyo kwa sababu, tuna mahali pa kulinganisha, ambapo ni kwenye vile vikombe vingine vizima. Kwa binadamu hali ni tofauti kabisa, kwa sababu wote ni tofauti.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;Hebu fikiria kuhusu tukio fulani kwenye maisha yako. Unasema kwamba, hili ni tukio baya. Lakini bado kuna swali, kwa kulinganisha na tukio lipi? Kila tukio linatokea mahali pake, muda wake na kwa sababu fulani au maalumu ili maisha yaendelee kuwepo. Kwa nini kama ni hivyo udhani tukio fulani ni baya au zuri? Huu ubaya au uzuri ni kwa kulinanisha na tukio lipi wakati kila tukio lina mahali, muda,na sababu ya kutokea kwake?&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;Tunaambiwa kwamba kila jambo ambalo linaingia kwenye mfumo wetu wa kufikiri ni vizuri au vema likawa limepimwa kwa mujibu wa tafsiri zetu ambazo hazipaswi kutuumiza. Unaona jambo ambalo linataka kukuumiza kihisia, ni kwa nini usijiulize kama jambo hilo ni baya, ni kwa kulinganisha na lipi? &lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;Kumbuka ni lazima kuwe na mahali ambapo tunasimama ili kupima uzuri au ubaya wa jambo kwa kulinganisha na mengine, ambayo kwa kawaida hayatarajiwi kubadilika.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;Kama yanabadilika, basi ni vigumu kusema kuwa ni mabaya au mazuri, kwani hatuna mahali pa kuyalinganisha. Kama vikombe vinavyofanana kabatini vingekuwa wakati mwingine kimoja kinakuwa kirefu kingine kifupi au kinaadilika rangi, tusingeweza kuvilinganisha pia. Binadamu kila mmoja ana haiba yake, kila mmoja ni yeye kwa tabia, mienendo na hata miili.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-3639679886757724604?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/3639679886757724604/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=3639679886757724604&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/3639679886757724604'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/3639679886757724604'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2011/04/ni-mbaya-kwa-kulinganishwa-na-nini-hasa.html' title='NI MBAYA KWA KULINGANISHWA NA NINI HASA?'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-F9sHFBxQueU/TbZUQKvPqrI/AAAAAAAAAh4/pdWpUxXR2U4/s72-c/africa_closeup.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-9146573966592122385</id><published>2011-04-22T10:08:00.006+03:00</published><updated>2011-04-22T10:17:11.202+03:00</updated><title type='text'>TUNAWATAKIA IJUMAA KUU NJEMA</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-vESTiqbYo5s/TbErOQoxhhI/AAAAAAAAAhw/U5hJ0IGmGcY/s1600/Untitled-2%2Bcopy.jpg"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; DISPLAY: block; HEIGHT: 213px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5598303335782385170" border="0" alt="" src="http://2.bp.blogspot.com/-vESTiqbYo5s/TbErOQoxhhI/AAAAAAAAAhw/U5hJ0IGmGcY/s320/Untitled-2%2Bcopy.jpg" /&gt;&lt;/a&gt; &lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-9146573966592122385?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/9146573966592122385/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=9146573966592122385&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/9146573966592122385'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/9146573966592122385'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2011/04/tunawatakia-ijumaa-kuu-njema.html' title='TUNAWATAKIA IJUMAA KUU NJEMA'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-vESTiqbYo5s/TbErOQoxhhI/AAAAAAAAAhw/U5hJ0IGmGcY/s72-c/Untitled-2%2Bcopy.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-976415074350849916</id><published>2011-04-13T08:53:00.009+03:00</published><updated>2011-04-13T09:11:00.521+03:00</updated><title type='text'>MWANANGU SHEYLA KALUSE ATIMIZA MIAKA 7 LEO</title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-gTOZHiSQH2M/TaU8EbtDFYI/AAAAAAAAAhQ/kqxXVyRgas8/s1600/IMGP2326.JPG"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 240px; DISPLAY: block; HEIGHT: 320px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5594944158931555714" border="0" alt="" src="http://4.bp.blogspot.com/-gTOZHiSQH2M/TaU8EbtDFYI/AAAAAAAAAhQ/kqxXVyRgas8/s320/IMGP2326.JPG" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;strong&gt;&lt;em&gt; &lt;span style="color:#330000;"&gt;Sheyla miaka 7 sasa&lt;/span&gt;&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt; &lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-kaAmGKe-4u8/TaU7y04mC7I/AAAAAAAAAhI/ze2vzx-RaDI/s1600/IMGP2345.JPG"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 240px; DISPLAY: block; HEIGHT: 320px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5594943856453225394" border="0" alt="" src="http://1.bp.blogspot.com/-kaAmGKe-4u8/TaU7y04mC7I/AAAAAAAAAhI/ze2vzx-RaDI/s320/IMGP2345.JPG" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;strong&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="color:#330000;"&gt;&lt;em&gt;Rankim miaka 9 sasa&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-cIkn_eObr-w/TaU7k3evmbI/AAAAAAAAAhA/A8Sz7e2aD8M/s1600/IMGP2355.JPG"&gt;&lt;em&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; DISPLAY: block; HEIGHT: 240px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5594943616631937458" border="0" alt="" src="http://2.bp.blogspot.com/-cIkn_eObr-w/TaU7k3evmbI/AAAAAAAAAhA/A8Sz7e2aD8M/s320/IMGP2355.JPG" /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/em&gt;&lt;/a&gt;&lt;em&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;strong&gt;&lt;span style="font-size:130%;color:#330000;"&gt;Sheyla akininong'oneza jambo!&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-sFEvUrTUZRA/TaU7WmJROTI/AAAAAAAAAg4/aTWdaPp7wnQ/s1600/IMGP2352.JPG"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; DISPLAY: block; HEIGHT: 240px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5594943371460294962" border="0" alt="" src="http://3.bp.blogspot.com/-sFEvUrTUZRA/TaU7WmJROTI/AAAAAAAAAg4/aTWdaPp7wnQ/s320/IMGP2352.JPG" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;color:#330000;"&gt;&lt;strong&gt;&lt;em&gt;Hapa akisubiri nimjibu&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-com:office:office" /&gt;&lt;o:p&gt;&lt;span style="font-family:Calibri;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-family:Calibri;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;color:#660000;"&gt;&lt;strong&gt;&lt;em&gt;(Picha hizi zimepigwa na Fadhy Mtanga)&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;&lt;em&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;font-size:130%;color:#660000;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Tarehe kama ya leo, ndio siku ambayo binti huyu alizaliwa, ilikuwa ni furaha kwangu na kwa mzazi mwenzangu kuzaliwa kwa binti huyu ambaye alitanguliwa na kaka yake Rankim aliyezaliwa miaka miwili iliyopita kabla yake. Mwenetu Rankim alitimiza miaka 9 hapo mnamo tarehe 28/02/2011.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Kwa niaba ya sisi wazazi wa watoto hawa tunapenda kutoa pongezi kwa wenetu hawa wawili kwa kutimiza miaka. Mungu awajaalie wakue kwa umri na kimo ili wapate kutimiza ndoto zao.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-976415074350849916?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/976415074350849916/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=976415074350849916&amp;isPopup=true' title='11 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/976415074350849916'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/976415074350849916'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2011/04/mwanangu-sheyla-kaluse-atimiza-miaka-7.html' title='MWANANGU SHEYLA KALUSE ATIMIZA MIAKA 7 LEO'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-gTOZHiSQH2M/TaU8EbtDFYI/AAAAAAAAAhQ/kqxXVyRgas8/s72-c/IMGP2326.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>11</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-1851409290506312662</id><published>2011-04-11T16:42:00.003+03:00</published><updated>2011-04-11T16:51:52.981+03:00</updated><title type='text'>KUNA AMBAO HAWAJUI TOFAUTI YA FEDHA NA UPENDO</title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-wbIIlPuycv8/TaMGwmQikyI/AAAAAAAAAgg/Ob7D3_flaBo/s1600/SuperStock_1439R-1108563.jpg"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; DISPLAY: block; HEIGHT: 213px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5594322594097697570" border="0" alt="" src="http://2.bp.blogspot.com/-wbIIlPuycv8/TaMGwmQikyI/AAAAAAAAAgg/Ob7D3_flaBo/s320/SuperStock_1439R-1108563.jpg" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;strong&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;color:#330000;"&gt;&lt;em&gt; Wanahitaji malezi mazuri &lt;/em&gt;&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;color:#330000;"&gt;&lt;strong&gt;&lt;em&gt;&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-family:Calibri;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Kuna wazazi ambao pengine kwa kutofahamu hupenda kutamka maneno kama haya mbele ya watoto, ‘bila fedha dunia hii nani atakujua, ni nani atakuthamini,’&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt; &lt;/span&gt;watoto waliolelewa wakiyasikia maneno au kauli kama hizi mara kwa mara ndio wale watu ambao leo hawawezi kuthamini mtu mwingine hadi mtu huyo awe na fedha. Ndio wale ambao leo wanapoona mtu ana fedha hata akiwatemea machoni hufurahi na kuona fahari, wale ambao hujipendekeza kwa watu wenye fedha ni sehemu muhimu ya maisha yao.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Hawa ndiyo wale watu ambao wanapokosa fedha huwa kama wagonjwa, ndoa zao huwa ngumu, uhusiano na wenzao huwa mgumu na kukata tamaa huwafikia haraka. Hii ni kwa sababu wazazi wao waliingiza akilini mwao imani hii ya kwamba mtu kutokuwa na fedha si lolote si chochote na kwamba mtu mwenye fedha ndiye binadamu zaidi na anastahili kunyenyekewa kwa sababu thamani yake ni kubwa.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Kuna wakati wazazi huwa wanaamini kwamba mtoto hapaswi kuambiwa hapana kwa kila anachokihitaji kama uwezo wa kumpa kitu hicho upo. Wazazi hawa humpa mtoto kila anachokitaka bila kujali kama kinamsaidia katika makuzi yake au hapana.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Tabia hii ni mbaya na ya hatari sana katika makuzi ya mtoto,&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt; &lt;/span&gt;kwani mtoto anayelelewa katika mazingira haya huja kuwa na wakati mgumu sana maishani kuhusiana na fedha. Bila shaka umeshawahi kusikia &lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt;&lt;/span&gt;kuona watu ambao hawako tayari kusikia neno ‘hakuna’ hasa kuhusu fedha. &lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Hawa ni wale watu ambao walipokuwa watoto hawakunyimwa kitu, walipewa na wazazi kila walichohitaji. Kwa sababu hiyo wakakua wakiamini kwamba binadamu anapaswa kupata chochote kila anapokihitaji.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Hebu fikiria kuhusu mtu ambaye anaamini akilini mwake kwamba kila anachohitaji ni lazima kipatikane. Lakini siyo kuhitaji kutoka kwake mwenyewe, la hasha bali kuhitaji kutoka kwa mwingine.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Kuna watu ambao wanapokuomba kitu au fedha na ukawaambia huna, inakuwa tayari umeshajenga uadui mkubwa nao kwa sababu wao hawajui neno ‘hapana’. Wakati wanapohitaji kitu, wazazi wao waliwajaza akilini mwao dhana kwamba mtu ni lazima apate kila anachokiomba au kukitaka kutoka kwa mwingine. &lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Kama ni ndani ya ndoa wanawake waliopata malezi haya huwa wanasaidia sana kuzilegeza au hata kuzivunja ndoa zao. Kwa kuwa wamelelewa kwa kupewa kila walichokihitaji.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Wanapoolewa huwa hawategemei hata siku moja waume zao kuwaambia ‘sina’. Wanapoambiwa ‘sina’ na waume zao, wanatafsiri kauli hiyo kama ukosefu wa upendo. Kwani wazazi wao waliwapa kila kitu kwa sababu waliwapenda. Hivyo wao wanavyoamnini ni kwamba upendo ni sawa na kutoa kila kinachoombwa na mwingine.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Bila shaka umeshawahi kusikia jinsi baadhi ya watu wanavyolalamika wanaponyimwa kitu walichoomba kutoka kwa mwingine. Hata ukiangalia mtindo wao wa kuomba ni kama vile wanatoa amri au kulazimisha wapewe, iwe ni haki yao au siyo haki yao. Hii ni kwa saabu katika makuzi ao hawakufundishwa kutofautisha kati ya utashi na hitaji.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Ili kupunguza watu wa aina hii katika jamii inabidi wazazi wawe makini sana katika malezi ya watoto wao kuhusu fedha. Mtoto ni lazima aonyeshwe kwa upendo kwamba kuna wakati hawezi kupewa kila anachohitaji. Kuna wakati ni lazima anyimwe kwa upendo kitu anachohitaji hata kama wazazi wana uwezo wa kukipata kirahisi. Kunyimwa huku kutamfanya mtoto aingize akilini dhana kwamba katika maisha siyo lazima tupate kila kitu tunachokihitaji.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Mtoto ni lazima aonyeshwe tofauti kati ya utashi na mahitaji. Kuna mahitaji ya msingi ya binadamu ambayo ni lazima mtu ayapate. Lakini kuna tamaa ya kimwili ambayo humpelekea kutaka kila anachokiona. Ni lazima mtoto aambiwe ni kwa nini inabidi mtu afanye uchaguzi wa kupata mahitaji kwanza na baadae ndiyo afikirie kupata utashi.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Mtoto asipofundishwa kwa vitendo au hata kwa kuelekezwa kuhusu ukweli huu ndipo pale anapokuja kuwa mkubwa hushindwa kujua anunue au atafute nini kwanza na nini baadae katika mahiaji yake. Unaweza kukuta mtu ana gari la bei mbaya asana lakini mahali pa kulala ni tabu. Unaweza kukuta mtu anavaa nguo za bei mbaya sana, lakini kwake hata mahali pa kukaa hakuna. Watu kama hawa hawazuki tu, bali huzushwa na malezi haya mabaya.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Malezi mazuri ni yale ambayo mtoto hupewa au huonyeshwa upendo kukubaliwa na kuungwa mkono kwenye mambo anayoyafanya na siyo yale ya kupewa fedha badala ya mambo hayo. Fedha ikichukua nafasi ya mambo hayo mtoto anapokuja kukua atashindwa kutofautisha kati ya fedha na upendo au mapenzi.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Kama ni mtoto wa kike ndiyo wale ambao hawawezi kukaa na mume ambaye hana fedha. Hawawezi kwa sababu pasipo na fedha hakuna mapenzi au upendo kama walivyolelewa kwa kuamini hivyo.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;/p&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-1851409290506312662?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/1851409290506312662/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=1851409290506312662&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/1851409290506312662'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/1851409290506312662'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2011/04/kuna-ambao-hawajui-tofauti-ya-fedha-na.html' title='KUNA AMBAO HAWAJUI TOFAUTI YA FEDHA NA UPENDO'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-wbIIlPuycv8/TaMGwmQikyI/AAAAAAAAAgg/Ob7D3_flaBo/s72-c/SuperStock_1439R-1108563.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-1252655609809277025</id><published>2011-04-09T13:02:00.008+03:00</published><updated>2011-04-09T13:30:41.376+03:00</updated><title type='text'>KITUO CHETU CHA FAJI KUKUMBWA NA BOMO BOMOA</title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-KRaFOmmEvvc/TaAzUmEp0LI/AAAAAAAAAf0/hAF_hUu9ll0/s1600/IMGP2300.JPG"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; DISPLAY: block; HEIGHT: 240px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5593527166104621234" border="0" alt="" src="http://2.bp.blogspot.com/-KRaFOmmEvvc/TaAzUmEp0LI/AAAAAAAAAf0/hAF_hUu9ll0/s320/IMGP2300.JPG" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;strong&gt;&lt;em&gt;&lt;span style="color:#330000;"&gt; Alama ya X katika kituo cha FAJI&lt;/span&gt;&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt; &lt;/span&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-a_QjLR-Tlgs/TaAxVqg2HCI/AAAAAAAAAfs/mYTDqA-P5wo/s1600/IMGP2301.JPG"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; DISPLAY: block; HEIGHT: 240px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5593524985453222946" border="0" alt="" src="http://3.bp.blogspot.com/-a_QjLR-Tlgs/TaAxVqg2HCI/AAAAAAAAAfs/mYTDqA-P5wo/s320/IMGP2301.JPG" /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/a&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;color:#330000;"&gt;&lt;strong&gt;&lt;em&gt;Bomoa ni andiko ukutani&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/span&gt; &lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-wKylKA7yPrY/TaAxBwLmyQI/AAAAAAAAAfk/SPN7-Uk5UX8/s1600/IMGP2294.JPG"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; DISPLAY: block; HEIGHT: 240px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5593524643377367298" border="0" alt="" src="http://4.bp.blogspot.com/-wKylKA7yPrY/TaAxBwLmyQI/AAAAAAAAAfk/SPN7-Uk5UX8/s320/IMGP2294.JPG" /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/a&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;color:#330000;"&gt;&lt;strong&gt;&lt;em&gt;Mwenyekiti Mzee Mbeyela&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/span&gt; &lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-FyqXXVHkuSE/TaAwmZCY3rI/AAAAAAAAAfc/SVJDpubsIWc/s1600/IMGP2288.JPG"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; DISPLAY: block; HEIGHT: 240px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5593524173308223154" border="0" alt="" src="http://4.bp.blogspot.com/-FyqXXVHkuSE/TaAwmZCY3rI/AAAAAAAAAfc/SVJDpubsIWc/s320/IMGP2288.JPG" /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/a&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;color:#330000;"&gt;&lt;strong&gt;&lt;em&gt; Mwenyekiti Mbeyela na Katibu Tafsiana&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-WUpg8-WsYRE/TaAwT3ac3rI/AAAAAAAAAfU/ToVD9n5jKOs/s1600/IMGP2298.JPG"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;color:#330000;"&gt;&lt;strong&gt;&lt;em&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; DISPLAY: block; HEIGHT: 240px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5593523855044697778" border="0" alt="" src="http://2.bp.blogspot.com/-WUpg8-WsYRE/TaAwT3ac3rI/AAAAAAAAAfU/ToVD9n5jKOs/s320/IMGP2298.JPG" /&gt;&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/span&gt;&lt;/a&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;color:#330000;"&gt;&lt;strong&gt;&lt;em&gt;Wanachama wakitoa michango yao&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-hjzY8UH2SWg/TaAvvaxkTtI/AAAAAAAAAfM/HEoozvWSENk/s1600/IMGP2305.JPG"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; DISPLAY: block; HEIGHT: 240px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5593523228881735378" border="0" alt="" src="http://4.bp.blogspot.com/-hjzY8UH2SWg/TaAvvaxkTtI/AAAAAAAAAfM/HEoozvWSENk/s320/IMGP2305.JPG" /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/a&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;color:#330000;"&gt;&lt;strong&gt;&lt;em&gt; Wanachama baada ya Kikao&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-fFv1AvqQ-7E/TaAvK4SzkrI/AAAAAAAAAfE/1pZPcJLLBx8/s1600/IMGP2304.JPG"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; DISPLAY: block; HEIGHT: 240px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5593522601150616242" border="0" alt="" src="http://1.bp.blogspot.com/-fFv1AvqQ-7E/TaAvK4SzkrI/AAAAAAAAAfE/1pZPcJLLBx8/s320/IMGP2304.JPG" /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/a&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;strong&gt;&lt;em&gt;&lt;span style="color:#330000;"&gt;Wanachama picha ya pamoja&lt;/span&gt;&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt; &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Huu utakuwa ni msiba mkubwa kwa wanafamilia ya Jitambue, baada ya serikali kuweka alama ya X kwenye nyumba ambayo ndipo kilipo kitivo chetu kikuu cha kukutana na kuelimishana juu ya Utambuzi na Kujitambua.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Kituo hicho ambacho kilianzishwa na Mwasisi wa madarasa haya ya Utambuzi Hayati Munga Tehenan ambaye alifariki hapo mnamo tarehe 5 Mei 2008, kimekuwa ni chachu ya mabadiliko ya kitabia na mienendo kwa wanachama wake na wapenzi waliokuwa wakihudhuria madarasa hayo na wale waliokuwa wakisoma vitabu na magazeti ya Jitambue.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Baada ya kifo cha mwasisi huyo, ni madarasa pekee ndiyo yaliyokuwa yamebaki pamoja na blog hii yaliyokuwa yakiendelea kuelimisha juu ya maarifa haya ya utambuzi.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;SIku ya Alhamisi ya tarehe 7 April 2011, tulikutana katika kituo hicho ili kujadili mustakabali wa umoja wetu na kuweka mikakati ya kuboresha uendeshaji wa kituo chetu ikiwa ni pamoja na kuangalia uwezekano wa kuhama katika jengo hilo kabla ya utekelezaji wa bomoa bomoa.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Katika mjadala huo Katibu wa kikundi Dada Tafsiana alieleza changamoto kubwa mbili zinazoikabili familia yetu ya Jitambue.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Kwanza alizungumzia juu ya wanachama wengi kutojihusisha katika shughuli mbalimbali za umoja wetu, inawezekana wakawa aidha wamejitoa, au wameamua tu kukaa pembeni&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt; &lt;/span&gt;kwa sababu zao wanazozijua. Alibainisha pia kuwa mahudhurio kwa wanachama katika vikao muhimu vya &lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt;&lt;/span&gt;maamuzi ni hafifu mno kiasi kwamba viongozi wanashindwa kupitisha maamuzi mbali mbali kwa kuhofia kuonekana kuungwa mkono na idaidi ndogo ya wanachama. Akitoa mfano alisema kuwa kati ya wanachama 70 aliowatumia ujumbe wa simu ya kiganjani kuwaalika katika kikao hicho ni wanachama 9 tu ambao tulihudhuria.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Pili alizungumzia juu ya kukwama kwa miradi mbalimbali ya umoja wetu kutokana na ukosefu wa fedha, hiyo imekuwa ni changamoto kubwa kwa sababu wanachama wameshindwa kuwasilisha michango yao ambayo ndio chanzo kikuu cha mapato katika kugharamia uendeshaji wa kituo chetu.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Mwenyekiti ndugu Fred Mbeyela Aliwaomba wanachama waliohudhuria katika kikao hicho kutoa mawazo yao ya namna ya kukiendesha kituo chetu ambacho kwa kweli kinaonekana kukosa mwelekeo kwa sasa. &lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Wanachama tuliohudhuria tulikubaliana kwa pamoja kubadili muundo wa uendeshaji wa kituo chetu.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Kwanza tulikubaliana kwamba tutafute ofisi mahali pengine ili kupisha bomoa bomoa&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Pili tulikubaliana kwamba katiba ya umoja wetu ibadilishwe na kuboreshwa zaidi&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt; &lt;/span&gt;na pia kuwe na masharti ya uanachama yatakayowafanya wanachama wawajibike katika umoja wetu.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Na tatu kuongeza kipengele katika katiba kitakachoruhusu shughuli za Umoja wetu zibinafsishwe kwa mtu au kikundi kitakachojitokeza kutaka kukiendesha kituo chetu.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Ili kufanikisha maamuzi hayo iliamuliwa kwamba patafutwe wataalamu watakaoipitia katiba yetu na kutoa mapendekezo ya namna ya kuiboresha kulingana na matakwa ya wanafamilia.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Waliopewa jukumu hilo ni mimi, mama Juliana Mwenda na kijana mwingine aliyejulikana kwa jina la Jafari.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Waliohudhuria kikao hicho ni:&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Fredi Mbeyela – Mwenyekiti&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Tasfiana P Kapufi – Katibu&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Moshi Mwachura – Mweka Hazina&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Dr. John Simbila – Mjumbe&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Bi Juliana Mwenda – Mjumbe&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Musa Utali – Mjumbe&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Jaffari –Mjumbe&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Ali Mkandama – Mjumbe&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Shaban Kaluse- Mjumbe&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Nitaendelea kuwajuza&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt; &lt;/span&gt;zaidi kila hatua tutakayopiga katika jitihada hizi tuliyoianzisha ya kutaka kuboresha kituo chetu cha Wanafamilia ya Jitambue&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-1252655609809277025?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/1252655609809277025/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=1252655609809277025&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/1252655609809277025'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/1252655609809277025'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2011/04/kituo-chetu-cha-faji-kukumbwa-na-bomo.html' title='KITUO CHETU CHA FAJI KUKUMBWA NA BOMO BOMOA'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-KRaFOmmEvvc/TaAzUmEp0LI/AAAAAAAAAf0/hAF_hUu9ll0/s72-c/IMGP2300.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-3827301226321779533</id><published>2011-04-02T15:06:00.004+03:00</published><updated>2011-04-02T15:16:14.848+03:00</updated><title type='text'>MSIONE KIMYA, NITAREJEA SIKU SI NYINGI.</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-F7fDFXtBeGo/TZcS2I6yDvI/AAAAAAAAAe8/bQVpfyurDEM/s1600/Copy%2Bof%2BIMGP0574.JPG"&gt;&lt;/a&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-hsmdXc9n4Q0/TZcSY1QAY2I/AAAAAAAAAe0/a7aFDxMNX1M/s1600/IMGP2026.JPG"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; DISPLAY: block; HEIGHT: 240px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5590957680224133986" border="0" alt="" src="http://1.bp.blogspot.com/-hsmdXc9n4Q0/TZcSY1QAY2I/AAAAAAAAAe0/a7aFDxMNX1M/s320/IMGP2026.JPG" /&gt;&lt;/a&gt; &lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-C_eHG034BGY/TZcSE9uFvBI/AAAAAAAAAes/DYQitloz4Uk/s1600/IMGP2027.JPG"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; DISPLAY: block; HEIGHT: 240px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5590957338900413458" border="0" alt="" src="http://2.bp.blogspot.com/-C_eHG034BGY/TZcSE9uFvBI/AAAAAAAAAes/DYQitloz4Uk/s320/IMGP2027.JPG" /&gt;&lt;/a&gt; &lt;br /&gt;&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-3fgpr7dTJKk/TZcRhHvVsxI/AAAAAAAAAek/odz1lwd8ip0/s1600/IMGP2077.JPG"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; DISPLAY: block; HEIGHT: 240px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5590956723114717970" border="0" alt="" src="http://3.bp.blogspot.com/-3fgpr7dTJKk/TZcRhHvVsxI/AAAAAAAAAek/odz1lwd8ip0/s320/IMGP2077.JPG" /&gt;&lt;/a&gt; &lt;strong&gt;&lt;em&gt;&lt;span style="color:#660000;"&gt;Ni kuzidiwa na majukumu tu. &lt;/span&gt;&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-3827301226321779533?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/3827301226321779533/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=3827301226321779533&amp;isPopup=true' title='5 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/3827301226321779533'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/3827301226321779533'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2011/04/msione-kimya-nitarejea-siku-si-nyingi.html' title='MSIONE KIMYA, NITAREJEA SIKU SI NYINGI.'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-hsmdXc9n4Q0/TZcSY1QAY2I/AAAAAAAAAe0/a7aFDxMNX1M/s72-c/IMGP2026.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>5</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-2852458694232219714</id><published>2011-02-14T19:03:00.002+03:00</published><updated>2011-02-14T19:31:14.851+03:00</updated><title type='text'>ILIKUWA NI NASIBU AU?</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-2wpTAiSLOZ4/TVlS65DoO5I/AAAAAAAAAeU/8lJ88PTMufI/s1600/IMGP0504.JPG"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; DISPLAY: block; HEIGHT: 240px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5573577185549630354" border="0" alt="" src="http://3.bp.blogspot.com/-2wpTAiSLOZ4/TVlS65DoO5I/AAAAAAAAAeU/8lJ88PTMufI/s320/IMGP0504.JPG" /&gt;&lt;/a&gt; &lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Jana nilitembela kituo chetu cha tiba mbadala kinachoendeshwa na wanautambuzi wenzangu wakiongozwa na Dk. John Simbila na Mwenzie Emmanuel, na katika hali isiyotarajiwa tulijikuta wote tukiwa tumevaa fulana zinazofanana, lakini cha kushangaza zaidi ni pale nilipogundua kuwa hata makubazi (Sandles) alizovaa Dk. John na za kwangu zimefanana vile vile. &lt;/span&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Kutoka kushoto Dr. John Simbila, katikati ni Emmanuel na anayefuatia ni mimi.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-2852458694232219714?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/2852458694232219714/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=2852458694232219714&amp;isPopup=true' title='6 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/2852458694232219714'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/2852458694232219714'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2011/02/ilikuwa-ni-nasibu-au.html' title='ILIKUWA NI NASIBU AU?'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-2wpTAiSLOZ4/TVlS65DoO5I/AAAAAAAAAeU/8lJ88PTMufI/s72-c/IMGP0504.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>6</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-8578359095154705566</id><published>2011-02-09T14:27:00.008+03:00</published><updated>2011-02-09T16:18:50.551+03:00</updated><title type='text'>AJALI KOROGWE</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TVKTIglmv-I/AAAAAAAAAeM/qZdQILtNTMs/s1600/IMGP0279.JPG"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; DISPLAY: block; HEIGHT: 240px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5571677463406624738" border="0" alt="" src="http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TVKTIglmv-I/AAAAAAAAAeM/qZdQILtNTMs/s320/IMGP0279.JPG" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TVKQ-Gib--I/AAAAAAAAAeE/L_NOp4wZGxo/s1600/IMGP0280.JPG"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; DISPLAY: block; HEIGHT: 240px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5571675085592067042" border="0" alt="" src="http://4.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TVKQ-Gib--I/AAAAAAAAAeE/L_NOp4wZGxo/s320/IMGP0280.JPG" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TVKQEYvwRkI/AAAAAAAAAd0/iel9j69FgT0/s1600/IMGP0274.JPG"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; DISPLAY: block; HEIGHT: 240px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5571674094047348290" border="0" alt="" src="http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TVKQEYvwRkI/AAAAAAAAAd0/iel9j69FgT0/s320/IMGP0274.JPG" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TVKPqVoYi_I/AAAAAAAAAds/9R0nJR4uA5I/s1600/IMGP0270.JPG"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; DISPLAY: block; HEIGHT: 240px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5571673646534527986" border="0" alt="" src="http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TVKPqVoYi_I/AAAAAAAAAds/9R0nJR4uA5I/s320/IMGP0270.JPG" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TVKO0e6NyVI/AAAAAAAAAdk/v_WVU33Uvwg/s1600/IMGP0272.JPG"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; DISPLAY: block; HEIGHT: 240px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5571672721312303442" border="0" alt="" src="http://3.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TVKO0e6NyVI/AAAAAAAAAdk/v_WVU33Uvwg/s320/IMGP0272.JPG" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Ajali hii niliyoishuhudia nikitokea Arusha ilihusisha gari aina ya Scania yenye tank la kubeba mafuta, ilitokea jana majira ya Mchana nje kidogo ya mji wa Korogwe karibu kabisa na Daraja, kama kawaida wananchi wa eneo hilo walikimbilia eneo la tukio wakiwa na ndoo wakitarajia mafuta yatamwagika wajichotee lakini kwa bahati mbaya kwao hilo halikutokea. Kama mnavyoona katika picha hizo wananchi hao walilisogelea gari hilo kwa karibu sana kwa tamaa ya kuchota mafuta na yuko mmoja alitaka kulitoboa lakini Polisi waliwahi katika eneo hilo. Inasikitisha kuona watu wakihatarisha maisha yao kiasi hiki wakati wanajua kuwa kuna uwezekano wa gari hilo kulipuka na hiyo imeshatokea mara nyingi lakini sijui kwa nini watu hawaelewi?&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-8578359095154705566?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/8578359095154705566/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=8578359095154705566&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/8578359095154705566'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/8578359095154705566'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2011/02/ajali-korogwe.html' title='AJALI KOROGWE'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TVKTIglmv-I/AAAAAAAAAeM/qZdQILtNTMs/s72-c/IMGP0279.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-6128730512455383600</id><published>2011-01-03T16:41:00.006+03:00</published><updated>2011-01-03T16:58:05.462+03:00</updated><title type='text'>UHURU WA KUCHAGUA NA UHURU WA VIFO!</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TSHT6lsJbzI/AAAAAAAAAdY/SAD92GN8Syc/s1600/2.JPG"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; DISPLAY: block; HEIGHT: 214px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5557956418655055666" border="0" alt="" src="http://3.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TSHT6lsJbzI/AAAAAAAAAdY/SAD92GN8Syc/s320/2.JPG" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="center"&gt;&lt;strong&gt;&lt;span style="color:#330000;"&gt;Wanawake ndio hupata tabu zaidi lijapo swala la kuchagua&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Hiki ni ni kizazi ambacho binadamu anatakiwa kufanya uchaguzi mwingi. Kuna mambo mengi na vitu vingi, kwa hiyo binadamu anatakiw achague miongoni mwa vingi ili apate cha kumfaa.&lt;br /&gt;Mababu zetu wa kale walikuwa awana tabu hii a kuana uchguzi. Kwanza wasingeweza. Sisi tunaweza kufanya uchguzi lakini hata sisi tunauchosha ubongo. Kipindi ca mababu zetu vitu havikuwa vingi. Mara nyingi kulikuwa na mambo mawili: kupata kitu au kukosa.&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Kwa hiyo walikuwa hawana uchguzi. Mathalani, akienda porini kuwinda ama angepata mnyama au kukosa. Mababu zetu walikuwa na uhaba wa chakula, uhaba wa usafiri na usafiri wao ulikuwa miguu yao. Kutokana na hilo, katika suala la uchaguzi mababu zetu walikuwa na kazi ndogo tu wa kuchagua kilichobora sana. &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Ili kunufaika sana na neema iliyopo mbele ako yahitaji mahali ambapo huna uchaguzi yaani vitu vya kuchagua ni vichache. Maisha ya kisasa yana vitu vingi vya kuchagua tofauti na enzi za mababu zetu. Kwa hiyo si rahisi kunufaika sana kutokana na jambo utakalolichagua kulifanya.&lt;br /&gt;Mathalani kama ni mkiriimba kwa maan kwamba unazalishaaina Fulani ya zao peke yako, utanufaika zaidi kuliko kama kitu hicho kingekuwa na wazalishaji wengi. &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Ndio maana nasema kwamba, watu wa kale walikuwa wananufaika sana kutokana na ukiritimba huo wa kuwa na uchaguzi kidogo ukilinganisha na maisha a siku hizi ambapo uchaguzi ni mkubwa na hivyo kutokuwapo ukiritimba ambao ungeleta manufaa kwa mtu mzalishaji. Enzi za mababu, vitu vilikuwa adimu, na siku hizi vitu ni vingi. Kwa kawaida uchaguzi huleta wasiwasi kwa sababu tunalinganisha; kwamba tumefanya lakini tungeweza kufanya kwa ubora zaidi. &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Mababu zetu wasingekuwa na maswali ya kujiulizanamna hii kuhusu ubora wa kazi zao kwa sababu walikuwa awana vitu vya kuchagua vya kutosha kuweza kujilinanisha. Ni sawa na mtu msikini kufikiria kukodi ndege. Kama ana fedha kidogo basi atapanda basi au lori badala ya ndege. Kitu ambaho hana uwezo nacho hana uwezo wa kukichagua. Kiko nje ya mkono wake. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;br /&gt;Kama nilivyosema awali kama kuna uhaba wa vitu, mtu halzimiki kufanya uchaguzi. Hata akichagua kitu kibaya sio aki kumlaumu. Lakini maisha ya sasa ukichagua vibaya tapata lawama kwa sababu una vitu na mambo mengi ya kuchagua. &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Kukiwa na vitu vingi vya kuchagua utapatashinikizo khakikisha unafana uchaguzi kwa usahihi kabisa. Kwa mfano, umepewa vitu 25 mbele yako vinavyofanana na vyenye bei moja ili uchague kimoja; ukichagua kibaya utajilaumukwa sababu ulikuwa na nafasi a ya kuchagua kitu kizuri pia. Kwa hiyo, hapa busara ilikuwa inahitajika katika kufanya uchaguzi huo. Mwanasaikoljia Barrry Schwartz anasema kwa kukiwa a mambo mengi ya kuchagua sisi binadamu tunabaki na hali ya kutokutosheka hata kama tutakuwa tumefanya maamuzi sahihi; hata pia kama tumepata mafanikio. &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Kila wakati tunahaha kujua kama tulifanya uchaguzi sahihi au la, kwa kuwa tua uchaguzi mwingi; mababu zetu walikuwa awasumbuliwi na mambo ya uamuzi sahihi au usio sahihi. Maisha ya siku hizi kama uamuzi unaonekana ni wa utata matokeo yake ni mashaka na wasiwasi. Ukiwa na vitu vichache vya kuchagua hukuondolea hofu na wasiwasi. Mababu zetu walikuwa wanaomba itokee siku moja wawe vitu vingi na kuweza mkuanya uchaguzi. &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Walikuwa wanadhani kwamba kukiwa na vitu vingi, basi maisha kwao yangekuwa bora zaidi. Hata sisi wa kizazi hiki tunafikiri hivyohivyo. Lakini tumethibitisha kwamba maisha yenye vitu teletele hayana amani wala furaha.. &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Katika mulimwengu wa sasa ambapo tuna mambo mengi ya kuchagua, ni vizuri kuwa na maamuzi mazuri na si lazima yawe mazuri sana. Kwa maana hiyo ni kwamba, lengo si kufanya mambo kwa usahihi sana bali kawaida ili kupunguza kuchanganyikiwa pale malengo yako yatakapokuwa hayakutimizwa. &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Jizoeshe kufanya maamuzi kwa haraka hasa maamuzi yanayohusu mambo madogomadogo na katika ununuaji wa vitu vidogovidogo ambavyo vinatakiwa kununuliwa mara kwa mara. Jenge kujiamini. Kataa kutumia muda mwingi ukisononekea maamuzi mabaya uliokwishayafanya.&lt;br /&gt;Badala yake jifunze kutokana na makosa uliyokwisha kufanya ili kuweza kufanya vizuri baadae.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;br /&gt;Pambana na hisia zinazokzonga baada ya maamuzi na matokeo mabaya uliyopata kwa kuona kwamba bora kufanya maamuzi mabaya kuliko kutokufanya maamuzi kabisa. &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Ni hei kukosea katika maamuzi kuliko kukwepa kufanya maamuzi. Jitahidi ufanyapo mikataba iwe ni ilea ambayo hutataka kuibadilisha kiholela na hasa ambayo ni maamuzi makubwa yamefanyika. Kuna maelezo kwamba, mababu zetu waliishi umri mrefu, pamoja na mengine ni kutokanana hali hii ya kukosa vingi vya kuchagua. Ingawa hawakupenda hali hii, iliwasaidia sana kuwatoa katka hofu zisizo za lazima. &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Sisi tunakabiliwa na hofu na mashaka yasiyo na mwisho kwa sababu tuna vingi vya kuchagua na kila tunapochagua tunajikuta tukitamani kama tungefanya uchaguzi tofauti.&lt;br /&gt;Ni kweli tunao uchaguzi mwingi ambao pia una maana ya vifo vingi. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-6128730512455383600?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/6128730512455383600/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=6128730512455383600&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/6128730512455383600'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/6128730512455383600'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2011/01/uhuru-wa-kuchagua-na-uhuru-wa-vifo.html' title='UHURU WA KUCHAGUA NA UHURU WA VIFO!'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TSHT6lsJbzI/AAAAAAAAAdY/SAD92GN8Syc/s72-c/2.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-2353388832242789345</id><published>2010-12-22T07:00:00.005+03:00</published><updated>2010-12-22T07:08:33.900+03:00</updated><title type='text'>NI LINI INABIDI TUSEME NDOA HII SASA BASI?</title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TRF4U4Qen0I/AAAAAAAAAdM/CTSXpt4wKBg/s1600/african-american-couple-arguing.jpg"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 213px; DISPLAY: block; HEIGHT: 320px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5553352115618750274" border="0" alt="" src="http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TRF4U4Qen0I/AAAAAAAAAdM/CTSXpt4wKBg/s320/african-american-couple-arguing.jpg" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt; &lt;/strong&gt;&lt;span style="color:#330000;"&gt;&lt;strong&gt;Wakati mwingine yapasa kuchukua maamuzi magumu&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/span&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal" align="center"&gt;&lt;i style="mso-bidi-font-style: normal"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%;font-family:'Verdana','sans-serif';font-size:12;"  &gt;&lt;?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-com:office:office" /&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/i&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Hakuna kipimo hasa kwa sababu kila mmoja anaguswa kwa namna tofauti na jambo fulani, lakini kila mmoja wetu ana kiwango tofauti cha kuwavumilia na hata kuwasamehe wengine. Watu wengi huwa wanajiuliza wanapokosewa na wenzao kwenye ndoa, ‘sijui nimwache au nimpe tena nafasi?’&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Dini zinasisitiza kusameheana, elimu ya utambuzi hivyo hivyo na hata mila na dsturi zetu. Lakini kusisitizwa na kutenda ni vitu au mambo mawili tofauti. Bado dini hizo hizo kuna makosa ya kindoa ambayo zinayatazama kama makosa yenye kusameheka, lakini ambayo hayaruhusu au kutoa nafasi kubwa kwa ndoa kuendelea.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Moja ya makosa hayo ni uzinzi, yaani kutoka nje ya ndoa. Kutoka nje ya ndoa ni kosa ambalo limechangia katika kuvunja ndoa nyingi sana. Hata hivyo, kwa bahati mbaya imetokea kuvunja ndoa pale ambapo zaidi anayefumaniwa ni mwanamke. Mtu anapozini tunasema hampendi mwenzake. Hii ina ukweli kidogo kwa sababu kuzini kunafanywa kwa sababu ambazo ni tofauti kutoka moja hadi nyingine.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Kwa hiyo inashauriwa kwamba ndoa inaweza kuvunjwa au ni vizuri ikavunjwa kama inahusisha kuzini. Hata hivyo kama ni kuzini ambako kumetokea mara moja, inabidi mtu atafute sababu kwa nini kulitokea. Kama atathibitisha kwamba mazingira yaliyopelekea kuzini huko yalikuwa na ugumu katika kuepukwa, mume au mke wa huyo aliyefumania inabidi ajaribu kutoa nafasi kwa mwenzake. Kama kuzini ni mara kwa mara, haishauriwi ndoa kuendelea kuwepo.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Mtu anapoishi kwenye ndoa ambayo imegubikwa na uzinzi, anajiweka kwenye hatari nyingi sana. Kwa siku hizi, hatari ya kwanza ni maradhi. Lakini kuna hatari nyingine kadhaa. Kuishi na mzinzi ni kuishi katika kero kihisia. Wenye wake au waume ambao ni walevi, mara nyingi pia wanakabiliwa na maradhi yasiyoonekana hospitalini kwa sababu ya kujiumiza kihisia.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Kosa lingine ambalo linapotokea, mtu anatakiwa kufanya uamuzi wa kuifikisha ndoa tamati ni ulevi. Kama mme au mke ni mlevi sugu, hatua ya awali ni kwa mume au mke huyo kujitahidi kumsaidia mwenzake. &lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Hilo linaposhindikana, kuna haja ya kufikia mahali ambapo talaka ndio njia mafaka.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%;font-family:times new roman;font-size:130%;"  &gt;Ulevi sugu una maana ya mtu kuthamini pombe kuliko kitu kingine na hivyo kunywa karibu muda wote, hata ule muda ambapo mtu yuko shughulini. Hii ina maana pia kwamba, mtu huyo hatajali kuhusu mke wala watoto. Lakini ulevi sugu huwafanya wengine kuwa wakorofi, kuwa wazinzi, kufuja fedha na kuingia kwenye maradhi kirahisi.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%;font-family:times new roman;font-size:130%;"  &gt;Jambo lingine ambalo linapojitokeza kwenye ndoa, mtu anashauriwa kuvunja ndoa hiyo ni ufujaji. Mara nyingi wanaofuja ni wanaume, ingawa wanawake wapo pia kwa kiasi kidogo. Kufuja kurudia tena na tena kumuumiza mpenzi kwa makusudi kwa kauli au vitendo. &lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Inaweza kuwa ni kwa kashfa, kusimanga, kubeza, kutukana kuhusu mtu au familia alimotoka ama kuhusu uwezo na pia mwonekano wake. ‘Wewe mwanamke gani, wakiitwa wanawake nawe utakwenda kweli.’ Ni baadhi tu ya kashfa. Kuna kupiga, kusukuma, kusukasuka, kulazmisha tendo la ndoa na matumizi mengine ya nguvu.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Vitendo hivi vinaporudiwa mara kadhaa kwa lengo la kumfanya mwingine ahisi vibaya na kumfanya anayetenda ajihisi mshindi, huku ndiko kufuja. Mara nyingi ushauri wa ndoa za namna hii ni mwanamke kuondoka.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%;font-family:times new roman;font-size:130%;"  &gt;Ushauri huu hutolewa haraka kwa sababu, ni vigumu kwa mfujaji kukubali kwamba anafuja na kusaidiwa kutoka humo. Pale ambapo mfuaji anakubali kwamba hiyo ni kasoro na yuko tayari kusaidiwa, hakuna haja kwa mwanamke kuamua kuvunja ndoa. Lakini pale ambapo mfujaji hakubali kwamba ana matatizo, ndoa hii ni kifo cha moja kwa moja.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Jambo lingine ambalo linachukuliwa kama kigezo halali cha ndoa kuvunjwa ni mume au mke kufanya mapenzi na mtoto wake. Kuendelea kuishi kwenye ndoa baada ya jambo kama hili kutokea ni kujidanganya. Baada ya tukio kama hili, hisia za wahusika hufungwa na uhusiano kwa njia zote hukwama. Watu wanaweza kukaa kama mke na mume lakini kweli ni kwamba, mmoja atakuwa anaumia kwa saa 24 za siku.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Jambo lingine ni jaribio lolote&lt;span style="mso-spacerun: yes"&gt; &lt;/span&gt;la mume au mke kutaka kumdhuru mwingine kimwili. Kuna wakati mume a mke anaweza kufanya jaribio la kutoa maisha ya mwenzake iwe ni kwa kumpiga au kumwekea sumu au chochote.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Jambo la mwisho kwa leo ni ni kauli halisi kutoka kwa mpenzi. Mke au mume anaweza kumwambia mwenzake kwamba, hamtaki au hampendi tena. Inapofikia hali kama hii, inabidi aliyejulishwa aulize vizuri kama mwenzake anasema hayo kwa dhati. Aliyesema anaposema ni kwa dhati, inabidi mhusika asubiri tena kauli hiyo kwa mara ya pili.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Anapotamka kauli hio kwa mara ya pili, inabidi aliyeambiwa aulize tena, na aliyeitamka akisema ni kwa dhati , mhusika inabidi asubiri kwa mara ya mwisho. Kauli ya ‘sikutaki tena’ au ‘nimeshasema sikuhitaji’ inaporudiwa kwa mara ya tatu, hapo ni lazma uamuzi ufanywe.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Mpenzi anapokwambia kwamba hakutaki mara tatu, huna sababu ya kujipendekeza, kwa sababu wewe ni binadamu kamili kama yeye. kujipendekeza kuna maana ya wewe kuwa dhaifu kwake na hivyo kujiumiza na kujishusha bure.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="LINE-HEIGHT: 115%"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Kumbuka kama mume au mke amethubutu kututamkia mara tatu kwamba hakutaki uking’ang’ania kuishi naye, ni lazima atakudhuru. Kumbuka hakutaki na tusichokitaka huwa tunakiondoa kwa njia yoyote tunayomudu kutumia. &lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-2353388832242789345?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/2353388832242789345/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=2353388832242789345&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/2353388832242789345'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/2353388832242789345'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2010/12/ni-lini-inabidi-tuseme-ndoa-hii-sasa.html' title='NI LINI INABIDI TUSEME NDOA HII SASA BASI?'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TRF4U4Qen0I/AAAAAAAAAdM/CTSXpt4wKBg/s72-c/african-american-couple-arguing.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-952848059483511929</id><published>2010-12-13T07:27:00.004+03:00</published><updated>2010-12-13T07:40:43.812+03:00</updated><title type='text'>FURAHA LAIZER (OHAA MASAI) TUTAKUKUMBUKA DAIMA</title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TQWhThwIl-I/AAAAAAAAAdE/YE26TG1DxPQ/s1600/furaha%2Bmasai.JPG"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 234px; DISPLAY: block; HEIGHT: 320px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5550019472653850594" border="0" alt="" src="http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TQWhThwIl-I/AAAAAAAAAdE/YE26TG1DxPQ/s320/furaha%2Bmasai.JPG" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;span style="font-size:130%;color:#660000;"&gt;&lt;em&gt;Marehemu Furaha Laizer (Ohaa Masai) siku ya Graduation yake&lt;br /&gt;&lt;/em&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="LINE-HEIGHT: normal; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-outline-level: 2" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif'; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman'; mso-bidi-: boldfont-family:Arial;font-size:14;"  &gt;&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif'; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman'font-family:Arial;font-size:14;"  &gt;&lt;?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-com:office:office" /&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; LINE-HEIGHT: normal; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif'; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman'font-family:'Times New Roman';font-size:10;"  &gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; LINE-HEIGHT: normal; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif'; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman'font-family:'Times New Roman';font-size:10;"  &gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; LINE-HEIGHT: normal; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Ni siku ya jumanne ya Disemba 7, 2010, majira ya saa nne asubuhi niko ofisini, nikiendelea na kazi zangu kama kawaida. Nilikuwa na jukumu la kukamilisha ripoti yangu ya juma lililopita ambayo niliilaza kiporo kutokana na kutindikiwa na kazi nyingi siku ya Jumatatu &lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Nakumbuka nilijihimu sana kufika kazini, nilifika kazini saa kumi na mbili na nusu alfajiri, lakini sijui ni kutokana na uchovu au ilikuwa ni uvivu tu, nilijikuta mpaka kufika saa nne asubuhi nilikuwa sijakamilisha ripoti yangu. &lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Nikiwa bado naendelea na kazi zangu kivivu-vivu mara simu yangu ikaanza kuita, niliinyanyua na kuangalia jina la mpigaji, hakuwa mwingine, bali ni rafiki yangu aitwae Masudi ambaye nimezoea kumwita Soudy.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: center; LINE-HEIGHT: normal; MARGIN: 0in 0in 0pt" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif'; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman'font-family:times new roman;font-size:130%;"  &gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Nilipokea simu ile, lakini sauti ya rafiki yangu huyu ilikuwa ni ya huzuni na hata salamu yangu hakuijibu na badala yake alisema tu kwa kifupi “Sir Kaluse, Ohaa Masai hatunaye, amefariki hivi punde” nilibabaika sana nakujikuta nikimuuliza maswali mfululizo. Amepatwa na nini? Amepata ajali au? Ameugua? Lakini kabla Masudi hajanileza sababu ya kifo chake simu yake ilikatika ghafla. Nijipojaribu kumpigia simu yake ikawa haipatikani. Nilichanganyikiwa sana mpaka wenzangu pale kazini wakawa wananishangaa.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt; &lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Nilianza kuwapigia watu wa karibu na Masudi lakini n&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;ilijikuta nikiwa ni mtoa taarifa, kwani hakuna hata mmoja ambaye alikuwa anazo taarifa hizo, na hata mmoja wa wajomba zake ambaye nilikuwa na namba yake ya simu ilikuwa haipatikani.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt; &lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Wiki iliyopita nilikuwa na huyu kijana niliyeambiwa kuwa amefariki, na nilikutana naye katika Grosary maarufu pale maeneo ya Tabata Bima barabara ya Umoja maarufu kama RN Grosary.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt; &lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Furaha Laizer ndio jina lake kamili,alikuwa ametimiza umri wa miaka 19 hivi karibuni na ndio amemaliza kidato cha nne akisubiri majibu yake ya mitihani.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Nakumbuka tulizungumza kwa kifupi sana kwa sababu aliniambia kuwa kuna mahali anawahi, na nilikuwa nimemuomba aje kwangu kuniwekea antenna ya TV, na aliniahidi kuwa angekuja mwishoni mwa juma ambapo hata hivyo hakutokea, na badala yake napokea taarifa kuwa amefariki dunia!&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt; &lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Nilikuwa nikijaribu mara kwa mara kumpigia Masudi simu lakini bado ilikuwa haipatikani. Majira ya saa sita nilifanikiwa kumpata masudi na alinijulisha kuwa simu yake iliisha chaji kutokana na kuwapigia watu wengi kuwajulisha juu ya msiba huo mzito, na kutokana na habari hiyo kuwastua watu wengi aliowapigia, alikuwa na wakati mgumu kuelezea sababu iliyopelekea kifo cha Furaha Laizer maarufu kwa jina la Ohaa Masai.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt; &lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Masudi alinijulisha kuwa siku ya Jumatatu majira ya saa mbili Furaha akiwa amelala, aliamshwa na bibi yake kwenda kumdhibiti mjomba wake ambaye ana matatizo ya akili, kwani alikuwa akifanya fujo mtaa wa jirani. Alikuwa anawafanyia fujo akina mama wauza chapati kwa kumwaga chapati zao.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt; &lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Furaha alifika katika eneo la tukio na wakati anamsogelea huyo mjomba wake, mjomba wake mwingine aliyekuwepo hapo alimwambia asimsogelee kwa kuwa alikuwa ameshika chupa mkononi, lakini tahadhari ile ilikuwa imechelewa kwani yule mjomba mwenye matatizo ya akili alirusha chupa ile na kumpata Furaha katika paji la uso upande wa juu wa jicho la kushoto.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Furaha alipepesuka na kukaa chini na kwa muda mfupi uso ulivimba kiasi cha jicho moja kufunga. Kwa kushirikiana na majirani mjomba yule mwenye matatizo ya akili aliweza kudhibitiwa na kufungwa kamba na kupelekwa nyumbani.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt; &lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Furaha aliongozana na mjomba wake aitwae Ibrahim maarufu kwa jina la Timber kwenda Kituo kidogo cha Polisi (Police Post) pale Tabata shule na alikuwa akitembea mwenyewe. Alipofika hapo kituoni aliandikisha malezo yeye mwenyewe na kupewa PF 3 ambapo alikwenda Tabata Hospitali pale pale Tabata shule na hakuonekana kama ameumia sana zaidi ya ule uvimbe.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Alipofikishwa pale na mjomba wake ghafla alianza kupoteza nguvu na hivyo kulazimika kukalishwa chini. Baada ya kumuona daktari walishauriwa wampeleke Hospitali ya Amana, iliyoko Ilala. Waliondoka Tabata na baadhi ya ndugu zake wengine akiwemo bibi yake na jirani yao aitwae Jane Mmari. Walifika Amana majira ya saa nne asubuhi, na wakati huo alikuwa akitokwa damu mdomoni na puani na wakati mwingine alikuwa akitapika damu. Walipomuona daktari waliambiwa wampeleke akapigwe X-Ray.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt; &lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Baada ya kupiga X-Ray, ikaanza dana dana kutoka chumba kimoja hadi kingine, na kila wanapoingia chumba cha daktari wanaambiwa wamekosea sio chumba hicho wanaelekezwa kumuona daktari mwingine na wakimuulizia daktari walioelekezwa kumuona wanaambiwa ametoka na wamsubiri. Dana dana hiyo iliendelea hadi saa nane mchana bila mgonjwa kupatiwa matibabu, na hadi kufikia wakati huo Furaha alikuwa akizimia na kuzinduka mara kwa mara. Baada ya kuona hakuna msaada wowote wanaoupata tangu wamfikishe mgonjwa pale hospitalini.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt; &lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Masudi aliamua kumpigia mmoja wa rafiki zake aitwae Elia Ulaya ili afike pale kusaidia. Elia alifika mjira ya saa nane mchana na baada ya kuona hali ya mgonjwa ni mbaya na hakuna msaada wowote wa kitabibu alitoa ushauri warudi Tabata katika Hospitali ya Madona. Walipofika Madona daktari aliposoma ile X-Ray akawashauri warudi Hospitali ya Amana, kwa kuwa ile kesi ni kubwa, lakini kutokana na kukatishwa tamaa na huduma za Hospitali ya Amana wakakata shauri waende Hospitali ya Temeke. &lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt; &lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Walifika Temeke majira ya saa kumi na mbili jioni na baada ya kutoa maelezo daktari wa zamu alianza kumuhudumia mgonjwa kwa kumuwekea dripu. Lakini baada kuchungza zile X-Ray akatoa rufaa mgonjwa apelekwe Muhimbili na alitoa ambulance ili mgojwa awahishwe.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Walifika Muhimbili majira saa nne usiku na walikalishwa mapokezi mpaka saa sita usiku na ndipo wakaelekezwa wampeleke katika wadi ya Moi, na wakati huo mgonjwa alikuwa hajitambui kabisa ingawa kuna wakati alikuwa akipepesa jicho moja kwa sababu la pili lilikuwa limefunga kabisa kutokana na uvimbe.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt; &lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Daktari aliyempokea mgonjwa alichunguza X-Ray waliyokuja nayo na akashauri kuwa mgonjwa anatakiwa kufanyiwa uchunguzi mwingine na kifaa kiitwacho TC Scan. Baada ya kutoa ushauri huo aliwataka wale waliomleta mgonjwa waondoke abaki mtu mmoja ambapo walitoka na kukaa nje na kumuacha mjomba wake na Furaha peke yake. Walikaa pale nje wodini hadi saa kumi alfajiri ndipo wakakata shauri warudi nyumbani. &lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt; &lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Masudi anadai kuwa hadi anarudi nyumbani hakuwaza kuwa Furaha angefariki kwani yule daktari aliwatoa wasiwasi kwa kuwaeleza kuwa ile hali a kupoteza fahamu ni tatizo la muda tu kwani kuna wagonjwa ambao hupoteza fahamu kwa wiki nzima na huja kuzinduka na kupona kabisa.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Alipofika nyumbani alilala kidogo na aliamka majira ya saa mbili hivi, akiwa njiani kuelekea Hospitali majira ya saa nne alipigiwa simu na rafikie aitwa Elia na kupewa taarifa kuwa Furaha amefariki muda mfupi uliopita, baada ya kupigania roho yake kwa takriban masaa 26.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Baada ya vipimo vya mwili wa marehemu ilikuja kugundulika kuwa alikuwa amepasuka fuvu la kichwa na hivyo damu kuvuja ndani ya ubongo kitu ambacho, ni vigumu sana kupona, labda kwa miujiza ya mwenyezi mungu.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt; &lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Tulimzika Furaha Jumatano Disemba 8, 2010 saa kumi na mbili jioni katika makaburi ya Mbagala, mahali ambapo niliambiwa ndipo walipozikwa babu yake na ndugu zake wengine.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Ni msiba ambao umenigusa sana na sitakaa nimsahau kijana huyu Furaha ambaye alikuwa na furaha wakati wote kama jina lake.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Mimi sipendi kutoa sifa za kinafiki eti kwa kuwa amefariki, lakini naomba nikiri kuwa Furaha alikuwa mtu wa watu, ingawa alikuwa ni mdogo kwa umri na mrefu kwa kimo lakini alikuwa amejijengea marafiki wengi wakiwemo wazee, vijana wa rika lake na pia hata wadogo kwake. Alikuwa akimuheshimu kila mtu na alikuwa tayari kutoa msaada pale anapohitajika kufanya hivyo.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt; &lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; LINE-HEIGHT: normal; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Ni jambo la kusikitisha kuwa Dunia imepoteza nguvu kazi na tegemeo la kesho kwani pamoja na kuwa alikuwa akiendelea na masomo yake ya Sekondai lakini pia alikuwa akisaidiana na mjomba wake kazi za ufundi umeme na hadi kifo kinamkuta alikuwa ni fundi umeme mzuri japo hakuhudhuria masomo hayo chuoni.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Katika mojawapo ya mazungumzo yangu na yeye, aliwahi kuniambia kuwa anatarajia kusomea uhandisi hususan wa umeme, hiyo ndio ilikuwa ndoto ya kijana Furaha Laizer.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; LINE-HEIGHT: normal; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Ni kweli ametutoka na tutaendelea kumkumbuka daima, lakini pia ametuachia changamoto kuwa na tahadhari na watu wenye matatizo ya akili hata kama ni mtoto wako wa kumzaa. Pia kuna haja ya familia zenye watu wenye matatizo ya akili kuwapeleka katika hospitali zenye wodi maalum za kuwatunza watu hao, kwani kukaa nao majumbani ni sawa na kuishi na bomu ambalo litakuja kutulipukia hapo baadae. Ni kweli tunawapenda na tungependa kuishi nao karibu lakini kuna hatari kubwa kuishi na watu wa aina hiyo.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; LINE-HEIGHT: normal; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="FONT-FAMILY: 'Verdana', 'sans-serif';font-family:'Times New Roman';" &gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Ni wengi wameguswa na msiba wa Furaha, na ni vigumu sana kuamini kuwa hatunaye, lakini ni vyema tukikubali matokeo kwani kazi ya Mungu daima haina makosa.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; LINE-HEIGHT: normal; MARGIN: 0in 0in 10pt" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;font-size:130%;"&gt;Namuomba Mwenye-Enzi Mungu ailaze roho ya marehemu Furaha Laizer mahali pema Peponi, Amina&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-952848059483511929?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/952848059483511929/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=952848059483511929&amp;isPopup=true' title='8 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/952848059483511929'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/952848059483511929'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2010/12/furaha-laizer-ohaa-masai-tutakukumbuka_13.html' title='FURAHA LAIZER (OHAA MASAI) TUTAKUKUMBUKA DAIMA'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TQWhThwIl-I/AAAAAAAAAdE/YE26TG1DxPQ/s72-c/furaha%2Bmasai.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>8</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-6066513086173087796</id><published>2010-12-10T09:18:00.005+03:00</published><updated>2010-12-10T09:26:24.265+03:00</updated><title type='text'>ABRAHAM, MWANABLOG MTARAJIWA ATIMIZA MIAKA MITATU LEO!</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TQHHfZkjosI/AAAAAAAAAc0/Np7_oxB1e1Y/s1600/100_6375.JPG"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 240px; DISPLAY: block; HEIGHT: 320px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5548935558151250626" border="0" alt="" src="http://4.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TQHHfZkjosI/AAAAAAAAAc0/Np7_oxB1e1Y/s320/100_6375.JPG" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;div&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TQHHGUDyCXI/AAAAAAAAAcs/nchdioIUxDQ/s1600/100_6332.JPG"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 240px; DISPLAY: block; HEIGHT: 320px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5548935127174875506" border="0" alt="" src="http://3.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TQHHGUDyCXI/AAAAAAAAAcs/nchdioIUxDQ/s320/100_6332.JPG" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TQHGkquryaI/AAAAAAAAAcc/hfKkjYo3lEs/s1600/100_6340.JPG"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 240px; DISPLAY: block; HEIGHT: 320px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5548934549144848802" border="0" alt="" src="http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TQHGkquryaI/AAAAAAAAAcc/hfKkjYo3lEs/s320/100_6340.JPG" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;strong&gt;&lt;em&gt;&lt;span style="color:#330000;"&gt;Mtoto Abraham S Kaluse ambaye ametimiza miaka mitatu leo akiwa katika mionekano tofauti.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt;&lt;div&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-6066513086173087796?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/6066513086173087796/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=6066513086173087796&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/6066513086173087796'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/6066513086173087796'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2010/12/abraham-mwanablog-mtarajiwa-atimiza.html' title='ABRAHAM, MWANABLOG MTARAJIWA ATIMIZA MIAKA MITATU LEO!'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TQHHfZkjosI/AAAAAAAAAc0/Np7_oxB1e1Y/s72-c/100_6375.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-2083773648491614372</id><published>2010-08-01T11:06:00.004+03:00</published><updated>2010-08-01T11:15:56.838+03:00</updated><title type='text'>UAMBIWE MARA NGAPI NDOA INAUWA?</title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TFUrWIdsw-I/AAAAAAAAAcM/6E1YfJyc-M4/s1600/black-couple-arguing.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5500350179132097506" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 241px; CURSOR: hand; HEIGHT: 320px; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://4.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TFUrWIdsw-I/AAAAAAAAAcM/6E1YfJyc-M4/s320/black-couple-arguing.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt; &lt;strong&gt;&lt;span style="color:#660000;"&gt;Akiomba radhi kwa dhati usimpe kisogo&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TFUrWIdsw-I/AAAAAAAAAcM/6E1YfJyc-M4/s1600/black-couple-arguing.jpg"&gt;&lt;/a&gt;&lt;strong&gt;&lt;span style="color:#660000;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;span style="color:#000000;"&gt;Kuna &lt;/span&gt;zile nyakati ambapo tunasilia au kuona kifo cha mwanandoa mmoja dhidi ya mwingine. Lakini bila shaka hivi siyo vifo vingi ukilinanisha na vile vinavyotokea bila sisi kujua. Ndoa nyingi husababisha vifo vya kimya kimya kuliko mimi na wewe tunavyofahamu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ndoa yenye matatizo inaweza kuwa na madhara kwenye afya yako, wakati ndoa isiyo na matatizo inaweza kukukinga na magonjwa na kukuponesha haraka na magonjwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://www.gottman.com/51326/Dr-John-Gottman.html"&gt;&lt;strong&gt;John Gottman,&lt;/strong&gt;&lt;/a&gt; mtaalamu anayeheshimika katika masuala ya ndoa, anaripoti kwamba, ndoa yenye matatizo, inaweza kuongeza uwezekano wa kukuletea magonjwa kwa asilimia 35! Anaamini kwamba kuitumikia ndoa yako kila siku itakusaidia zaidi kwenye afya yako au kuishi maisha marefu kuliko kutoishughulikia na ukajikuta ni mtu wa kuumwa hovyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ingawa wengi wetu tunaamini kwamba hasira ni chanzo kikuu cha uhusiano mbovu, Gottman amegundua kwamba siyo hasira pekee ambazo ni tatizo, bali ni vipi tunatatua migogoro yetu kwenye ndoa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutoa hasira kwa nia ya kujenga kunaweza kufanya maajabu kwa kusafisha hali ya hewa na kuurejesha uhusiano kwenye njia yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo mitafaruku huwa ni tatizo kukiwepo mambo manne ambayo ni: Kumshambulia mwenzio, (kuponda), dharau, kujitetea badala ya kuomba radhi kwa nia, na kunyamaza unapoongeleshwa na mwenzio.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuponda ni nini? Kuponda kunahusu kumshambulia mwenzio bila kujali utu wake, mahali na muda.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni vema kila mmoja wenu akatoa dukuduku lake, lakini usimponde na kumshambulia mkeo au mumeo, wakati mwingine mbele ya watu wengine au hata watoto.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dharau nayo? Dharau ni hatua moja ya kumponda mwenzi wako na inahusisha pia kumuumiza. Dharau ni alama ya wazi ya kutomuheshimu mtu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mfano wa dharau ni pamoja na kumshushia hadhi, kukunja uso, au kumchanachana mwenzio kwa vicheko vya kebehi. Tabia hii wanayo zaidi wanawake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kujitetea na kutafuta visisngizio je? Kujitetea wakati ugomvi umepamba moto linaonekana ni jambo jema, lakini hakusaidii kuurejesha uhusiano mahali muafaka. Mtu anapojitetea au anapotafuta visingizio, mara nyingi anakuwa kwenye mfadhaiko mkubwa na hivyo kushindwa kusikiliza vema mambo yanayoongelewa. Kukataa kuwajibika kwa makosa yako na kutafuta visingizio ni aina mojawapo ya kujitetea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kunyamaza nako? Mtu anakataa kuitikia. Kwa kawaida kunyamaza kunaweza kusiwe kubaya, lakini katika masuala ya uhusiano, kunyamaza wakati wa mtafaruku kunaweza kuhatarisha ndoa yenu. Kama ni mwenye kawaida ya kunyamaza, unajiondoa mwenyewe kwenye ndoa, badala ya kutatua matatizo yenu. Wanaume wana tabia ya kunyamaza zaidi ukilinganisha na wanawake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kweli, kwa mujibu wa utafiti wa Gottman wa matatizo manne yaliyotajwa hapo juu ni kwamba, yakibobea katika ndoa yanaweza kutumika kutabiri, kwa usahihi kwa zaidi ya asilimia 80, wanandoa wepi ndoa yao itavunjika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Majaribio ya kutosha yakifanyika bila mafanikio kujaribu kuokoa ndoa iliyopata dhoruba ya mambo manne yaliyotajwa hapo juu, kuna uwezekano wa zaidi ya asilimia 90 wa ndoa kuvunjika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbinu za kuboresha ndoa na afya yako. Ukizingatia kwamba, kuwa na ndoa imara ni kitu muhimu sana ili kuwa na afya na furaha, italeta mantiki kuelekeza nguvu zenu katika kuifanya ndoa yenu kuwa bora zaidi. Hapa chini kuna vidokezo kwa ajili ya kuifanya ndoa yako kuwa na afya zaidi:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwanza lea ndoa yako. Unajua mambo ayapendayo na asiyoyapenda, ndoto, hofu, wasiwasi, na matumaini ya mwenzi wako? Unajua kwa mapana ni nini mwenzi wako alifanya siku nzima ya jana? Unajua aina zipi za shinikizo mwenzi wako anazipata mahali pake pa kazi? Msingi wa ndoa nzuri ni urafiki imara.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama ndoa haijajengwa juu ya urafiki imara, itakuwa shida kuishi kwa pamoja kwa muda mrefu. Hakikisha unapata muda kila siku kukaa na mwenzi wako kwa siri ili kumjulia hali na matatizo aliyokabiliana nayo .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika vipindi hivi, weka kipaumbele kusikiliza na kujifunza kuhusu fikara, mawazo na hisia za mwenzi wako .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pili kwa nguvu zote na kwa makusudi, chukua hatua kuboresha mapenzi kwa mwenzi wako. Gottman anasema, hiki ndicho kizuizi kikubwa cha dharau. Kumbuka mambo mazuri ya mpenzi wako.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ulimpendea nini hadi ukaoana naye? Ni kitu gani kabla hujamuo kilikuvutia kwake kimaumbile? Kwa kurejesha mapenzi kwa mwenzio utakuwa umeboresha mwenendo bora.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tatu, daima mheshimu mwenzi wako. Katika uhusiano ambao unaporomoka, heshima kamwe haipatikani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Cha kusikitisha zaidi, wakati mwingine watu wanaishia kuwatendea wenzi wao vibaya zaidi kuliko ambavyo wangewatendea watu wasiowafahamu. Unamgombeza mkeo au mumeo mbele ya rafiki zako au familia?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nne, mkubali mwenzi wako. Kumbuka kwamba kila mmoja wenu anahitaji kujisikia anakubalika kama binadamu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Badala ya kumshambulia mkeo au mumeo, jaribu kusikiliza mawazo yake. Ni rahisi kutilia mkazo makosa ya mwenzio na kwa kufanya hivyo tunasahau mema anayofanya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tano, sameheaneni, mwenzio anapokuomba msamaha kwa dhati, usimkimbie au usiompe kisogo, wakati mwingine migogoro haikwepeki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Majaribio ya kurekebisha kasoro zilizojitokeza katika uhusiano yanapopuuzwa, uhusiano unaathirika.&lt;br /&gt;Usifunge milango moja kwa moja kwa mkeo au mumeo anapojaribu kujirekebisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sita, tulia. Unapokuwa umeudhiwa, pumua kwa nguvu. Watu wengi wanahitaji kama dakika 20 kutuliza miili yao baada ya kuudhiwa. Baada ya kutulia chukua nafasi yako, anza upya kulishughulikia tatizo lililo mbele yako, wakati umetulia na utakuwa tayari kumsikiliza mkeo au mumeo vizuri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Saba, chukulia mambo kirahisi. Ijapokuwa mkeo au mumeo anaweza kufanya mambo ambayo yatakuudhi, kumbuka unaweza kukabiliana nayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Si busara kupambana na mkeo au mumeo katika mambo madogomadogo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nane, jitazameni upya na kujirekebisha. Uhusiano ni kama dansi. Wewe na mkeo lazima msonge mbele sambamba. Kumbuka kwamba uwe ni mwanamke au mwanaume una udhibiti kwa asilimia 50 wa mambo yote yanayotokea katika uhusiano wenu. Ndio maana wanasema, ndoa ikifa wote mmechangia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni mara chache kupindukia, ambapo mmoja kati ya wanandoa ndiye mwenye mchango.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-2083773648491614372?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/2083773648491614372/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=2083773648491614372&amp;isPopup=true' title='5 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/2083773648491614372'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/2083773648491614372'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2010/08/uambiwe-mara-ngapi-ndoa-inauwa.html' title='UAMBIWE MARA NGAPI NDOA INAUWA?'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TFUrWIdsw-I/AAAAAAAAAcM/6E1YfJyc-M4/s72-c/black-couple-arguing.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>5</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-3852096152996116776</id><published>2010-07-31T12:13:00.003+03:00</published><updated>2010-07-31T12:20:18.519+03:00</updated><title type='text'>NI MAPEPO AU KUSHUKA KWA HISIA?</title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TFPpiMZr3_I/AAAAAAAAAcE/2_G_K5W45RE/s1600/depression.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5499996343603290098" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 200px; CURSOR: hand; HEIGHT: 300px; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TFPpiMZr3_I/AAAAAAAAAcE/2_G_K5W45RE/s320/depression.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt; &lt;strong&gt;&lt;span style="color:#990000;"&gt;&lt;em&gt;Kuna wakati huhitaji kuwa peke yao&lt;br /&gt;&lt;/em&gt;&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Wiki iliyopita niliweka hoja ya mama mmoja aliyejitambulisha kwa jina la mama K. mama huyo alitaka ushauri wa namna ya kuiokoa ndoa yake ambayo inaelekea shimoni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nisingependa kujadili kile tulichofikia na mama K baada ya kukutana kwetu, lakini ningependa kujadili swala hilo hapa kibarazani ili kujibu baadhi ya hoja za wale waliojitokeza kuweka maoni yao hapa kibarazani na wengine waliamua kuchangia mada hiyo kwa njia ya ujumbe wa simu ya kiganjani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naomba nikiri kwamba hoja ile iliwagusa watu wengi ingawa hawakupenda kuweka maoni yao hapa kibarazani, lakini nilipokea maoni mengi kupitia ujumbe wa simu wakiwemo wale waliopiga simu, ambao walioanisha swala hilo na nguvu za giza au mapepo kama walivyoita.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Binafsi nisingependa kulioanisha swala hilo na nguvu za giza au mapepo, ingawa pia kuna uwezekano waliosema hivyo wakawa sahihi. Ningependa kulizungumzia jambo hilo kitaalamu zaidi tofauti na mawazo ya wachangiaji wengi waliojitokeza kuchangia mada hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kawaida sisi binadamu tumeumbwa na hisia. Ingawa wote tuna hisia sawa, lakini ikumbukwe kuwa wanawake ndio viumbe pekee ambao huonyesha hisia zao ukilinganisha na wanaume na ndio sababu sisiti kusema kuwa tatizo hilo huwatokea wanawake zaidi ukilinganisha na wanaume.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hali hiyo inaweza kumtokea mtu yeyote, inawezekana hata wewe unayesoma hapa hali hiyo imeshawahi kukutokea. Inaweza tu ikatokea kwa mwanaume au mwanamke akajikuta hampendi mwenzi wake kiasi cha kutaka kuachana naye. Mara nyingi hali hiyo inaweza kudumu kwa wiki tatu au nne halafu ikatoweka, lakini pia inaweza ikajirudia. Kama itatokea ikadumu kwa zaidi ya mwezi, basi hilo litakuwa ni tatizo lingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini pia ningependa kuweka wazi kuwa sizungumzii ndoa au mahusiano ya kufujana, naomba nieleweke, hapa nazungumzia kushuka kwa hisia kimapenzi, kwamba inawezekana ndoa ikawa imara, kwa kiasi fulani, lakini ikatokea kuchafuka kwa hali ya hewa na hivyo ndoa au mahusiano kuyumba, hiyo ni tofauti na ndoa ya kufujwa. Mada ya ndoa ya kufujwa inajitegemea na hiyo nitaizungumzia siku nyingine, kwa kadiri nitakavyopata muda.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kawaida wapenzi au wanandoa huwa kuna vitu vimewaunganisha, yaani kila mtu kuna kitu kimemvuta kwa mwenzake, haiwezekani wanandoa au wapenzi wakawa wanaishi tu, pasipo kitu chochote kuwaunganisha. Na mara nyingi inakuwa ni namna kila mmoja anavyowajibika kwa mwenzie, kwani hilo na mengine mengi inakuwa ndio chachu ya kurutubisha penzi la wanandoa hao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inapotekea upande mmoja ukashindwa kuwajibika kama awali, au ukasahau wajibu wake, basi hiyo inaweza kusababisha kushuka kwa hisia za mapenzi kwa kiwango kikubwa na hivyo kusababisha mke au mume kujikuta akimchukia mwenzi wake na kutamani kuondoka au kuachana naye.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kushuka kwa hisia husababisha kushuka kwa mapenzi na mtu anayepatwa na tatizo hilo hujikuta akimuona mwenzi wake kama kero na asiyestahili kuishi naye. Wakati huo hujisikia kuwa peke yake tena mbali sana ambapo hataweza kumuona mwenzi wake huyo wala kusikia sauti yake kabisa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hali hiyo huitwa kuingia pangoni, ambapo mwanamke au mwanaume hujisikia vizuri zaidi kukaa peke yake kwa siku 3 mpaka 7. Lakini hata hivyo naomba ieleweke kwamba kushuka kwa hisia hakusababishwi na upande mmoja kutowajibika katika ndoa, la hasha, zipo sababu nyingi ambazo zinasababisha kushuka kwa hisia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inawezekana wanandoa wakaishi pamoja kwa muda mrefu, lakini kutokana ndoa hiyo kukosa mashamushamu au mbwembwe, ni rahisi kutokea mmoja wa wanandoa akajikuta anakinaiwa na uhusiano huo. Ikumbukwe kwamba uhusiano wowote unapokuwa na kitu kile kile kila siku ni rahisi mmoja wa wanandoa kupoteza hamu kwa mwenzie na hivyo hisia kushuka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inashauriwa wanandoa wasiwe wanatabirika, kwa maana ya kukuta kitu kile kile kila siku, kwa mfano kwa upande wa wanawake, mapishi. muonekano na mpangilio wa nyumba, namna ya utandikaji wa kitanda, mavazi na manukato, ni lazima kuwe na mabadiliko ya mara kwa mara, badala ya kuacha kitu kile kile kila siku. Kwa upande wa wanaume nao kama wakirudi kutoka kazini au kwenye mihangaiko wawe wanawa-surprise wenza wao na zawadi tofauti tofauti wanapojisikia kufanya hivyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Haihitaji kitu kikubwa, hasa hasa ni kuchunguza kama mweza wako anapenda nini, na bila kumuahidi, unatafuta siku unamletea, kwa kumshtukiza, hiyo inachangamsha na kujenga uhusiano imara.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini pia inawezekana hayo yote yakawepo, na bado ikatokea mwanandoa mmojawapo hisia zake zikashuka kwa sababu tu ya aidha kukinaiwa kumuona mwenzake au kutaka kuwa peke yake kwa kipindi fulani. Hali hiyo inatokana na hisia kuchoka na hivyo kushuka kiasi cha kupelekea mwanandoa kutaka kuwa mbali na mwenzie.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jambo lingine ni mawasiliano. Ikiwa wanandoa hawana mawasiliano ndani ya nyumba, inasababisha kukandamiza hisia zao, kwa maana ya kila mmoja kutokuwa wazi kwa mwenzie. Wanandoa wanatakiwa kuvunja ukimya na kila mmoja kuwa wazi kusema hisia zake bila kificho, kwani hiyo inasababisha kila mmoja kujua mwenzi wake anapenda nini na anachukia nini. Bila shaka mmeshawahi kuona wanandoa wawapo pamoja hawazungumzi kwa bashasha. Lakini unaweza kumwona mwanandoa huyo huyo ambaye sio mzungumzaji nyumbani kwake, awapo nje ya nyumbani kwake na marafiki zake huongea kwa uchangamfu na bashasha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Swala la uhuru nalo linatajwa kama mojawapo ya sababu za kushuka kwa hisia. Ikiwa kama mwanandoa mmojawapo atakuwa amejenga tabia ya kumtawala mwenzie na kumyima uhuru kiasi cha kuishi kama mtumwa, ni lazima kuna kipindi mwanandoa huyo atahitaji kuwa huru japo kwa kipindi fulani. Na hapo ndipo hali hiyo ya kufkiria kutoka katika ndoa hujitokeza. Kwani kutokana na kuzikandamiza hisia za kutaka kuwa huru kwa muda mrefu hufikia hatua hisia hizo hulipuka na ndipo hali hiyo hujitokeza. Ikumbukwe kwamba hisia zozote zinapokandamizwa kwa muda mrefu, hufikia kipindi zinalipuka na hapo ndipo mambo yanakuwa si shwari tena.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hali hiyo inapojitokeza, inatakiwa mwanandoa aliyepatwa na tatizo hilo, apewe nafasi ya kuwa peke yake kwa kusafiri au kuwa mbali na mumewe au mkewe kwa kipindi cha wiki moja hadi mbili, kwani kwa kipindi hicho atajisikia vizuri sana. Kama itatokea mke au mume kupata hisia za kutoka katika ndoa kisha kuanza vituko, si vyema mume au mke kuanza kufanya udaidisi wa kutaka kujua sababu ya mabadiliko hayo, kwani hiyo husababisha hasira zaidi na kupelekea kurushiana maneno hata mbele ya watoto au hata hadharani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wazee wetu, enzi hizo, walikuwa na busara sana, na walikuwa na mbinu mbali mbali za kuzifanya ndoa zao kuwa hai wakati wote. Kwa mujibu wa simulizi mbalimbali, ilikuwa kama hali hiyo ikitokea, wazee wetu walikuwa wakiwshauri wake zao wasafiri, kwenda aidha nyumbani kwao au ukweni kupumzika, lakini mara nyingi sababu iliyokuwa ikitolewa ni kuwaambia waende kuwasaidia wazazi shughuli za kilimo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama hali hiyo inampata mume, hivyo hivyo, anatafuta safari ambayo itamuweka mbali na mkewe kwa kipindi fulani, na atakaporudi anakuwa na hisia za mapenzi kama zamani au zaidi ya zamani, kwani katika kipindi hicho kila mtu atakuwa na hamu na mwenzie. Ndio maana kitaalamu hali hiyo huitwa ‘kuingia pangoni’&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo basi, hali hiyo inapomtokea mtu, hakuna sababu ya kushtuka, kwani ni tatizo la hisia kushuka, ambalo linaweza kutibika kwa njia ya ushauri nasaha kwa kumuona mtaalamu wa kutatua migogoro ya ndoa. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-3852096152996116776?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/3852096152996116776/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=3852096152996116776&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/3852096152996116776'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/3852096152996116776'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2010/07/ni-mapepo-au-kushuka-kwa-hisia.html' title='NI MAPEPO AU KUSHUKA KWA HISIA?'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TFPpiMZr3_I/AAAAAAAAAcE/2_G_K5W45RE/s72-c/depression.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-1175441202435847985</id><published>2010-07-22T09:46:00.004+03:00</published><updated>2010-07-22T09:51:37.207+03:00</updated><title type='text'>NIMSAIDIEJE HUYU?</title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEfpnzB3FAI/AAAAAAAAAZc/wKia-erfeXM/s1600/andre_-sandra-arguing.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5496618740151161858" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; CURSOR: hand; HEIGHT: 214px; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://4.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEfpnzB3FAI/AAAAAAAAAZc/wKia-erfeXM/s320/andre_-sandra-arguing.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;strong&gt;&lt;span style="color:#660000;"&gt;Kila siku malumbano hayaishi&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Ni siku ya Jumatatu jioni niko njiani, naelekea chuoni, mara ghafla simu yangu ya kiganjani ikaanza kuita, nilipokea simu ile na sauti ya kike ikapenya katika sikio langu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Habari za saa hizi, mpiga simu alianza kwa kunijulia hali, nami bila kusita niliitikia salamu ile. Eti naongea na kaka Shabani? Mpiga simu akanitupia swali,&lt;br /&gt;Ndiye mimi, nikusaidie tafadhali. Nilimjibu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kuwa kazi ninayofanya, ninakuwa nikiwasiliana na watu wengi nisiowafahamu, simu ile haikunistaajabisha na nilijua atakuwa ni mmoja wa wateja wetu, hivyo nilitarajia mazungumzo ya kikazi zaidi, lakini tofauti na mawazo yangu, mwanamke yule alijitambulisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Samahani kaka Shaban, Je uko kwenye nafasi nzuri tuongeee kidogo maana mazungumzo yangu yanaweza kuwa marefu kidogo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilimwambia kuwa anaweza kuongea kwani wakati huo nilikuwa nimesimama mahali pembeni ya barabara.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mie naitwa mama K, na ninashi hapa hapa Dar es salaam, Kwa kifupi mie ni msomaji wa Blog yako ya Utambuzi na Kujitambua, na nimekuwa nikivutiwa sana na makala zako kuhusiana na maswala ya ndoa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sasa kaka Shabani, aliendelea kunieleza, na wakati wote nilikuwa mtulivu nikmuitikia kuashiria kuwa nafuatilia mazungumzo yake. Mie ninalo tatizo moja, ambalo limejitokeza yapata wiki ya tatu sasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tatizo gani hilo? Nilimsaili.&lt;br /&gt;Ni kuhusiana na ndoa yangu, ni kwamba nimejikuta nikiwa namchukia sana mume wangu, kiasi kwamba sitamani hata kumuona na kila nikimuona najisikia kisirani, nimejitahidi sana kutomwonyesha hisia zangu za chuki dhidi yake lakini nimeshindwa na sasa amejua kuwa simpendi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kusema kweli mume wangu nilikuwa nampenda sana na amekuwa ni mwema sana kwangu, ni mtu anayejua kutunza familia na anayewajibika hasa, lakini nashindwa kuelewa, hisia hizi za chuki zimetoka wapi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kuwa ameshagundua kuwa simpendi amekuwa akijitahidi sana kutaka kuniridhisha na amekuwa akijitahidi kuniuliza ili kujua sababu za mie kumchukia lakini sina jibu la kumpa ingawa ni kweli namchukia, na kila anapojitahidi kuwa karibu na mimi ndivyo ninavyozidi kuwa na kisirani dhidi yake. Aliendelea kueleza kwa hisia kali mama K.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Awali alidhani mie ni mjamzito lakini baada ya kuniona nikipata siku zangu kama kawaida akashangaa, maana hata kama ni kisirani cha kupata hedhi, basi imekuwa too much, kwani, ananifahamu vizuri sana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je hamjawahi kugombana hivi karibuni? Nilimuuliza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapana kaka Shaban. Alinijibu, kisha akaendelea.&lt;br /&gt;Kwa kweli sijui hata hii imetokana na nini,na kitu kingine ni kwamba sasa hivi ninapata hisia za kutaka kuondoka kabisa na kuachana naye, lakini dhamira inanishitaki na pia namuonea huruma yeye na wanangu watatu ambao tumebahatika kuwapata katika ndoa yetu takatifu iliyodumu kwa miaka nane sasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimekuwa nikimfanyia vituko vingi lakini amekuwa akinivumilia, ila siku za hivi karibuni ameanza ku react na sasa tumeanza kuwa na ugomvi wa waziwazi mbele ya watoto kitu ambacho sio kawaida yetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je kaka Shabani utanisaidiaje ili kuokoa ndoa yangu maana kuondoka nataka lakini dhamira inanishtaki na tunapoelekea ni pabaya, na sijui hata hii hali imetokana na nini?Nilishusha pumzi na kumpa pole mama K, na kutokana na kuwa nilikuwa nawahi chuoni, sikutaka kuwa na mazungumzo mengi na yeye, hivyo nilimuomba tukutane pale katika ofisi zetu za Faji ili tuweze kuongea vizuri na kwa utulivu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilimhakikishai kuwa ndoa yake itakuwa imara kama awali au hata kushinda awali. Nilimwomba tuwasiliane wiki ijayo ili tuweze kupanga muda wa kukutana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Labda nirejee kwa wasomaji wa kibaraza hiki, Je, tunawezaje kumsaidia mtu anayepatwa na tatizo kama hili, awe ni mume au mke?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naomba mtazamo wenu &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-1175441202435847985?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/1175441202435847985/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=1175441202435847985&amp;isPopup=true' title='5 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/1175441202435847985'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/1175441202435847985'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2010/07/nimsaidieje.html' title='NIMSAIDIEJE HUYU?'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEfpnzB3FAI/AAAAAAAAAZc/wKia-erfeXM/s72-c/andre_-sandra-arguing.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>5</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-5316267890521432806</id><published>2010-07-20T14:25:00.004+03:00</published><updated>2010-07-20T14:34:04.038+03:00</updated><title type='text'>UMESHAWAHI KUONA MTU ANAFUMANIWA KWA MKEWE WA NDOA?</title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEWItz4ooYI/AAAAAAAAAZU/qsM1AygCeRI/s1600/DSC_0055.JPG"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 214px; DISPLAY: block; HEIGHT: 320px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5495949240878801282" border="0" alt="" src="http://3.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEWItz4ooYI/AAAAAAAAAZU/qsM1AygCeRI/s320/DSC_0055.JPG" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;strong&gt;&lt;span style="color:#660000;"&gt;Mwanamke haolewi mara mbili. &lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="center"&gt;&lt;em&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="color:#660000;"&gt;Picha kwa hisani ya Blog ya Maisha na Mafanikio&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/em&gt;&lt;/div&gt;&lt;em&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Je, umeshawahi kusikia mtu anashitakiwa kwa kuzini na mke wake wa ndoa? Ni swali la kuchekesha kidogo, lakini ukweli ni kwamba, jambo &lt;?xml:namespace prefix = st1 ns = "urn:schemas-microsoft-com:office:smarttags" /&gt;&lt;st1:city st="on"&gt;&lt;st1:place st="on"&gt;hilo&lt;/st1:place&gt;&lt;/st1:city&gt;, limeshawahi kutokea.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Wapi na kwa nani? Ilikuwa kwenye kesi ya Ramadhani dhidi ya Mohamed ya mwaka 1983 ukurasa wa 309 wa ripoti za sheria &lt;st1:country-region st="on"&gt;&lt;st1:place st="on"&gt;Tanzania&lt;/st1:place&gt;&lt;/st1:country-region&gt; (Tanzania Law Report).&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Kesi hii ilianzia mahakama ya mwanzo ambapo mtuhumiwa alishitakiwa na Mohamed kwa kuzini na Mwanaidi wakati mwanaidi alikuwa ni mke halali wa ndoa wa Ramadhani. Katika kesi hii Ramadhani alishinda, lakini Ramadhani alikata rufaa katika mahakama ya wilaya na rufaa hiyo alishinda.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Lakini hata hivyo kwa uchungu wa kuporwa mkewe, Ramadhani naye alikata rufaa katika Mahakama kuu. Je, hukumu ilikuwa ni nini? Hebu tupate kwanza historia kamili ya kesi hii.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Hukumu katika mahakama kuu ilitolewa tarehe 29 mwezi Julai mwaka 1983, na katika hukumu hiyo, jaji alisoma historia ya kesi na historia hiyo ilianzia Desemba 1978 ambapo Ramadhani alimuoa Mwanaidi Mwiru na walikuwa wanakaa wote kwa wazazi wa mwanamke na Ramadhani alimlipia mkewe mahari ya ng’ombe wawili.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Mwaka 1980 Ramadhani alipata safari ya kibiashara na kwenda Endasak (bila shaka mkoani Arusha). Lakini mara tu bwana Ramadhani alipoondoka ndugu wa mke waliingiwa na tamaa na wakaamua kumwoza kwa mwanamume mwingine aliyeitwa Mohamed na ndoa ilifanyika tarehe 9 Julai 1980 kwa mahari ya ng’ombe watatu. Hata hivyo, ndoa hiyo haikudumu kwani mwezi Oktoba, 1980, walishindwana na Mwanaidi alirudi kwao na Mohamed aliahidiwa kurudishiwa ng’ombe wake.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Mwezi wa Novemba, mwaka 1980, Ramadhani alirudi nyumbani kutoka katika safari yake ya kibiashara na alishangaa kuambiwa kuwa ndani ya miezi kadhaa aliyokuwa hayupo, mkewe alishaozwa kwa bwana mwingine. Ramadhani hakutaka maneno mengi, bali alichofanya ni kwenda nyumbani kwa kina Mwanaidi na akamchukua Mwanaidi na kuondoka naye hadi nyumbani kwake.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Mwezi Aprili, mwaka 1982, Mohamed alimshitaki Ramadhani kwenye mahakama ya mwanzo, akidai kuwa Ramadhani alizini na mkewe (Mwanaidi)na hivyo anamdai fidia ya ng’ombe saba.Hata hivyo, madai yake hayo yalitupiliwa mbali na Ramadhani alishinda kesi hiyo na hakimu wa mahakama ya mwanzo alidai sababu ya kumpa ushindi Ramadhani ni kuwa ndoa yake ilitangulia, ingawa ndoa zote ni halali.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Mohamed hakupendezwa na kushindwa kwake katika kesi hiyo, hivyo alikata rufaa kwenye mahakama ya wilaya na katika mahakama hiyo mambo yaligeuka na Mohamed alishinda kesi na sababu ya kushinda, hakimu alisema ni kuwa ndoa ya Ramadhani ilikuwa ya kimyakimya yaani haikuwa na “shangwe za harusi,” hivyo ilikuwa ni batili na hata jamii haikufahamu kama Ramadhani alimwoa Mwanaidi, wakati ya Mohamed ilikuwa na shangwe na zaidi ya hapo ilifanyika baada ya matangazo ya siku 21 na ilifuata taratibu zote na hivyo ikajulikana na jamii nzima.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Katika kipindi hiki kulikuwa na mvutano kati ya wanasheria, &lt;st1:place st="on"&gt;kama&lt;/st1:place&gt; ili ndoa itimie ni lazima kuwe na sherehe. Wapo waliosema kuwa, sherehe ni lazima ili ndoa iwe ndoa, lakini wengine walisimamia zaidi vifungu vya sheria na kusema shangwe si lazima alimradi tu kuwe na makubaliano huria na ndoa iwe kati ya jinsia mbili tofauti zilizodhamiria kuishi maisha yote pamoja.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Ramadhani hakufurahishwa na maamuzi hayo ya kuporwa mke wake yaliyofikiwa kwenye mahakama hiyo ya wilaya, hivyo naye alikata rufaa Mahakama Kuu.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Katika mahakama kuu suala lililokuwa katika mgongano lilikuwa ni ndoa ipi ni halali kati ya ile ya Ramadhani na ya Mohamed? Na katika kufikia maamuzi, Jaji alitumia sheria &lt;st1:place st="on"&gt;kama&lt;/st1:place&gt; inavyosomeka, ‘literal meaning’ na hakuruhusu au hakutazama mazingira mengine katika kutafsiri maana ya ndoa.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Katika sheria ya ndoa ya mwaka 1971 aliyotumia Jaji, kifungu cha 9 (1) ndoa inatafsiriwa kama muunganiko huria kati ya mwanamume na mwanamke waliodhamiria kuishi pamoja kwa maisha &lt;st1:city st="on"&gt;&lt;st1:place st="on"&gt;yao&lt;/st1:place&gt;&lt;/st1:city&gt; yote. Zaidi ya hapo Jaji alisema kwamba katika jamii ambazo zinafuata sheria za kimila, ndoa halali huweza kufungwa kwa kutumia sheria za kimila na kutokuwepo shangwe za harusi na kutokufuata milolongo mingine, hakuwezi kubatilisha ndoa hiyo kama viini vyote vya ndoa halali halali &lt;st1:place st="on"&gt;kama&lt;/st1:place&gt; ilivyotafsiriwa kwenye kifungu cha 9 (1) cha sheria ya ndoa ya mwaka 1971 vipo.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Jaji aliendelea kusema kuwa Ramadhani na mashahidi wake, akiwemo mshenga wake walithibitisha kuwepo kwa ndoa kati yake na Mwanaidi. Zaidi ya hapo Mwanaidi mwenyewe pia alikiri kuwa walifunga ndoa ya kimila na Ramadhani. Kwa kuongezea Mwanaidi alisema kuwa ndoa kati yake na Mohamed ilifanyika baada ya kulazimishwa na wazazi wake.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Hivyo, kutokana na sababu hizo hapo juu, Jaji alisema kwamba, ndoa kati ya Mwanaidi na Ramadhani ilikuwa halali japokuwa haikuwa na shangwe na aliibatilisha ndoa kati ya Mwanaidi na Mohamed.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Kwa kuongezea Jaji alisema kuwa sheria zetu haziruhusu mwanamke kuolewa na wanaume wawili kama inavyoonekana kwenye vifungu 15 (3) na 152 (1) vya sheria ya ndoa ya &lt;st1:country-region st="on"&gt;&lt;st1:place st="on"&gt;Tanzania&lt;/st1:place&gt;&lt;/st1:country-region&gt; ya mwaka 1971.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Kwa kumalizia Mahakama Kuu ilisema kwamba mahakama ya mwanzo haikufanya makosa kwa uamuzi iliyotoa, ingawa ilikosea pale tu iliposema ndoa zote ni halali. Hivyo, rufaa ilikubaliwa na Ramadhani alirudishiwa mkewe na Mohamed alitakiwa kulipa gharama za kesi hiyo. &lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;p style="TEXT-ALIGN: justify; MARGIN: 0in 0in 0pt; mso-margin-top-alt: auto; mso-margin-bottom-alt: auto" class="MsoNormal" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-5316267890521432806?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/5316267890521432806/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=5316267890521432806&amp;isPopup=true' title='6 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/5316267890521432806'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/5316267890521432806'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2010/07/umeshawahi-kuona-mtu-anafumaniwa-kwa.html' title='UMESHAWAHI KUONA MTU ANAFUMANIWA KWA MKEWE WA NDOA?'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEWItz4ooYI/AAAAAAAAAZU/qsM1AygCeRI/s72-c/DSC_0055.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>6</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-7284901163973683882</id><published>2010-07-17T16:26:00.009+03:00</published><updated>2010-07-18T08:43:22.848+03:00</updated><title type='text'>UMEMFUMANIA, SASA UNASEMAJE?</title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEGzsjukNDI/AAAAAAAAAZM/Sd6BGWS-n3M/s1600/woman%20crying.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5494870598454883378" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; CURSOR: hand; HEIGHT: 214px; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEGzsjukNDI/AAAAAAAAAZM/Sd6BGWS-n3M/s320/woman%2520crying.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;strong&gt;&lt;em&gt;&lt;span style="color:#660000;"&gt;Huna sababu ya kulia, uamuzi unao mwenyewe &lt;/span&gt;&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="center"&gt;&lt;strong&gt;&lt;em&gt;&lt;span style="color:#660000;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Wiki kadhaa zilizopita niliwahi kuandika kuhusu fumanizi au kutoka nje ya ndoa. Na leo ningependa kuzungumzia jambo hilo kwa kuwa nimekuwa nikipata email kutoka kwa wasomaji wa blog hii wakitaka ufafanuzi zaidi wa kile nilichojadili. Kama hukubahatisha kusoma mada hiyo, unaweza kubofya &lt;strong&gt;&lt;a href="http://kaluse.blogspot.com/2010/05/fumanizi-epuka-wanaoshauri-kuachana.html"&gt;hapa&lt;/a&gt;&lt;/strong&gt; kujikumbusha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hebu fikiria kuwa umedhibitisha kwamba mwenzako sio mwaminifu, yaani ametoka au anatoka nje ya ndoa, utafanyaje? Je, utaondoka, utalipa kisasi na wewe, au utachukua hatua gani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna mambo ambayo ukiona kwamba yamejitokeza, baada ya fumanizi, unapaswa kujua nafasi yako kwenye uhusiano wako. Kutokea hapo ndipo unapoweza kuamua kama uondoke au hapana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwanza, hebu jikague, Je, umevunjika moyo kupita kiasi? Unadhani itakuwa bora kuvumilia? Unadhani kumvaa na kumwambia umechoka na unataka kuondoka itakuwa ni kujiongezea mfadhaiko zaidi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pili, unadhani utaendelea kubaki katika ndoa kwa sababu za kidini? Unataka kufanya kitu kilicho sahihi daima? Uko tayari kuendelea kudhalilika na kuwa hatarini kwa sababu ya imani yako ya kukukataza kuvunja ndoa? Je ni kwa imani yako au wasiwasi wako umelazimika kubaki? Nijuavyo mimi, kosa la kutoka nje halitetewi na dini yoyote linapokuja swala la kuvunja ndoa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tatu, unadhani unalazimika kubaki kwa usalama wa watoto? Unadhani ni wewe pekee unawajali watoto na mwenzio hawajali? Inawezekana na mzazi mwenzio pia ni mpenda watoto? Unadhani kuachana kutawaletea watoto matatizo zaidi? Una wasiwasi na maisha ya watoto kama utaamua kuondoka? Kumbuka kuishi kwenye vurugu za ndoa huwavuruga watoto kuliko watoto kuishi na baba au mama wa kambo mwenye upendo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nne, unadhani hakuna uwezekano kabisa katika ndoa hii? Umekwama? Umenata kama ulimbona huwezi kuondoka? Unaweza kufikia muafaka kwamba umejitahidi kwa uwezo wako wote kumrekebisha mwenzio lakini wapi. Hivyo umeamua kuishi hivyo hivyo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tano, unadhani huwezi kuondoka? Kuna kitu unachodhani kinakuletea ugumu wa kuanza safari? Kuanza maisha mapya? Huna uwezo wa kujiamulia? Kumbuka kwamba, huenda ni mazoea tu yanayokuzuia au utegemezi wa kipato. Lakini, kila binadamu ameletwa duniani ili asimame kama yeye, na siyo kama kipande cha mwenzake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sita, unataka kumlinda? Kuna kitu kibaya unachodhani kinaweza kutokea kama utaamua kuondoka? Ataweza kuishi peke yake? Kama utaondoka unadhani itakuwa ni njia ya kumpeleka shimoni zaidi? Umeamua kubaki ukijua kwamba baada ya muda tatizo lenu linaweza kutatuliwa? Inawezekana likatatuliwa, lakini inawezekana wewe ni mtu wa kuumia kwa sababu ya wengine bila sababu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Saba, unaendelea kuishi naye kwa sababu kuna hatari kumwambia unataka kuondoka? Unadhani atalipuka kwa hasira utakapomwambia unataka kuondoka? Una wasiwasi kwamba una haki ya kuamua kuhusu maisha yako na kuna sheria zinazokulinda.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, hujafikiria namna ya kuanza maisha mapya? Hii ni tofauti na hofu ya kuanza maisha mapya. Labda maisha yako, yake na ya watoto yameambatanishwa kupita kiasi, hivyo inakuwia vigumu kujinasua? Pia kuambatanishwa huku labda ndiko kunakokufanya hata usiwe na chembe ya wazo la kutaka kuondoka? Umewahi kufikiria kuhusu utashi wako, ujuzi wako, ndoto zako, matumaini yako na mustakabali wa maisha yako bila yeye, au bila watoto?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chukua muda wa kutosha kufikiri kwa makini na uyajibu maswali hayo yote ukishayajibu utakuta unatoa uamuzi sahihi utakaokupeleka kwenye maisha uyatakayo. Kumbuka, kila binadamu hukosea na kusamehe kwa aliyekosewa. Lakini kusamehe hakuna maana ya kuendelea kuumia au kuumizwa na uliyemsamehe. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-7284901163973683882?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/7284901163973683882/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=7284901163973683882&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/7284901163973683882'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/7284901163973683882'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2010/07/umemfumania-sasa-unasemaje.html' title='UMEMFUMANIA, SASA UNASEMAJE?'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEGzsjukNDI/AAAAAAAAAZM/Sd6BGWS-n3M/s72-c/woman%2520crying.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-8771644979815631217</id><published>2010-07-15T14:57:00.005+03:00</published><updated>2010-07-16T08:03:21.986+03:00</updated><title type='text'>KAMA BOSI WAKO ANAZO TABIA HIZI, BASI UMEKWISHA!</title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TD_nZzcjY1I/AAAAAAAAAY8/_0q-GvyLYZU/s1600/man-yelling.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5494364500908008274" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; CURSOR: hand; HEIGHT: 212px; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://4.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TD_nZzcjY1I/AAAAAAAAAY8/_0q-GvyLYZU/s320/man-yelling.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;color:#660000;"&gt; &lt;strong&gt;&lt;em&gt;Kuna wakati huwa kama vichaa!&lt;br /&gt;&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/span&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Kuna mamilioni ya wafanyakazi duniani ambao wanafanya kazi chini ya mabosi wakorofi au mabosi ambao hawaelewani nao kutokana na ukorofi wa mabosi hao. Kwa hiyo usije ukadhani uko peke yako kama bosi wako ni miongoni mwa mabosi hao, kwani nawe ni miongoni mwa mamilioni ya wafanyakzi hao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama unaelewana na wafanyakazi wenzako na pia unaipenda kazi yako lakini ukawa huelewani na bosi wako ni wazi kuna tatizo mahali na mara nyingi ni kwamba una bosi mkorofi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nawe kama ni bosi, ukigundua kwamba huelewani vizuri na wafanyakazi au watu walio chini yako, basi huenda ukawa na tatizo. Ni vigumu kwa Bosi kukiri kwamba yeye ndiye chanzo cha tatizo pale anaposhindwa kuelewana na wale walio chini yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni vizuri tukazitaja sifa zifuatazo ambazo ni za bosi mkorofi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama wewe bosi una tabia hizi jaribu kuziacha, na kama wewe mfanyakazi, bosi wako hana tabia hizi inabidi ujue kwamba wewe ndiye mwenye mataizo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bosi mkorofi huwa haamini aliye chini yake. Huwa anamuona kuwa hajui vizuri na pia huwa anadhani siyo wa kuaminiwa katika mambo mengi hata yakiwemo ya hela.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bosi mkorofi huwa haheshimu walio chini yake, anawaona kama watu wenye shida ambao hata akiwafanyaje wakaamua kuondoka, anaweza kupata wengine wakachukua nafasi zao. Kwake, walio chini yake ni watu wenye shida na wasio stahili heshima yoyote, ni kama vifaa tu na sio watu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bosi mkorofi huwa hawapi walio chini yake taarifa muhimu kuhusu kinachoendelea hapo kazini, naye hana haja au haoni umuhimu wa wa kujua kile ambacho kinatoka kwao kuhusu maisha yao ya kazi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bosi mkorofi huwa hawahusishi walio chini yake katika kujadili mabadiliko muhimu hapo kazini, bali huwashushia tu maamuzi. Pia ni mtu mwenye kiburi na aliye na roho ya kikatili, kwani huwa hataki kusikia mfanyakazi ana tatizo au shida, hana huruma wala kufikiri mara mbili kabla hajaamua kuhusu adhabu kwa aliye chini yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bosi mbaya huwa hafikirii au kujua kwamba kuna uhusiano kati ya kazi na familia, huwatazama walio chini yake kama wasio na familia kwa jinsi anavyowatendea. Anaweza pia akawa anatoa kazi kubwa au malengo makubwa katika muda mdogo sana, hajali kama walio chini yake wanahitaji pia muda wa kupumzika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Anachotaka yeye kuona kazi imefanywa na sio imefanywaje, walio chini yake ni kama watumwa wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-8771644979815631217?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/8771644979815631217/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=8771644979815631217&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/8771644979815631217'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/8771644979815631217'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2010/07/kama-bosi-wako-anazo-tabia-hizi-basi.html' title='KAMA BOSI WAKO ANAZO TABIA HIZI, BASI UMEKWISHA!'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TD_nZzcjY1I/AAAAAAAAAY8/_0q-GvyLYZU/s72-c/man-yelling.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-1595672945710798551</id><published>2010-07-10T10:44:00.003+03:00</published><updated>2010-07-10T10:49:31.817+03:00</updated><title type='text'>NENO MOJA LATOSHA KUVUNJA NDOA!</title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TDglW71vB4I/AAAAAAAAAY0/jEM-VGgturg/s1600/SNF1608AA-682_531880a.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5492180821528741762" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; CURSOR: hand; HEIGHT: 188px; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TDglW71vB4I/AAAAAAAAAY0/jEM-VGgturg/s320/SNF1608AA-682_531880a.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt; &lt;strong&gt;&lt;span style="color:#660000;"&gt;Kubishana sawa, lakini tuchunge kauli zetu!&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Wote sisi, kama binadamu huwa tunashikwa na hasira kutoka muda fulani hadi mwingine, lakini kushikwa na hasira na kuziacha hasira hizo ziwaumize wale tunaodai kuwa tunawapenda ni jambo tofauti sana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunapojikuta tunashindwa kuzuia kulipukwa na hasira dhidi ya wale tunaowapenda mara kwa mara, inapasa tujue pia kwamba tunaujeruhi uhusiano wetu na baadae tutauuwa kabisa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna wakati kwa sababu mbalimbali, baadhi yetu huwa tunajikuta tukitaka tu kuwakera wapenzi wetu kwa kuwapandishia kila wakati kwa milipuko ya hasira. Ni kama vile, bila kulipukwa na hasira hizo, maisha yetu yanakuwa yamepoteza maana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni vigumu sana wakati mwingine kwa watu hawa kuacha tabia yao hiyo, lakini juhudi ya kujitoa ni muhimu sana. Ni muhimu sana kwa sababu, uhusiano mwingi umevunjika kutokana na hasira hizi za kila wakati, ambazo wala hazina msingi, bali zinatokana na mtu kujichukia mwenyewe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutokana na hasira hizi, mara nyingi wapenzi hujikuta wakilazimika kubishana badala ya kujadili. Hawa watu wenye hasira hizi za hapa na pale, huwa siyo wasikilizaji, bali ni watu wa kulaumu, kujitetea, na kutaka kusikilizwa wao tu, kwa maana ya kushinda.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika uhusiano wa aina hii, hakuna uwezekano wa ustawi, bali uwezekano ni uhusiano kufa. Kwani ni mara chache ambapo huyu mpenzi mwenye hasira za mlipuko atakuwa tayari kusikiliza na kuelewa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jambo ambalo wapenzi wanapaswa kulifanya,. Bila kujali kama wana hasira sana au hasira nyingi, ni kujitahidi kuweka nguvu kwenye jambo wanalojadili. Watu wenye hasira za ziada, huwa hawana uwezo wa kuzingatia kile kinachojadiliwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huwa na ugumu huo kwa sababu hasira za ziada huwasukuma kusema chochote ambacho kitawafanya washinde, ikiwemo kusingizia na kusema uongo. Lakini huwa wanabebwa na wimbi la hasira kiasi kwamba hawana muda wa kupima athari ya kile wanachosema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna haja ya kujua kwamba, neno moja tu la hasira, linatosha kuvunja uhusiano au ndoa. Kwa hiyo, ni muhimu sana kwa mtu mwenye hasira za mlipuko kujifunza kuzingatia jambo ambalo, yeye na mpenzi wake wanalijadili. Anapotoka nje ya mada, ni lazima ataropoka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna wanandoa wanabishana kuhusu shule ya mtoto kwa mfano, mwanandoa mwingine hana haja ya kusema, ‘unabisha kwa sababu hukusoma, ndilo tatizo la kuoa wanawake wasiosoma.’ Hapa ni kutoka nje ya mada kwa hasira za mlipuko.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kumbuka pia kwamba, wanandoa au wapenzi ambao wanapobishana hawatoki nje ya kile wanachobishania na pia wanatumia nguvu ya hoja badala ya mihemko, huwa wanaelewana katika mambo mengi sana, huwa wanatatua migogoro mingi kwa amani na kuaminiana zaidi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna wakati kwa sababu ya hasira za mlipuko, mpenzi anaweza kutafuta kwa makusudi jambo ambalo litamuudhi mpenzi wake. Anaweza kumwambia, ‘sibishani na mwanamke mnene kama nguruwe.’ Au mwanamke akamwambia mpenzi au mumewe, ‘mbele ya wanaume nawe unajiita mwanaume.’&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kila mmoja wetu anajua ni maneno gani akisema yatamkera mwenzake. Nasema kila mpenzi anajua eneo nyeti la mpenzi wake, ambalo akiligusa anakuwa amemuuwa kisaikolojia. Kujua huku eneo hilo hakupaswi kutumiwa vibaya na wapenzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwenye uhusiano kuna kanuni ya, ‘usimtendee mwenzio yale ambayo hupendi kutendewa.’Wapenzi wanapoweza kila mmoja kufuata kanuni hii, uhusiano huwa mzuri sana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna wakati mpenzi anaweza kudhani kwamba wakati wa kubishana ndio wakati mzuri kwake ‘kumpasha’ mpenzi wake, ndiyo wakati mzuri wa kumuumiza kihisia. Hili ni kosa la karne kwa sababu wakati huu, ndio ambao mwanandoa au mpenzi anapopaswa kujilinda na kauli zake kuliko waati mwingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maneno ndio silaha kwenye kubishana kumbuka. Kwa hiyo yanatumika vizuri au vibaya ni jambo la msingi sana. Maneno huumiza na kuvunja mifupa kuliko vyuma, anavyoweza kupigwa navyo mtu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mtu anapojifunza kubishana bila kutumia maneno ya kuumiza au kutoka nje ya mada inayojadiliwa, hujenga kujiamini, kwani mara nyingie hasira za ziada ni matokeo ya kutojiamini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inaonekana kuna aina ya maradhi ya kisaikolojia, ambapo mtu hujikuta hawezi kuishi maisha ya amani na mpenzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akihisi amani ni kubwa, hutafuta njia ya kuiondoa ili ajisikie vizuri. Kwa hiyo, atazua jambo ambalo litazua ubishi ambao utamfanya aropoke.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bado, hata mtu kama huyu anaweza kujisaidia kwa kuanza kujua kwamba ana udhaifu, kuukubali na kuanza kufanya kazi ili kuukabili. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-1595672945710798551?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/1595672945710798551/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=1595672945710798551&amp;isPopup=true' title='6 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/1595672945710798551'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/1595672945710798551'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2010/07/neno-moja-latosha-kuvunja-ndoa.html' title='NENO MOJA LATOSHA KUVUNJA NDOA!'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TDglW71vB4I/AAAAAAAAAY0/jEM-VGgturg/s72-c/SNF1608AA-682_531880a.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>6</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-3498168805739144283</id><published>2010-07-03T09:24:00.003+03:00</published><updated>2010-07-03T09:29:14.429+03:00</updated><title type='text'>KUMBE WANAUME NAO HUINGIA KATIKA HEDHI!</title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TC7YVJHP48I/AAAAAAAAAYs/WqbvmA_uB6U/s1600/20091118-man-yelling-290x218.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5489562853546386370" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 290px; CURSOR: hand; HEIGHT: 218px; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://4.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TC7YVJHP48I/AAAAAAAAAYs/WqbvmA_uB6U/s320/20091118-man-yelling-290x218.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;strong&gt;&lt;span style="color:#660000;"&gt;Kwa wanaume ni kasheshe!&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Mara nyingi nimekua nikiamini kwamba yale tunayoyafahamu kuhusu maisha ni machache sana ukilinganisha na yale tusioyafahamu. Kiasi cha miezi kadhaa iliyopita nilisoma utafiti fulani kuhusu hedhi. Awali nilipousoma niliona ni hadithi tupu. Lakini nilipoona ni vyema kuujaribu kwa kutenda miezi minne baadae nilishangaa. Hata wewe najua utashangaa utakaposoma makala haya. Lakini ombi langu kwako ni kukutaka ujaribu kufanya mazoezi ili uthibitishe ukweli huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kikomo cha kuwa na hamu ya kufanya mapenzi kwa wanaume ni miaka 42. Hata wanawake ni hivyo hivyo. Kama mwanamke ataruhusiwa kuwa na uhuru wa kufanya mapenzi kila wakati kama apendavyo bila kuzuiwa na mila na desturi kikomo cha kutokuwa na hamu ya kufanya mapenzi ni miaka 42.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakuna tofauti kati ya wanawake na wanaume. Miaka ya hivi karibuni imegundulika kwamba hata wanaume hupata hedhi-ingawa wanaume hawana alama za nje za kuwaonesha kwamba wako kwenye hedhi, kama walivyo wanawake ambao hutoka damu siku zao za hedhi zinapofika na kukamilika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa karne na karne hakuna mtu aliyekuwa akifikiria kwamba wanaume wangeweza kuwa wanapata nao hedhi kama wanawake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama mwanaume akiamua kuweka kumbukumbu zake kwenye dayari na kujiangalia kila siku hali yake inavyobadilikana kuwa ya kusikitika, ya kawaida, furaha na hasira……akiifuatilia hali yake namna hiyo kwa siku zote 28 za mwezi, halafu na mwezi unaofuata, akafanya hivyo hivyo, halafu mwezi wa tatu nao akatenda hivyo, na halafu ailinganishe miezi hiyo mitatu atashangaa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna siku tatu, nne au tano ambazo zitafanana katika dayari zote tatu, lini ana hasira ana masikitiko, ni mharibifu, na tabia nyingine kama hizo. Hivyo ndivyo vipindi vya hedhi kwa wanaume kama ilivyo kwa wanawake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Zoezi hili anaweza kufanya mwanaume yeyote, akishindwa kupata matokeo anaweza kuwasiliana na blog hii ya Utambuzi na Kujitambua na kuuliza ni kwa nini nimeandika uongo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni jambo ambalo lipo na limeshafanyiwa tafiti mbalimbali, hata mimi binafsi nimefanya zoezi hilo kwa miezi minne na limetoa majibu kama hayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kawaida mwanaume hana dalili za kimwili za kutoka damu kama mwanamke – ndio maana, karne na karne hakuna mtu aliyejali – lakini ni jambo la uhakika kwamba wanaume wanapata hedhi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dalili za mwanaume aliye kwenye hedhi ziko akilini zaidi na sababu ziko wazi: mwanamke asili yake ni kimwili zaidi, kihisia zaidi, na mwanaume ana asili ya ubongo zaidi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini mwanaume anapata usumbufu ule ule anaopata mwanamke anapokuwa kwenye hedhi. Tofauti ni moja tu, kwamba mwanaume hatoki damu. Lakini kila mwezi, baada ya siku 28, hali fulani ya kiakili na kihisia itakuwa inajirudia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na kama umejaribu kujichunguza kwa mwaka mzima, utashangaa kwamba, ulikuwa na hasira mgomvi, mwenye huzuni na vingine vya aina hiyo, si hivihivi tu bali ni kwa sababu ulikuwa kwenye hedhi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama ukishafanya zoezi nililokwambia la dayari, jiulize, kama ulipokuwa kwenye hali hizo ulikuwa umekerwa na yeyote au chochote. Utagundua kwamba hukuwa umekerwa bali ulikuwa unasumbuliwa na hedhi yako.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wanaume na wanawake wanabalehe au kuvunja ungo karibu muda ule ule; umri ambao ni miaka 13. Kwa hiyo kikomo cha kusikia hamu ya ngono hakiwezi kuwa tofauti; kitakuwa miaka 42. Lakini miaka hii 42 inategemea na majaaliwa ya asili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama mwanaume sio mchafu wa kupenda sana ngono, basi miaka 42 hakitakuwa kikomo chake cha kuwa na hamu ya kufanya ngono, ataendelea kuwa na hamu ya kufanya ngono hadi atakapoenda kaburini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwanamke kadhalika kama sio mpenda kufanya ngono kwa fujo naye hamu ya kufanya ngono itandelea hata baada ya kuvuka miaka 42. Vinginevyo kama mwanamke ni mwingi wa mambo, katika umri wa miaka 42 ataacha kuona hedhi yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akishafikisha miaka 42 hamu yake ya kufanya mapenzi inaisha vilevile, katika umri huo huo. Kwamba kila mwanamke anayekoma kuona hedhi kwenye umri huo ni mwingi, hapana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwanaume na mwanamke wameumbwa kwa ‘matofali’ yaleyale, kwa maumbile yaleyale na baiolojia ileile. Tofauti yao ni kwamba mwanaume ni chanya na mwanamke ni hasi kama tungekuwa tunazungumzia umeme.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huwezi kupata umeme kwa kuwa na chanya mbili; wala ukitumia hasi mbili bali ukichanganya chanya na hisi. Hivyo, kama mwanamke anapata hedhi kama hatua muhimu kuelekea mwito wa kimaumbile, haiwezekani mwanaume asipitie hatua hiyo, ingawa kwa uchanya wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kupata hedhi kwa mwanamke inaeleweka kwamba, ni kutokana na wito wa kimwili. Maana yake ni kwamba, alikuwa amefikia hatua ambapo kimaumbile alitakiwa kujamiiana ili apate ujauzito.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, kama hakuna mabadiliko kwa mwanaume, itawezekana vipi mwanaume kujamiiana na mkewe ambaye yuko kwenye hitaji hili la kimaumbile?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ina maana basi kwamba mwanaume naye ni lazima kila mwezi awe na mabadiliko ambayo yatamfanya aingie mahali ambapo atavutana na mwanamke kimapenzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hili ni suala la maumbile ili kufanya kuzaliana kuwepo. Utajuaje kuwa mwanaume ameingia kwenye hali hiyo? Ndiyo pale ambapo wataalamu wamegundua hizo siku nne au tano za mabadiliko ya kiakili kwa mwanaume! &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-3498168805739144283?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/3498168805739144283/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=3498168805739144283&amp;isPopup=true' title='5 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/3498168805739144283'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/3498168805739144283'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2010/07/kumbe-wanaume-nao-huingia-katika-hedhi.html' title='KUMBE WANAUME NAO HUINGIA KATIKA HEDHI!'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TC7YVJHP48I/AAAAAAAAAYs/WqbvmA_uB6U/s72-c/20091118-man-yelling-290x218.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>5</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-9132450433949244858</id><published>2010-06-29T20:18:00.005+03:00</published><updated>2010-06-29T20:28:58.199+03:00</updated><title type='text'>MKE ASIPOPEWA HESHIMA HAWEZI KUMTHAMINI MUME</title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TCosohtzJrI/AAAAAAAAAYk/Safcyyy2ZwU/s1600/african_dating.jpg"&gt;&lt;img style="TEXT-ALIGN: center; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 265px; DISPLAY: block; HEIGHT: 253px; CURSOR: hand" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5488248170661226162" border="0" alt="" src="http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TCosohtzJrI/AAAAAAAAAYk/Safcyyy2ZwU/s320/african_dating.jpg" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;span style="color:#660000;"&gt; &lt;/span&gt;&lt;strong&gt;&lt;span style="color:#660000;"&gt;Kila upande unatakiwa kuwajibika&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Kuna wanaume ambao kwa kutokujua wanadhani mwanamke anachohitaji ni ‘fidia’ baada ya kuvunjiwa heshima, hivyo huwa wanawavunjia heshima wake zao na baadae kujitoza ‘fidia’ kwa kuwanunulia zawadi kubwakubwa wanawake hao.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;p style="MARGIN-BOTTOM: 0in" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Wanawake huwa wanapokea zawadi hizi, lakini hii haina maana kwamba ndoa itaendelea kuwa ya amani na upendo. Mwanamke hata kama atapewa dhahabu yote duniani, kama atajua kwamba mumewe hamheshimu, ni wazi kwamba hatakuwa na furaha ya ndoa. Miongoni mwa mambo sita ambayo mwanamke akiyakosa huhisi kutindikiwa na kukosa furaha ya uhusiano ni heshima.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;p style="MARGIN-BOTTOM: 0in" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Kama haki ya mwanamke hailindwi na mwanaume, hata kama kuna kitu gani, ndoa ni lazima itakuwa ni ya kubahatisha. Mwanume anapokuwa na uhusiano wa kipapenzi nje ya ndoa yake, mwanaume anapomzuia mkewe kuamua masuala yake mwenyewe ambayo ni haki yake, kamwe mwanamke hawezi kuridhishwa na hayo na hata kama ndoa imejaa watoto wazuri wenye afya na akili na fedha nyingi zimeipamba nyumba yake.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;p style="MARGIN-BOTTOM: 0in" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Kama mwanaume ataonyesha kutojali kuhusu matamanio au ndoto za mkewe kamwe mwanaume huyo asitarajie kuwa mkewe atakuwa na upendo naye. Mwanamke huwa anatamani sana kuona mumewe anajali na kuyapa uzito matamanio au ndoto za mkewe. Kwa mfano mwanamke anapoonyesha kwamba, angependa kuanzisha shughuli labda ya biashara au wangependa wapate mtoto na mwanaume akaonyesha kutojali kuhusu matamanio hayo, kamwe mwanamke hawezi kutulia na kuwa na amani.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;p style="MARGIN-BOTTOM: 0in" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Kuna vitu au mambo ambayo mwanmke anayahitaji maishani, mahitaji hayo ni mengi yakiwemo yale ya msingi katika maisha na yale ya kawaida. Inatosha kusema kwamba, mwanamke anapogundua kwamba mumewe hajali juu ya mahitaji yake huwa hajisikii vizuri.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;p style="MARGIN-BOTTOM: 0in" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Kwa ujumla tunaweza kusema kwamba mwanamke huhitaji heshima katika utashi na matamanio yake. Anapogundua kwamba utashi na matamanio yake havizingatiwi na mumewe hawezi hata mara moja kumkubali mume huyo. Kumkubali hapa ina maana ya kumkubali na kumtambua. &lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;p style="MARGIN-BOTTOM: 0in" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Hapo ndipo tatizo ambalo ni la upande wa pili huanza. Kwa maumbile mwanaume huwa anataka sana mkewe akimuonyesha kwamba anamthamini na kumtambua. Labda hii inatokana na ubabe wa asili wa wanaume ambapo kila wakati angependa kuona mwanamke akimgwaya na kuonyesha kwamba anamtambua kama ‘mwokozi’ wa aina fulani.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;p style="MARGIN-BOTTOM: 0in" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Kama mwanamke anataka kumfanya mumewe amsikilize na kujali matamanio na ndoto zake anachotakiwa kufanya ni kumuonyesha mumewe kwamba anamthamini na kumtambua. Kwa mfano mwanaume anapofanya jambo ambalo hata kama halina faida, lakini halina madhara, inabidi mkewe aonyeshe kuzitambua juhudi hizo na kuonyesha kwamba, mume huyo anajitahidi sana katika kufanya mambo yake.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="MARGIN-BOTTOM: 0in" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Mwanaume anahitaji sana kuona mwanamke akimsifu kwa juhudi anazofanya, iwe ni za kitabia au za shughuli. Mwanaume anapokuwa na tabia nzuri, ni lazima mwanamke atafute kila njia ya kumuonyesha kwamba ameitambua tabia yake hiyo, kamwe asimuonyeshe kwamba juhudi anazofanya ni kupoteza muda. Pale ambapo mwanaume huonyesha heshima kwa mkewe kwa kuzijali ndoto na matamanio yake ya kimaisha, huhitaji sana kuonyeshwa kwamba heshima yake hiyo imepokelewa. Kwa kawaida mume anapotimiza wajibu wake lazima mke naye atimize wajibu wake.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;p style="MARGIN-BOTTOM: 0in" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Kuna wakati na karibu mara zote, mwanamke huwa anamlaumu mwanaume na mwanaume kumlaumu mwanamke kwa kila mmoja kudhani kwamba mwenzake ndio chanzo cha matatizo. Hii ni kwa sababu wote wawili hawajui namna nadharia hii inavyofanya kazi. Huyu anataka kuthaminiwa wakati hampi mwenzake heshima na huyu anataka kupewa heshima wakati hamthamini mwenzake.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="MARGIN-BOTTOM: 0in" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Ili kuondoa kulaumiana huko inabidi kila mmoja ajue wajibu wake, kwani kama mmoja ataanza kumpa mwingine kile anachohitaji ni wazi huyu mwingine atajibu kwa kumpa mwenzake kile kinachomstahili mwenzake ambacho ni heshima.&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p style="MARGIN-BOTTOM: 0in" align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-9132450433949244858?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/9132450433949244858/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=9132450433949244858&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/9132450433949244858'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/9132450433949244858'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2010/06/mke-asipopewa-heshima-hawezi-kumthamini.html' title='MKE ASIPOPEWA HESHIMA HAWEZI KUMTHAMINI MUME'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TCosohtzJrI/AAAAAAAAAYk/Safcyyy2ZwU/s72-c/african_dating.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-7313954178495728438</id><published>2010-06-21T17:47:00.003+03:00</published><updated>2010-06-21T17:55:09.062+03:00</updated><title type='text'>KUSHIKWA KWENYE MAPENZI SIYO LIMBWATA AU MAPENZI MOTOMOTO BALI NI MATOKEO YA HOMONI!</title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TB97zMaXDVI/AAAAAAAAAYc/RmJwhuicV58/s1600/african-american-man-woman-450rp081808.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5485238990595886418" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; CURSOR: hand; HEIGHT: 280px; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TB97zMaXDVI/AAAAAAAAAYc/RmJwhuicV58/s320/african-american-man-woman-450rp081808.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;strong&gt;&lt;span style="color:#660000;"&gt; Wakati mwingine huwapigia simu wapenzi wao wa nje waziwazi&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Tunajiuliza siku zote ni kwa nini penzi linapoingia mahali huweza kuharibu kila kitu? Tumekuwa na misemo yetu ya siku nyingi kama siyo ya asili, kama vile ule wa ‘penzi ni ulevi’ au ‘penzi ni upofu’ na mingine yenye kuonyesha kwamba penzi lisipoangaliwa kwa makini linaweza kuleta athari mbaya na kubwa kwa binadamu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni nani ameshawahi kujiuliza ni kwa nini hali hiyo hutokea? Kuna yeyote ambaye hata mara moja ameshawahi kujiuliza ni kwa nini penzi halina shujaa au mnyonge pale linapoingia wote huwa kama waliopagawa? Bila shaka sio wengi, kama wapo ambao wameshawahi kujiuliza swali hili. Kila mmoja anadhani ndivyo ilivyo na hakuna awezaye kujua ni kwa nini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukweli ni kwamba penzi halina tofauti na ulevi sugu kama ule wa pombe au madawa ya kulevya. Penzi linaelezwa kwamba ni sawa na ubobeaji wa mcheza kamari. Ile starehe na pumbazo la akili ambalo mtumiaji wa madawa ya kulevya au mlevi sugu analihisi, ndilo hilo hilo ambalo mtu aliye katika mapenzi anahisi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Penzi(Kwa maana ya mtu kumpenda mwingine wa jinsia tofauti kwa penzi la kawaida au hadi kwa kufanya mapenzi) na usugu wa madawa au pombe, vyote huwa vinauchochea mwili wa anayehusika kutoa homoni inayofahamika kama &lt;em&gt;&lt;strong&gt;dopamine&lt;/strong&gt;.&lt;/em&gt; Homoni hii ambayo ni kemikali katika ubongo huwa inaujaza mwili raha na ni kemikali hii hii ndiyo ambayo inahusika katika kuupa mwili tabia ya usugu katika mambo fulani kama ulevi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni kitu gani kikubwa katika hili?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni kwamba kama ni hivyo, ina maana kuwa mtu kuwa kwenye kiwango kikubwa au cha juu cha kupenda, yaani kama tulivyozea kusema ‘kuwa hoi kwa penzi’, ni sawa na wakati ule mlevi sugu wa madawa akiwa ameshavuta au kunywa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbaya zaidi ni pale penzi linapofikia hatua ya kuwa penzi la kukutana kimwili. Ni mbaya kwa sababu katika hatua hii homoni ya &lt;em&gt;&lt;strong&gt;depomine&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt; inayotolewa inaweza kuizinga akili milele.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kinachotokea ni kwamba kama homoni hiyo itajizinga kwenye akili, mhusika anakuwa sawa kabisa na mlevi sugu wa pombe au madawa ya kulevya, inakuwa ni vigumu sana kumtoa mtu kama huyo kwenye penzi na huyo fulani wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bila shaka umeshawahi kuona au kusikia juu ya watu ambao wanaishi kwenye uhusiano mgumu sana na wapenzi wao, lakini bado wakawa wagumu wa kuondoka kwenye uhusiano huo. Kwa mawazo yetu wengi huwa tunadhani kung’ang’ania huku kunatokana na hali kama utegemezi, hasa kwa wanawake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baadhi yetu huwa tunaamini kwamba hali hiyo inaweza kuwa inasababishwa na dawa za asili au uchawi maarufu kama Limbwata, hasa pale mwanaume anapokuwa ameshikwa kwenye mapenzi na mpenzi wake au mkewe. Hii sio kweli.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna wakati unakuta kwamba mwanamke ana uwezo wa kuendesha maisha yake na pengine yeye ndiye anayemsaidia mwanaume katika maisha, lakini pamoja na kuteswa au kuburuzwa na mwanaume huyo, bado atang’ang’ania kuishi naye. Kuna wakati tunaona kabisa kwamba, mwanaume anajua kwamba mwanamke anamfurusha kwenye uhusiano wao na anakiri, lakini bado anang’ang’ania kwenye uhusano huo na mwanamke huyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inaanzaje?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Watu wawili hupendana. Kama nilivyosema, kupendana huku husababisha homoni hii kuzalishwa ubongoni. Kuzalishwa kwa kemikali hii ndiko ambako humfanya mtu aliyependa kuwa katika raha fulani isiyoelezeka. Kama ilivyo kwa mlevi wa pombe au madawa ya kulevya, kuna wakati kiwango cha nishai hushuka ambapo inabidi avute au kunywa tena. Kwa mtu aliyependa naye, kuna wakati hali ya raha hii hushuka, kutegemea mazingira.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini kama wapendanao wamekutana kimwili na kukutana huko kukawapa raha kubwa sana, uwezekano wa kemikali hii kuizinga akili moja kwa moja ni mkubwa sana. Akili inapozingwa na homoni hii, mpendaji kamwe hataacha tena kumpenda huyo mtu wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inakuwa kama mlevi sugu anavyotegemea pombe au madawa kupata raha ya maisha, huyu mpendaji naye atakuwa hajisikii raha bila kuwa na huyo mpenziwe, bila kujali visa na vibweka anavyomfanyia. Hata kama hashiriki naye tendo la ndoa, bado atakuwa anajisikia raha tu kuwa naye.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Msomi mmoja wa chuo kikuu cha Guelph huko Canada, George Bubenik anakiri kuwepo kwa hali hii na anasema ndio maana unaweza kukuta mtu akiishi kwenye ndoa ya mashaka na vurugu huku huku wengine wakishangaa na kutoelewa sababu. “Mtu ambaye anafurahia sana tendo la ndoa mwanzoni mwa uhusiano na mwenzake anaweza kung’ang’ania kwenye ndoa hata kama imejaa vurugu”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Anasema watu hawa wangetarajiwa kuondoka au kuzikimbia ndoa za aina hii lakini huwa hawafanyi hivyo kwa sababu wamepata usugu wa kiakili kwa zile hisia wanazozipata wakati waliposhiriki tendo la ndoa na wapenzi wao. Kama mlevi sugu wa pombe asivyoweza kuacha pombe hata kama inakaribia kumuuwa, ndivyo inavyokuwa kwa watu wa aina hii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Haina maana kwamba hao wapenzi wao ni watu wenye kujua sana mapenzi, hapana. Ni kwamba siku ya kwanza walipokutana , ubongo ulizalisha homoni kwa wingi na ikawa imeizinga akili. Kinachojirudia hapa ni zile hisia za awali. Sawa kabisa na mlevi sugu, ambaye anaweza kuwa anakunywa pombe kali na isiyo na utamu, kwa sababu anachohitaji siyo ladha ya pombe, bali zile hisia wakati au baada ya kunywa. Hapa mwanamke au mwanaume aliye katika hilo penzi anaendeshwa na hisia anazozipata wakati wa tendo la ndoa, ambazo zimeganda akilini kupitia homoni hii ya dopamine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huwa hakuna kulogwa wala limbwata au mapenzi motomoto, hapana., hapa kuna tatizo la utegemezi. Mhusika ni mtu ambaye inabidi asaidiwe kama anavyosaidiwa mlevi sugu. Wengi wetu huwalaumu watu hawa au wapenzi wao, jambo ambalo bila shaka siyo haki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tumeshawahi kusikia bila shaka watu wakisema, ‘wewe hujui ni kwa nini anang’ang’ania uhusiano ule, anajua mwenyewe anachokipata’. Wengi wanaposema hivyo wana maana ya kile mtu huyo king’ang’anizi anachokipata hadi kutokuwa tayari kuvunja uhusiano na mpenzi anayemtesa au kumdhalilisha. Mara nyingi wana maana ya mapenzi motomoto ya kitandani. Huu siyo ukweli hata kidogo, kwani unaweza kukuta hata mapenzi ya kitandani mtu huyo hapati. Anachokipata hapa ni ridhiko linalotokana na &lt;em&gt;&lt;strong&gt;dopamine&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt; iliyozinga ubongoni mwake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inakuwaje ikibidi uhusiano huo ufe:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna wakati kwa sababu ya mazingira fulani fulani inabidi uhusiano huu ufe, hata kama mmoja ni king’ang’anizi vipi. Hilo linapotokea yule king’ang’anizi hukabiliwa na athari za matokeo kama vile wasiwasi, aina ya hamu ya mapenzi au kupendwa isiyoweza kuridhishwa, huzuni na hasira. Hali hizi pia huwa zinapatikana kwa mlevi au mvutaji sugu ambaye anajaribu kuacha kuvuta au kunywa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuthibitisha hii Bubenik aliwafanyia utafiti panya wadogo wa porini na kugundua kwamba wanyama hawa wakizuiwa wasitoe homoni iktwayo &lt;strong&gt;&lt;em&gt;oxytocin&lt;/em&gt; &lt;/strong&gt;( sawa na homoni ya &lt;em&gt;&lt;strong&gt;dopamine&lt;/strong&gt; &lt;/em&gt;kwa binadamu) wakati wakipandana huwa hawadumu pamoja. Lakini pale wanapoachiwa watoe hiyo homoni huwa hawaachani hadi kufa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunaweza kusema mtu kushikwa au kunaswa kwenye mapenzi ni suala ambalo hakuna mtu anayeweza kudai kwamba anaweza kulizuia. Kulizuia kunawezekana kama mtu ataamua kuachana na tabia ya uzinzi tu, kwani hatafikia mahali ambapo akili yake itazingwa na homoni hii.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-7313954178495728438?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/7313954178495728438/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=7313954178495728438&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/7313954178495728438'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/7313954178495728438'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2010/06/kushikwa-kwenye-mapenzi-siyo-limbwata.html' title='KUSHIKWA KWENYE MAPENZI SIYO LIMBWATA AU MAPENZI MOTOMOTO BALI NI MATOKEO YA HOMONI!'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TB97zMaXDVI/AAAAAAAAAYc/RmJwhuicV58/s72-c/african-american-man-woman-450rp081808.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-5146907701859462441</id><published>2010-05-30T19:05:00.002+03:00</published><updated>2010-05-30T19:15:40.824+03:00</updated><title type='text'>MBARBAIG NA NG'OMBE WAWILI</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt; &lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Mnamo Februari 2, 1985 majira ya saa tisa jioni katika kijiji cha Buguchangaa kilichoko wilayani Kondoa katika mkoa wa Dodoma watu wawili waliotajwa kwa majina ya Iddi Hassani Gwandi na Mussa Amani walikuwa katika mashamba yao ambayo yako jirani wakiendelea na shughuli zao za kilimo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mara walimuona mtu mmoja ambaye alikuwa akiswaga ng’ombe wawili majike aliyekuja kutambuliwa baadae kuwa ni Mbarbaig aliyejulikana kwa jina la Kidarbarda Kimawida.&lt;br /&gt;Kidarbarda ambae alivaa vazi maalum linalovaliwa na watu wa kabila la Kibarbaig alikuwa akiwaswaga ng’ombe hao waliokuwa na rangi ya udongo akielekea upande ule waliokuwepo Iddi Hassani Gwandi na mwenzie Musa Amani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Gwandi na mwenzie Amani walimtilia mashaka Kidarbarda kuhusiana na umiliki wa zile ng’ombe hivyo walimsimamisha na kuanza kumuhoji. Walimuuliza Kidarbarda kama anacho kibali cha kuwamili wale ng’ombe, lakini aliwajibu kuwa hana kibali hicho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya kugundua kuwa Kidarbarda hakuwa na kibali cha kuwamiliki wale ng’ombe waliamua kumkamata na kumpeleka katika ofisi ya CCM ya pale kijijini na kumkabidhi kwa katibu wa CCM wa kijiji ambaye alikuja kuwa shahidi wa tatu katika kesi hii. (Ikumbukwe ndugu msomaji kuwa mpaka kufikia miaka ya 1990 kabla ya nchi yetu kuanzisha siasa ya vyama vingi watuhumiwa wa uhalifu walikuwa wanapelekwa kwenye ofisi za CCM ambapo kulikuwa na mahabusu maalum ya kuwafungia wahalifu kabla ya kuwapeleka kwenye vituo vya Polisi ambavyo vilikuwa ni vichache sana wakati huo)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kuwa giza lilikuwa limeshaingia ilibidi amfungie mtuhumiwa ndani ya chumba maalum kwa kazi hiyo ya kuwafungia wahalifu. Katibu huyo alimuomba Gwandi awachukuwe wale ng’ombe akawahifadhi nyumbani kwake mpaka siku inayofuata waendelee na upelelezi juu ya shauri lile. Siku inayofuata mtuhumiwa yule hakukutwa ndani ya kile chumba alichofungiwa kwani alikuwa amevunja mlango na kutoroka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya kugundua kuwa mtuhumiwa ametoroka ilibidi wale ng’ombe wapelekwe katika kituo cha Polisi Kondoa ambapo waliandikisha maelezo kuhusiana na wale ng’ombe pamoja na tukio la mtuhumiwa kutoroka kisha wakarejea kijijini kwao Buguchangaa. Siku ile ile vijana wawili walifika pale kijijini Buguchangaa wakitokea katika kijiji cha jirani cha Tungufu ambapo walikutana na Gwandi , Amani pamoja na Katibu wa CCM wa kijiji aliyejulikana kwa jina la Mohamedi Athumani Mringo. (Majina ya vijana wale hayakutajwa na pia hawakuitwa kutoa ushahidi wao pale mahakamani kwa hiyo maelezo yoyote yaliyonukuliwa kutoka kwa wale vijana yalichukuliwa kama ni ya uvumi na kwa mujibu wa sheria hayachukuliwi kama ni ushahidi wa kumtia mtu hatiani.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wale vijana walisema kuwa wametokea katika kijiji cha jirani cha Tungufu na walikuwa wametumwa na wana kijiji wa Tungufu kwenda katika kijiji hicho cha Buguchangaa ili kuwaona ng’ombe ambao walikamatwa kijijini hapo wakiwa na Mbarbaig ambapo wanahisi ndio ng’ombe walioibiwa kutoka kijijini kwao. Vijana hao waliendelea kusema kuwa mnamo Februari 12, 1985 katika kijiji cha Tungufu binti mmoja aliyejulikana kwa jina la Farida Omari aliuwawa wakati akiwachunga ng’ombe wawili majike na muuaji alitoweka na wale ng’ombe. Wale watu watatu ambao ndio waliotumika kama mashahidi wakuu katika kesi hii yaani Iddi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Gwandi akiwa ni shahidi wa kwanza, Musa Amani shahidi wa pili pamoja na shahidi wa tatu Mohamedi Mringo Katibu wa CCM wa Kijiji waliwapeleka wale vijana Kondoa ambapo inasemekana kwamba waliwatambua wale ng’ombe wawili majike kama ndio walioibiwa na mwizi ambaye ndie aliyemuuwa Farida. Baada ya wale ng’ombe kutambuliwa, Polisi waliwakabidhi kwa wale vijana ambapo waliondoka nao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya siku kadhaa Gwandi, Amani na Mringo Katibu wa CCM wa kijiji waliitwa katika kituo cha Polisi Kondoa ili kumtambua mtuhumiwa mmoja aliyekamatwa akihusishwa na Mbarbaig anaetuhumiwa kumuuwa Farida na kisha kutoweka na ng’ombe. Walipofika walionyeshwa mtuhumiwa mmoja ambaye alikuwa ni Mbarbaig, alikuwa amewekwa Rumande peke yake na wote walimtambua mtuhumiwa huyo kuwa ndie Mbarbaig waliyemkamata na Ng’ombe siku hiyo ya Februari 12, 1985.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kesi hii kwa mara ya kwanza ilitajwa katika mahakama ya wilayani kondoa ambapo mtuhumiwa hakutakiwa kujibu lolote kwa kuwa kesi ile ilikuwa ni ya mauaji na kwa mujibu wa sheria za hapa nchini kesi za mauaji husikilizwa na Mahakama Kuu pekee. Kesi hiyo namba 5 ya mwaka 1985 ambayo inaangukia katika kanuni ya sheria namba 196 ya kesi za mauaji (Murder) ilianza kusikilizwa rasmi katika mahakama kuu kanda ya Dodoma.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika usikilizwaji wa awali wa kesi hii ulioongozwa na jaji Samatta, vilitajwa vipengele 9 ambavyo havikuleta ubishi pale mahakamani kati ya pande mbili, yaani ule wa mashitaka na ule wa utetezi. Akiendelea kusikiliza kesi hii jaji Nchalla ambaye alichukuwa nafasi ya jaji Samatta alivitaja vipengele hivyo kama ifuatavyo:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;=Ukweli kwamba Farida Omari alikuwa ni mkazi wa kijiji cha Tungufu kilichopo wilayani kondoa mkoani Dodoma.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;=Farida alikufa kifo kibaya kwa kuuwawa kikatili mnamo February 12, 1985.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;=kabla ya kifo chake alikuwa amewapeleka ng’ombe wawili majike waliokuwa wakimilikiwa na baba yake malishoni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;=Farida na ng’ombe hao wawili aliowapeleka malishoni hawakurejea nyumbani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;=Mnamo February 13, 1985 mwili wa Farida uliokotwa porini akiwa ameuwawa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;=Mwili wa Farida ulifanyiwa uchunguzi na daktari Mbwana, hiyo ni baada ya mwili ule kutambuliwa na watu wawili waliotajwa kwa majina ya Omari Mohamedi na Juma Ramadhani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;=Kifo cha Frida kilitokana na kunyongwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;=Taarifa ya postmortem iliyotolewa na Daktari mbwana ilithibitishwa na mahakama na kuwa Kidhibiti cha kwanza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;=Mchoro wa eneo la tukio ulichorwa na askari polisi aliyekuwa na cheo cha sajenti aliyetajwa kwa jina moja tu la Peter nao ulitolewa pale mahakamani kama ushahidi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo yapo mambo ambayo yalileta utata pale mahakamani baina ya pande mbili.&lt;br /&gt;Utata huo ulikuwa ni huu ufuatao:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;=Je haiwezekani kuwa muuaji wa Farida ni mtu mwingine asiyefahamika ambaye ndiye aliyemuuwa na kisha kutoweka?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;=Au inawezekana muuaji wa Farida ni mtuhumiwa ambaye inasemekana ndiye aliyekutwa na ng’ombe wawili mnamo Februari 12, 1985 ambao ndio walioibiwa kutoka kwa Farida?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;=Je mtuhumiwa huyo aleyekamatwa na ng’ombe wawili mnamo  February 12, 1985 katika kijiji cha Buguchangaa ambacho kiko jirani na kijiji cha Tungufu alitambuliwa na mashahidi wote kwa kufuata taratibu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utata wa kwanza uliojitokeza wakati usikilizwaji wa kesi hii ni utaratibu uliotumika kumtambua mtuhumiwa yule katika kituo cha Polisi wilayani Kondoa, kwani kwa mujibu wa mashahidi wote wa upande wa mashitaka walidai kuwa walipoitwa kwenda kumtambua mtuhumiwa katika kituo cha Polisi cha Kondoa walimkuta mtuhumiwa Kidarbarda peke yake. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;p align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Utaratibu wa namna mtuhumiwa alivyotambuliwa na Mashahidi ulitiliwa mashaka na kuacha maswali mengi pale mahakamani, kwani  hakukuwepo na gwaride la uatambulisho kama sheria inavyosema. Kwa mujibu wa maelezo ya mashahidi wote pale mahakamani walikiri kwamba siku hiyo Kidarbarda alikuwa ni mtuhumiwa pekee aliyekuwa amewekwa rumande na walipofika mtuhumiwa huyo aliletwa mbele yao na hivyo kumtambua.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo katika mazingira kama hayo mashahidi hawakupata tabu kumtambua mtuhumiwa kuwa ndiye waliyemkamata kijijini kwao akiwa na ng’ombe wawili majike mnamo Februari 12, 1985. Utata huo unaungana na utata mwingine uliojitokeza wakati shahidi wa nne katika kesi hii askari wa upelelezi ambaye alikiri kuwa siku hiyo ya tukio la kumtambua mtuhumiwa kulikuwa na hali tete kati ya makabila mawili yaani Warangi na wabarbaig mbapo hali hiyo ilitokana na mauaji ya Farida pamoja na wizi wa hao ng’ombe wawili. Ukweli ni kwamba askari huyo wa upelelezi alikiri kuwa kulikuwa na hali tete kati ya warangi na wabarbaig na si mapigano. &lt;br /&gt;                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                  &lt;br /&gt;Hata hivyo shahidi huyo aliendelea kuieleza mahakama kuwa shahidi wa tatu Mohamedi Mringo alitaja jina la mbarbaig aliyetoroka akiwa katika rumande ya ofisi ya CCM katika kijiji cha Buguchangaa, na jina  linafanana na jina la mtuhumiwa. Shahidi huyo alibainisha kuwa kwa mujibu wa kumbukumbu zake jina la Mbarbaig huyo linafanana na jina la Mbarbaig ambaye amekuwa akikamatwa na kufikishwa katika kituo cha Polisi cha wilayani Kondoa mara kwa mara kwa tuhuma za wizi wa ng’ombe.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa hiyo mazingira hayo yakachukuliwa pale mahakamani na upande wa utetezi kama ni ya kumtuhumu mtuhumiwa Kidarbarda kimakosa kuwa ndiye yule aliyekamatwa mnamo Februari 12, 1985 akiwana na ng’ombe wawili ambao baadae walikuja kutambuliwa na vijana kutoka katika kijiji cha Tungufu ambao hata hivyo majina yao hayakufahamika kuwa ng’ombe wale ndio walioibiwa katika kijiji chao wakiwa wamepelekwa  malishoni na Farida ambaye aliuwawa katika uporaji huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nae shahidi wa tatu ambaye alikuwa ni katibu wa CCM wa kijiji cha Buguchangaa, Mohamedi Athumani Mringo katika ushahidi wake alinukuliwa akisema kuwa mtuhumiwa alipelekwa katika ofisi ya CCM ya kijiji majira ya usiku.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je ilikuwaje ikawa rahisi kwake kumtambua mtuhumiwa Kidarbarda kwa urahisi kiasi kile wakati alimuona usiku ambapo kulikuwa na giza? Utata mwingine ulikuwa ni wa kuhusiana na kujichanganya kwa mashahidi wakati walipokuwa wanelezea vielelezo vya utambuzi wa wale ng’ombe wawili wanaotuhumiwa kuwa walikuwa na mtuhumiwa. Mashahidi kutoka katika kijiji cha Buguchangaa ambao ndio waliomkamata mtuhumiwa akiwa na hao ng’ombe walidai kuwa ng’ombe waliowakamata hawakuwa na utambulisho wa alama yoyote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini shahidi wa nne askari wa upelelezi aliiambia mahakama kuwa  aliambiwa na shahidi wa tatu yaani Mohamedi Mringo kuwa wale ng’ombe walikuwa na alama maalum ya kufyekwa masikioni kidogo, alama ambayo inatumiwa na kabila la warangi kwenye ng’ombe zao.&lt;br /&gt;Naye mtuhumiwa Kidarbarda Kimawida ambaye hakuleta shahidi yeyote alitoa utetezi wake kwa kukanusha kuhusika na kumuuwa Farida wala kuiba hao ng’ombe wawili. Pia Kidarbarda alidai kuwa hakuwahi kutoka katika kijiji chake cha Sambala mnamo Februari 12, 1985.&lt;br /&gt;Akiendelea kutoa utetezi wake Kidarbarda alifafanua kuwa kijiorafia kijiji cha Sambala kiko umbali wa maili nyingi kutoka katika kijiji cha Tungufu na kijiji hicho kiko katika wilaya ya Hanang mkoani Arusha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mtuhumiwa huyo aliiambia mahakama kuwa hakuwahi kukamtwa na ng’ombe wawili mnamo Februari 12, 1985, bali anachokumbuka ni kuwa mnamo Februari 15, 1985 aliambiwa mmoja ya ndugu zake kuwa anatafutwa na polisi wa kituo cha Kondoa na mara baada ya kupata taarifa zile alisafiri hadi Kondoa na kuripoti kituoni hapo ambapo aliwekwa rumande. Baadae alijulishwa kuwa mnamo Februari 12, 1985 katika kijiji cha Tungufu alimuuwa binti mmoja aliyetajwa kwa jina la Farida na kisha kutoweka na ng’ombe majike wawili ambao walikuwa malishoni wakichungwa na Farida, mtuhumiwa alikanusha kuhusika na tuhuma zote mbili, yaani ile ya kumuuwa Farida na ile ya kuiba ng’ombe wawili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ili Polisi kuthibitisha madai yao waliitwa wanakijiji kutoka katika kijiji cha Buguchangaa ambapo mtuhumiwa aliletwa mbele yao na kuamriwa anyooshe mkono ambapo wanakijiji wale wote kwa pamoja walimtambua kuwa ndiye waliyemkamata na ng,ombe wawili siku ya Februari 12, 1985. Wanakijiji wale walidai kuwa mtu waliyemkamata alikuwa na ulemavu katika vidole vyake vya mkono wa kushoto.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini hata hivyo mtuhumiwa alilalamikia namna alivyotambuliwa, kwani wanakijiji wale hawakutoa vielelezo kuwa mtuhumiwa anafananaje kabla hajapelekwa mbele yao ili wamtambue. Jaji alikubaliana na malalamiko ya mtuhumiwa moja kwa moja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili wa upande wa utetezi aliyekuwa akimtetea mtuhumiwa aliyetajwa kwa jina moja tu la Mbezi katika majumuisho yake mara baada ya kesi hiyo kuisha kusikilizwa alisema kuwa upande wa muendesha  mashitaka umeshindwa kuthibitisha madai ya Kidarbarda kuhusika na mauji ya Farida na wizi wa ng’ombe kwani ushahidi wao ulikuwa na mapungufu makubwa na ulitegemea zaidi ushahidi wa kimazingira katika kuthibitisha tuhuma zinazomkabili mtuhumiwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili huyo wa utetezi aliendelea kufafanua zaidi kuwa hata wale ng’ombe wawili wanaotuhumiwa kuwa waliokamatwa wakiwa na mtuhumiwa hawakupata kutambuliwa na mwenye ng’ombe kuwa ndio ng’ombe walioibiwa kutoka kwa  Farida siku aliyouwawa.&lt;br /&gt;Wakili huyo aliendelea kubainisha kuwa hata maelezo yaliyotolewa na wale vijana kutoka katika kijiji cha Tungufu yalikuwa ni ya uvumi tu, kwa sababu wale vijana hawakuitwa mahakamani kutoa ushahidi wao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Nae mwanasheria wa serikali aliyetajwa kwa jina moja la Ndunguru katika maelezo yake ya kufunga kesi alisisistiza kuwa mpaka kufikia hapo imethibitishwa bila shaka yoyote kuwa mtuhumiwa alimuuwa farida na kisha kutoweka na ng’ombe majike wawili. Hata hivyo mwanasheria huyo wa serikali alikiri kuwa wale ng’ombe wawili wanaosemekana waliokamatwa na mtuhumiwa hawakuwahi kutambuliwa na mwenye ng’ombe hao na wala hakuwahi kutoa ushahidi wake mahakamani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwanasheria huyo aliendelea kukiri kuwa hata maelezo yaliyonukuliwa kutoka kwa wale vijana waliotoka katika kijiji cha Tungufu yalikuwa ni ya uvumi. Kesi hiyo iliisha kusikilizwa na siku ya hukumu ilipofika Jaji Nchalla aliyekuwa akisikiliza kesi hiyo alisoma hukumu.&lt;br /&gt;Katika hukumu yake Jaji Nchalla alisema kuwa baada ya kuijadili ile kesi kwa kina na baraza lake la washauri haikuwawia vigumu kubaini kuwa upande wa mashitaka umeshindwa kuthibitisha madai ya Mtuhumiwa KIDARBARDA Kimawida kuhusika na mauaji ya Farida pamoja na wizi wa ng’ombe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji huyo aliendelea kusema kwa maneno yake mwenyewe kuwa “kutokana na mapungufu yaliyojitokeza katika ushahidi uliotolewa hapa mahakamani dhidi ya mtuhumiwa, namuachia huru mtuhumiwa Kidarbarda Kimawida kwa mashitaka ya mauaji ya kukusudia (Murder) na ninaamuru mtuhumiwa atolewe kutoka rumande alikokuwa akishikiliwa”&lt;br /&gt;&lt;/p&gt;&lt;/span&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;p align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Hata hivyo Jaji Nchalla alisema kuwa haki ya kukata rufaa kwa upande utakaokuwa haukuridhishwa na hukumu ile iko wazi.     &lt;br /&gt;  &lt;br /&gt;  &lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-5146907701859462441?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/5146907701859462441/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=5146907701859462441&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/5146907701859462441'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/5146907701859462441'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2010/05/mbarbaig-na-ngombe-wawili.html' title='MBARBAIG NA NG&apos;OMBE WAWILI'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-5448815781118980642</id><published>2010-05-17T10:39:00.006+03:00</published><updated>2010-05-17T11:01:55.154+03:00</updated><title type='text'>MKUTANO WETU NA WANABLOG WENZANGU NA KILE NILICHOKISHUHUDIA BUGURUNI.</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Naweza kusema kuwa wiki iliyopita imeacha kumbukumbu kichwani mwangu kutokana na tukio muhimu la kukutana na wanablog wenzangu pale katika Hoteli ya Movenpick.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni siku ambayo nilikutana na Chacha o’Wambura Ng’wanambiti na kaka Fadhy Mtanga na Kaka Chib ambapo tulibadilishana uzoefu juu ya Blog zetu hizi.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Mazungumzo yetu yalilenga zaidi katika kupanua wigo wa kublog na kuingia katika utunzi wa vitabu vya maarifa na riwaya. Lengo ni kupanua wigo wa yale tunayoandika ili yawafikie wananchi wengi wasioweza kupata habari za mtandaoni kutokana na ufinyu wa mtandao kutowafikia wananchi wengi vijijini na uelewa mdogo juu ya tasnia hii ya mtandao&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Pia tuliazimia kujenga mkakati wa kuwalinda wanablog wa kike ili wasije wakatoweka katika tasnia hii ya blog na pia kuwashawishi wanawake wengi zaidi kujitokeza na kuanza kublog na kuzungumzia matatizo yao na yale yanayoikabili jamii kwa ujumla.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nisingependa kuzungumza mengi juu ya kukutana kwetu kwani Chacha na Fadhy wameshazungumzia maazimio tuliyofikia katika kikao chetu hicho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini cha kufurahisha zaidi ni pale Fadhy aliponitembelea nyumbani kwangu maeneo ya Tabata na kupata wasaa wa kukutana na familia yangu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tulizungumza na Fadhy hadi saa mbili za usiku na baada ya mazungumzo, nilitoka na mgeni wangu ambapo nilifuatana naye hadi maeneo ya Buguruni, kwani nilikuwa na mtu mwingine ambaye nilikuwa nikutane naye pale Buguruni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tulipofika maeneo ya Buguruni kituo cha Sheli tulikutana na mabinti wengi ambao walionekana dhahiri ni wanafunzi kutokana na umri wao kuonekana mdogo. Mabinti hao walikuwa wamevaa vivazi ambavyo viliacha sehemu kubwa ya miili yao ikiwa wazi au tuseme nusu uchi. Walikuwa wakipita pale tuposimama wakiwa katika makundi ya watatu watatu au wanne wakielekea kwenye klabu moja iliyoko jirani na kituo hicho Sheli, maarufu kama Kimboka By Night.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati huo sisi tulikuwa tumesimama kwenye kioski ili kupata maji ya matunda. Nilitumia muda huo kufanya udadisi kwa kumuuliza muuzaji wa kile kioski juu ya wale mabinti wanaopita pale.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yule muuzaji alitueleza kuwa wale mabinti ni makahaba ambao wanajiuza katika ile klabu ya Kimboka na bei yao inaanzia shilingi elfu tano lakini inategema zaidi na mwonekano wa mtu, na inaweza kupanda hadi shilingi elfu kumi au kushuka hadi shilingi elfu mbili kulingana na hali ya biashara siku hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tuliambiwa kuwa mabinti wale hufika pale na mabwana zao ambao huitwa Ving’asti. Vijana hao ambao wengi ni watumiaji wa madawa ya kulevya hutumika kama walinzi wa kuwalinda mabinti hao ili wasidhulumiwe na wanaume wakware, lakini mwisho wa siku hugawana kipato. (Kwa wenzetu wa Ughaibuni huitwa Pimp).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Muzaji yule aliendelea kubainisha kuwa yapo maeneo mawili maarufu kwa ukahaba pale buguruni. Aliyataja maeneo hayo kuwa ni pale Kimboka By night ambapo hukutanisha mabinti wadogo wa umri usiozidi miaka 20 na Sewa Baa iliyoko Buguruni Sokoni ambapo hukutanisha wanawake wenye umri mkubwa wa kati ya miaka 30 na kuendelea. Na wenyewe wamewekeana masharti ya kutoingiliana katika maeneo yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilipata shauku ya kujua mengi juu ya makahaba hao, na baada ya Kuachana na Fadhy nilikwenda kujionea mwenyewe hali halisi pale Kimboka na kisha nikaeda kule Sewa Baa. Ziara yangu hiyo ilinichukua takribani saa nzima kisha nikarejea nyumbani kutafakari juu ya kile nilichokiona kwa siku ile.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika kutafakari kwangu, nilijiuliza swali moja, Je kwa nini mabinti wale wanaitwa ni makahaba? Au ni kwa nini kuwe na makahaba?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kawaida sisi wanadamu huwa tunapenda kuhukumu matokeo au dalili badala ya kuangalia chanzo. Kwa nini nasema hivyo? Ni kwa sababu wakati tunawazungumzia wale mabinti, muuzaji wa kile kioski alituambia kuwa wale ni makahaba wanaojiuza. Lakini hebu tujiulize, Je wanajiuza kwa nani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama kungekuwa hakuna wanunuzi wa kile kinachouzwa na hao makahaba, ni wazi kusingekuwa na watu hao wanaoitwa makahaba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa bahati mbaya kabisa ni kwamba wanunuzi wa bidhaa hiyo ambao wengi ni sisi wanaume, lakini sisi hatuna jina la kejeli zaidi ya kuonekana vijogoo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inashangaza kidogo kuona kuwa wanaoshiriki katika tendo hilo ni watu wa jinsia zote mbili lakini sifa na jina baya wanapewa mabinti hao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hebu tujiulize wote, hivi kwa nini kuwe na makahaba?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mimi nasema kuwa kumekuwa na makahaba kwa sababu wanunuzi wapo, ambao ni wanaume.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na imeonekana kuwa soko hilo linalipa na ndio sababu ya mabinti wengi kama wale tuliowakuta pale buguruni wakijiuza, kujikuta wakiingia katika biashara hiyo kutokana na ugumu wa maisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo sishangai sana kwani kwa nchi kama Tanzania ambayo hivi sasa inavuma kwa ufisadi, vitendo vya kuvunja sheria na ukahaba ni vya kutarajiwa sana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa nini tusitarajie vitendo vya aina hiyo wakati wananchi wamekata tamaa kutokana na ugumu wa maisha. Kuna baadhi ya watu wamejilimbikizia mali huku wengine wakishindia mlo mmoja kwa siku.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi sasa kuna wimbi kubwa la mabinti na vijana wa kiume ambao wamejikuta wakiingia katika vitendo vya uvunjaji wa sheria ikiwemo uvutaji wa bangi, matumizi ya madawa ya kulevya na uporaji wa kutumia silaha za jadi kutokana na hali ngumu ya maisha.Wazazi wa watoto hawa wameshindwa kuwalea watoto wao kwa kufuata maadili kutokana na umasikini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi ni nani asiyejua kuwa pale kipato kinapokuwa kigumu katika familia, wazazi hutokea kuwa wakorofi, wakali na wasiojali sana kuhusu mahitaji ya watoto wao. Kwa kawaida katika ugumu wa mambo, kunakuwa na kutoelewana hata kwa wazazi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Watoto wanaonekana kwa kiasi cha kutosha kubeba mzigo ambao wazazi wangepaswa kuubeba wenyewe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi sasa kuna wimbi kubwa la watoto, na hasa wenye kati ya umri wa miaka 13 hadi 19 ambao wamebainika kuwa na sononi, ukatili na kukosa adabu kwa sababu ya umasikini wa familia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi mnajua ni kwa nini makahaba wengi wanatokea katika maeneo ya uswahilini kama vile Buguruni, Mwananyamala, Tandale, Tandika na kwingineko, na isiwe ni Masaki, Kawe au Mikocheni?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni kwa sababu watu wa maeneo hayo, hali zao kimapato ni nzuri ukilinganisha na wale wa maeneo ya uswahilini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na msije mkadhani kwamba mabinti hawa wanafanya bishara hii ya ukahaba kwa kupenda? La hasha, sio kweli kabisa, mabinti hawa wamejikuta wakijiingiza katika bishara hiyo kutokna na kukosa namna nzuri ya kujitafutia kipato kwa njia ya halali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Juzi hapa niliwasikia kinamama ambao hujishughulisha na biashara ya vyakula wakilalamika kuwa wanamgambo wamekuwa wakiwavamia na kuwapora vyakula vyao na hata fedha na kuondoka navyo kusikojulikana, eti kwa sababu wanafanya bishara hiyo katika maeneo yasiyoruhusiwa. Je walitengewa maeneo wakakataa kwenda?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kinachosikitisha zaidi ni kwamba kina mama hawa wamekopa katika taasisi za fedha au Saccos, na fedha hizo zinatakiwa kurejeshwa tena na riba juu, lakini bila ya huruma wanamgambo hao wamkuwa wakiwapora vyakula vyao na kuondoka navyo kusikijulikana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na ndio maana sikushangaa nilipoelezwa kwamba kuna kina mama ambao ni watu wazima wanajiuza katka Baa ya Sewa pale Buguruni sokoni, kitu ambacho nilikishuhudia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kina mama hawa wamelazimika kujiingiza katika biashara hiyo sio kwa kupenda bali ni kutokana na kukosa namna ya kujikimu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilipata bahati ya kuzungumza na mabinti wawili ambapo hata hivyo sikupata muda mzuri baada ya kutishiwa na hao vijana wanaoitwa Ving’asti wao wanaowalinda kutokana na kuonekana kama nawapotezea muda au timing kama wenyewe wanavyosema..&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini kwa kifupi waliniambia kuwa walilazimiaka kuacha shule wakiwa darasa la sita na kujiingiza kwenye ile biashara baada ya kushawishiwa na marafiki zao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Walikiri kuwa hali ya kipato katika familia zao sio nzuri na wanawajibika kujinunulia kila kitu ikiwemo hata chakula.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa upande wa kazi hiyo, ya ukahaba walikiri kuwa ni ngumu sana kwani wanaume wengi hupenda kulawiti tena bila kondom, na wakati mwingine huwadhulumu fedha zao walizopatana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kilichonishangaza ni pale waliponieleza kuwa wapo wateja wao ambao wamewazoea wanaopewa huduma hiyo kwa mkopo, wengi wao wakiwa ni vibarua viwandani maarufu kama Day Worker.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wateja hao hulipa kila mwisho wa juma wanapolipwa fedha zao. Na walikiri kuwa ni waaminifu wakubwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini hata hivyo niligundua kuwa mabinti wale ni wavutaji wazuri wa bangi, sigara na ni wanywaji wa Pombe waliobobea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilipowadadisi walikiri kuwa wanalazimika kutumia huo ulevi ili kupata kitu walichoita stimu, yaani kuondoa mawazo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Walidai kuwa ingekuwa ni vigmu kwao kufanya kazi ile bila kupata hiyo Stimu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilichojifunza kutokana na kile nilichokishuhudia pale Buguruni ni kwamba, kunahitajika mkakati wa kutosha kupunguza pengo kati ya masikini na matajiri. Kuna nguvu kazi nyingi inapotea hivi sasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kujenga shule za kata haitoshi kama hakutakuwa na mkakati maalum wa kupunguza umasikini miongoni mwa jamii ya Watanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ikiwa kama kila mwaka kuna watoto wanakimbia shule na kuingia katika vitendo vya ukahaba na utumiajji wa madawa ya kulevya, je tutarajie jamii gani itakayoujenga uchumi wetu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kelele za majukwaani peke yake hazitoshi kama mikakati na sera maridhawa hazitawekwa ili kukinusuru kizazi hiki kilichokosa mwelekeo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika kipindi hiki cha kuelekea katika uchaguzi mkuu, tutashuhudia kampeni zenye mbwembwe na ahadi kemkem ambazo hazitekelezeki, lengo kuu ni kutaka kujihakikishia ulaji mwingine kwa miaka mitano.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunahitaji viongozi watakaoliona hili kama ni janga la kitaifa.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-5448815781118980642?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/5448815781118980642/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=5448815781118980642&amp;isPopup=true' title='8 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/5448815781118980642'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/5448815781118980642'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2010/05/mkutano-wetu-na-wanablog-wenzangu-na.html' title='MKUTANO WETU NA WANABLOG WENZANGU NA KILE NILICHOKISHUHUDIA BUGURUNI.'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><thr:total>8</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-871403982469375337</id><published>2010-05-15T16:40:00.003+03:00</published><updated>2010-05-15T16:44:58.842+03:00</updated><title type='text'>FUMANIZI: EPUKA WANAOSHAURI KUACHANA.</title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S-6k4ox0-jI/AAAAAAAAAYI/LC7_XZcOmD0/s1600/grief.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5471491890227771954" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 228px; CURSOR: hand; HEIGHT: 320px; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://3.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S-6k4ox0-jI/AAAAAAAAAYI/LC7_XZcOmD0/s320/grief.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;strong&gt;&lt;span style="color:#660000;"&gt;Huna haja ya kuwaza sana&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Fumanizi husababisha hisia zenye maumivu, hasira, kutokuaminiana, woga, aibu na kujilaumu. Lakini kufumania au kufumania hakupaswi kuwa sababu wa kuwa mwisho wa ndoa yenu, ingawa kunaweza kuwa pia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya fumanizi, inabidi ujitahidi kuelewa na kuweza kujenga tena ndoa yako, pengine sasa ikiwa ni ndoa imara zaidi. Hata hivyo hii inataka kujituma kwingi na uvumilivu na subira .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ndoa inaweza kuendelea hata baada ya fumanizi kwa kutumia ushauri, kupeana muda na kushirikiana. Kuna ndoa ambazo zimeweza kudumu zaidi baada ya fumanizi kutokea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pale kutoka nje kwa mwanandoa mmoja kunapogundulika hupelekea hisia kali kwa wanandoa wote, mshtuko, aibu, kujilaumu, kujiona mkosaji, hasira kali na wasiwasi. Kutokana na hisia hizi zote mara nyingi wengi hufanya maamuzi yasiyo mazuri kama kutengana au kuachana kabisa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Badala ya kufanya hivyo katika kipindi kile cha muda mfupi baada ya fumanizi, tunahitaji kuwa watulivu sana ili tuweze kuchukua hatua zinazofaa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kupata msaada: Kwa uzima na afya yako mwenyewe, tafuta msaada kutoka kwa familia, rafiki, mchungaji, shekhe au mshauri yeyote unayemwamini wewe na kujihisi huru kwake. Kuongea kuhusu hisia zako kwa wale unaowapenda sana itakusaidia wewe kupunguza nguvu za hisia za maumivu ya tukio hilo. Kuongea na watu wengine kunaweza kukupa wewe uwezo wa kuelewa zaidi hisia zako na kupata mtazamo mwingine kuhusu tukio.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pengine aliyetoka nje inawezekana hatosheki katika mahusianao katika ndoa yake au hawajibiki vizuri katika ndoa. Au pengine hawezi kudhibiti mihemko yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mabadiliko ya maisha kama kuzaliwa mtoto au upweke wa aina fulani, unaweza kuwa ndio sababu ya kutoka nje. Inabidi haya yatazamwe kabla mtu hajaamua lolote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa hiyo kujua sababu ya mwingine kutoka nje ni muhimu sana na hii inaweza kukupa ahueni, kwani unaweza kubaini kitu ambacho kinaonesha kwamba, kwako pia kuna matatizo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hatua zitakazokusaidia kujenga upya ndoa yako baada ya fumanizi ni nyingi. Lakini hizi ni baadhi tu ambazo kwa mazingira yanayokukabili, zinaweza kukusaidia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuacha kutoka nje ya ndoa:&lt;br /&gt;Hatua ya kwanza ni kwa mwanandoa kuacha tabia ya kutoka nje ya ndoa kiukweli. Mwanandoa anatakiwa kuacha kabisa mahusiano na mawasiliano na wapenzi wao wa nje, kujirudi kiukweli katika ndoa hakuwezekani bila kufanya hivyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kukubali kuwajibika:&lt;br /&gt;Kama umetoka nje ya ndoa, kuwa tayari kuwajibika katika vitendo vyako. Kama ulikuwa unadanganya, fikiri kuhusu matokeo ya vitendo vyako, fikiri kuhusu furaha uliyoiondoa kwa vitendo vyako, kubali kubadilika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Onyesha nia ya malengo yako:&lt;br /&gt;Kuwa na uhakika kuwa wote wawili mko tayari kujenga upya ndoa yenu. Inawezekana kuchukua muda kuondoa yote yaliyotokea na kuona kuwa mnaweza kuponya ndoa yenu tena. Kama wote mmefikia muafaka wa kujenga upya ndoa yenu basi ni vyema mjue kuwa itachukua muda, nguvu na kujitolea sana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Onana na mshauri wa wanandoa:&lt;br /&gt;Mtafute mshauri wa ndoa ambaye atakusaidia kujenga upya ndoa yako kama itakuwa inahitajika. Onana na mshauri wa ndoa ambaye alishawahi kukutana na kusaidia kutataua matataizo ya fumanizi. Mwepuke mshauri ambaye anaamini kumfumania au kufumania ndio mwisho wa ndoa yenu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuchunguza tatizo:&lt;br /&gt;Kufumania au kufumaniwa huzua matatizo katika ndoa. Chunguzeni kwa makini mahusiano yenu ili uweze kujua nini kilichosababisha au kilichopelekea kutoka nje ya ndoa na nini mfanye ili kuzuia kutoka nje ya ndoa tena. Epuka kutafuta msaada kwa watu ambao huwaamini na anajua hawawezi kukupa msaada mzuri kwa sababu itakuzidishia hisia za maumivu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kila mmoja apewe nafasi:&lt;br /&gt;Kila mwanandoa anahitaji kupumzika kwa ajili ya kuondoa msongo na wasiwasi kutokana na tukio la fumanizi, hii ni kwa sababu huwa ni vigumu kusikiliza ushauri wakati mihemko iko juu sana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pata muda:&lt;br /&gt;Epuka kujua undani zaidi kuhusu fumanizi la mwenzi wako kwa wakati wa mwanzoni. Ahirisha mjadala huo kwanza mpaka uzoee ile hali ya kumfumania mwenzi wako.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Fumanizi ni nini kwako?&lt;br /&gt;Fumanizi sio kitu kimoja chenye maelezo au hali ya kueleweka kirahisi. Kuna aina nyingi za fumanizi. Kitu ambacho kinaweza kisikubalike kwa wanandoa fulani, kinaweza kukubalika na kuvumiliwa na wanandoa wengine kwenye fumanizi. Suluhu kwenye masuala ya fumanizi haifanani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kurudi katika hali ya kawaida baada ya fumanizi ni hali ambayo kiukweli ni ngumu sana, lakini inawezekana mmoja kuvumilia baada ya mmoja kutoka nje ya ndoa. Ushauri wa mambo ya ndoa utakusaidia kuliona tatizo hili kama matatizo mengine ya ndoa, jifunze jinsi ya kujenga tena ndoa yenye nguvu na mahusiano mazuri na epuka suala la kutalikiana, labda tu ama inabidi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuelewa kwa nini mwenzi wako ametoka nje ya ndoa ni hatua muhimu katika kuweza kurejea tena katika ndoa na kuwa na furaha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutoka nje ya ndoa huweza kutokea kwenye ndoa yenye furaha na isiyo na furaha na sababu zinatofautiana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya mshtuko ule wa mwanzoni kuisha, zungumzeni kwa uwazi na upendo kuhusu kilichotokea, usijali ugumu katika kuongea au utakachosikia kuhusu tukio. fahamu kuwa unaweza kuhitaji msaada kwa mshauri au mtu yeyote unayemwamini ili uweze kuongea kwa uwazi zaidi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama wewe ndiye uliyetoka nje ya ndoa unaweza kutengeneza ratiba kwa ajili yako wewe kuweza kujirudisha katika hali ya kawaida tena. Mara nyingi yule aliyetoka nje ya ndoa huwa na wasiwasi sana kuhusu tukio hilo. Kila mmoja anahitaji muda wa kuweza kujitibu mwenyewe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa watu wengine kusamehe ni suala gumu katika kujenga ndoa upya baada ya fumanizi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kusamehe siyo suala rahisi na la haraka. Inaweza kuwa kitu cha muda mrefu katika maisha, lakini kama umejitolea kwa mpenzi wako hili ni suala rahisi sana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwisho wa ndoa au hapana ?&lt;br /&gt;Siyo kila ndoa iliyoguswa na suala hili la fumanizi ni lazima imalizike kwa kutokuachana. Wakati mwingine kunakuwa na uharibifu mkubwa na wanandoa hawana budi kuachana na pia kama wanandoa hawako tayari kuwa pamoja tena.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini kama wote mko tayari kujenga upya ndoa yenu, basi suala hili huwa rahisi sana na uhusiano utaendelea kuwa mzuri na wa amani zaidi.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-871403982469375337?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/871403982469375337/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=871403982469375337&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/871403982469375337'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/871403982469375337'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2010/05/fumanizi-epuka-wanaoshauri-kuachana.html' title='FUMANIZI: EPUKA WANAOSHAURI KUACHANA.'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S-6k4ox0-jI/AAAAAAAAAYI/LC7_XZcOmD0/s72-c/grief.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-5358242009357343066</id><published>2010-04-25T08:56:00.007+03:00</published><updated>2010-04-25T09:07:24.552+03:00</updated><title type='text'>KISA CHA MWANAMKE WA ZIWANI-SEHEMU YA MWISHO</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S9Pax9_AdLI/AAAAAAAAAYA/NgGZgHdUHYg/s1600/realcrimeLadyLake.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5463951324917822642" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; CURSOR: hand; HEIGHT: 160px; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S9Pax9_AdLI/AAAAAAAAAYA/NgGZgHdUHYg/s320/realcrimeLadyLake.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="center"&gt;&lt;strong&gt;&lt;span style="color:#990000;"&gt;Gordons Park na Carol enzi za uhai wao &lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S9PaTkorPbI/AAAAAAAAAX4/LfTvAHwdOYc/s1600/GordonPark.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5463950802717195698" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 300px; CURSOR: hand; HEIGHT: 300px; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://3.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S9PaTkorPbI/AAAAAAAAAX4/LfTvAHwdOYc/s320/GordonPark.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt; &lt;strong&gt;&lt;span style="color:#990000;"&gt;Gordons Park&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="left"&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;ILIPOISHIA……………..&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Mahakama ilielezwa kwamba wanandoa hao hawakuwa na mahusiano mazuri katika maisha yao ya ndoa na kuwa walikuwa wakijihusisha na shajara za kubadilishana wanawake, maarufu kama ‘'wife-swapping' parties’ ambapo katika tukio moja la shajara ya chakula cha usiku Carol Park aliondoka na kwenda kulala na rafiki wa mumewe aitwae Colin Foster, huku Gordond Park akiondoka na mke wa Colin Foster kwenda kulala naye katika chumba kingine&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;ENDELEA KUSOMA HAPA……..&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini hata hivyo ushahidi wote uliokusanywa dhidi ya Gordons Park ulikuwa na utata mtupu kiasi cha kuwavutia watu wengi yakiwemo Makundi mbalimbali ya watetezi wakipiga kampeni ya kutaka Gordons Park aachiwe huru kutokana na ushahidi finyu dhidi yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Shahidi mwingine alikuwa ni mama mmoja aitwaye Joan Young, ambaye alidai kuwa mnamo Julai 1976 yeye na mumewe wakiwa katika mapumziko katika wilaya hiyo ya Lake walikuwa wamekaa kandoni mwa eneo hilo la Caniston na ndipo walipoona boti likiwa ufukweni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mama huyo alidai kumuona mwanaume akisukuma kitu kilichofungwa kama furushi, ambapo alimtania mumewe kwa kumwambia ‘yawezekana huyo akawa ni mkewe’&lt;br /&gt;Hata hivyo ushshidi huo ulizua utata kwa sababu kwanza, siku na muda ulioelezwa ilitofautiana na ule uliokuwa ukifahamika na Polisi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pili, ingawa mumewe alikumbuka kusikia ule utani, lakini alikuwa akisoma gazeti hivyo hakuona kitu chochota. Tatu umbali walipokuwa wamekaa na umbali unaosemekana boti hilo kuwepo, ni vigumu kwa mtu kuweza kuona kitu na kukitambua.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nne, kama aliona mtu akisukumia kitu ziwani, basi haiwezekani ukawa ni mwili wa Carol Park kwa sababu mwili ulipatikana umbali mrefu kutoka katika eneo ambalo wao Joan Young na mumewe walikaa. Ikumbukwe kwamba mwili ule ulikuwa umefungwa ndani ya begi la plastik pamoja na vyuma ili kuupa uzito usiweze kuelea, sasa itawezekana vipi kusogezwa umbali wote ule.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tano, kwa mujibu wa maelezo yake wakati akifafanua kuhusu muonekano wa boti aliyoiona ufukweni siku hiyo alidai kuwa aliona boti la uvuvi kama Cruiser. Lakini wakati mwili wa Carol ulipopatikana ilifahamika kuwa Gordons Park alikuwa akimiliki Boti kubwa ya uvuvi aina ya Yatch.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini mwaka 1976 Gordon alikuwa akimiliki Boti ieandayo kwa kasi ambayo ilikuwa ikitumika kwa uvuvi pia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ingawa kumbukumbu hazioneshi usahihi wa madai hayo lakini kuna ukweli kwamba Boti hiyo haikuwahi kuwepo katika ufukwe wa Caniston katika kipindi hicho cha mwezi wa tano wa summer, miezi miwili kabla ya Carol hajatoweka, kwani Boti hiyo ilikuwa ikitumika kuvua samaki katika ziwa jingine la Windermere.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama ikichukuliwa kuwa ni yeye aliyeutelekeza mwili wa Carol, basi mwili ule usingetelekezwa katika ziwa la Canistone na badala yake mwili ule ungetelekzwa mahali ambapo Boti la Gordons lilipokuwa ambapo ni Windermere, na kama ni kuogopa kuonekana na mwili ule na watu, basi angeenda maeneo ya mbali zaidi na sio Coniston mahali ambapo katika kipindi hicho cha Summer kunakuwa na watu wengi katika eneo hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mojawapo ya kidhibiti kilichofikishwa mahakamni hapo ni jiwe, ambapo mwendesha mashtaka alidai kuwa pamoja na kuutupa mwili wa Carol mtoni pia Gordons alizitupa nguo za Carol mtoni ambapo alizitosa zikiwa zimefungwa kama furushi na ndani yake kukiwa na lile jiwe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa uchunguzi wa kitaalamu imethibitisha kwamba madini yaliyoko katika lile jiwe yanafanana kabisa na na madini yaliyoko kwenye mawe nyumbani kwa Gordons.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini ni kwa nini mpaka jiwe likahusishwa na kesi hiyo? Hata hivyo katika hali ya kushangaza askari wa kikosi cha uzamiaji ambaye ndiye aliyehusika katika kuuopoa mwili wa Carol katika ziwa la Coniston alidai kuwa hakumbuki kuopoa jiwe hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naye Profesa Kenneth Pye ambaye ndiye aliyehusika na uchunguzi wa jiwe lile na akiwa ni shahidi wa kitaalamu katika kesi hiyo, alipoulizwa kuhusiana na mazingira ya kuhusishwa kwa jiwe hilo na kesi hiyo alidai kuwa ingawa ushahidi huo haukuwa na nguvu lakini ushahidi wa wale wafungwa wawili waliokuwa wamewekwa selo moja na Park wakati alipokuwa amewekwa rumande alipokamatwa kwa mara wa kwaza ndio muhimu katika kesi hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ilielezwa mahakamni hapo kwamba mnamo Septemba 2000 mfungwa mmoja aitwae Michael Wainwright aliwasiliana na Polisi na kutoa taarifa kuwa Gordons Park aliwahi kukiri mbele yake akiwa na mwenzie aliyetajwa kwa jina la Glen Banks ambaye ana matatizo ya kutojua kusoma (Learning Disability) kuwa ni kweli alimuua mkewe.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Hata hivyo Park alidai kutokuwa na ukakika wa kukutana na watu hao alipokuwa gerezani.&lt;br /&gt;Lakini Banks alionekana dhahiri kutokuwa na kumbukumbu nzuri wakati alipokuwa akitoa ushhidi wake pale mahakamani, kwani alisema, “Alituambia kuwa alimuua mkewe kwenye Boti huko Blackpool”&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Naye Wainwright, katika maelezo yake wakati wa kutoa ushahidi mahakamni alinukuliwa akisema, “Park aliniambia kuwa alipopanda ghorofani katika chumba chao cha kulala alimkuta mkewe akiwa na mwanaume mwingine kitandani na ndipo alipomuua hapohapo”&lt;br /&gt;Kauli hiyo ilizidi kuacha maswali nyuma, Je, ni nini kilichotokea kwa yule mwanaume aliyefumaniwa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Lakini jambo lingine ambalo liliwashangaza watu ni hili, hivi inawezekana kweli mtu kama Park ambaye amekuwa mwalimu kwa muda mrefu na ambaye amekuwa akisisitiza kwa marafiki zake, familia yake, na hata mwanasheria wake kutokuwa na hatia tangu kukamatwa kwake kwa mara ya kwanza kwa kutuhumiwa kuhusikana mauaji ya mkewe, aweze kukiri kwa urahisi hivyo kwa watu hao ambapo mmoja wapo, yaani Wainwright, anahusishwa na uvutaji wa bangi kupindukia akiwa na uwezo wa kuvuta misokoto mpaka 12.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Na kama Gordons Park hakuhusika na mauaji ya mkewe, je ni nini kilichomtokea mkewe siku hiyo wakati walipomuacha mkewe nyumbani siku hiyo ya jumamosi Julai 1976?&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Kulikuwa na mambo matatu muhimu ya kuyaangalia ambayo yalitokea siku hiyo. Kwanza jirani mmoja alimuona Carol akiwa amesimama nje ya nyumba yao, pili jirani mwingine alimuona mtu akiendesha gari dogo aina ya VW Beetle hadi jirani na nyumbani kwa Gordons Park na kusimama hapo kwa takribani dakika 20.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Tatu huyu jirani aliyeliona gari hilo aina ya VW Beetle alikuwa na uhakika aliyekuwa akiendesha gari hakuwa ni Gordons, ingawa hakumuona aliyekuwa akiendesha gari hilo, kwa kuwa aliliona likipita tu. Hata hivyo uwepo wa gari hilo katika eneo la tukio haukuwahi kuzungumziwa pale mahakamani.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Pamoja na utata huo, utata mwingine ni pale mwanamke mwingine ambaye alidai kumuona Carol majira ya jioni katika eneo la Charnock Richard services. Mwanamke huyo alisema kuwa alimuona Carol akikatiza mbele yake katika mwendo wa haraka lakini akiwa ameinamisha kichwa chini.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Katika ripoti moja kutoka kituo cha ushauri, ilionyesha kuwa tangu mwaka 1975 Carol hajawahi kulalamika kuwa amewahi kupigwa au kutishiwa maisha na Gordons kwa kipindi chote alichokuwa akihudhuria hapo katika kituo hicho.&lt;br /&gt;Lakini hata hivyo miongoni mwa wapenzi wa Carol, wengi wao walikuwa na tabia ya ukatili na mmoja wapo alikuwa ni John Rapson ambaye ndiye aliyemuua dada yake na kufungwa gerezani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je Johna Rapton alikuwa gereani wakati Carol alipouawa? Hapana alikwishaachiwa tangu Disemba 1975, lakini alipohojiwa na polisi alidai kuwa alikuwa katika mji wa Barrow hapo mnamo Julai 1976, Carol alipotoweka.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Polisi hawakumtilia mashaka kuhusika na mauaji ya Carol, lakini wachunguzi wa masuala ya kiuhalifu walidai kuwa yeye John Rapton ni miongoni mwa wapenzi wa Carol wa kutiliwa mashaka kuhusika na mauaji hayo zaidi ya Gordons Park.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Kesi hiyo iliisha kusikilizwa hapo Januari 2005, ikiwa ni wiki 10 tangu ilipoanza kusikilizwa kwa mara ya pili, na ikiwa ni takribani miaka 29 tangu Carol alipotoweka.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Katika hali ya kushangaza Gordons Park alihukumiwa kifungo cha miaka 15 gerezani kwa kosa hilo. Lakini alipewa uwezekano wa kuachiwa baada ya kutumikia kifungo cha miaka 5 kama ataonyesha tabia nzuri.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Mnamo siku ya jumatatu januari 25, 2010, ikiwa ni imebakiza mwenzi mmoja, kufikiriwa kuachiwa, Gordon Park alikutwa akiwa amejinyonga katika selo yake huko katika Gereza la HMP Garth, Leyland, Lancs.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Je ni kwa nini achukue uamuzi huo wa kujinyonga wakati kulikuwa na uwezekano wa kuachiwa huru muda mfupi ujao? Hili swali mpaka leo halijapatiwa majibu. Kwa jinsi kesi hii ilivyojaa utata, na ndivyo hata kifo cha Gordons Park kule Gerezani kilivyojaa utata pia.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;*****************MWISHO****************** &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-5358242009357343066?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/5358242009357343066/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=5358242009357343066&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/5358242009357343066'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/5358242009357343066'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2010/04/kisa-cha-mwanamke-wa-ziwani-sehemu-ya_25.html' title='KISA CHA MWANAMKE WA ZIWANI-SEHEMU YA MWISHO'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S9Pax9_AdLI/AAAAAAAAAYA/NgGZgHdUHYg/s72-c/realcrimeLadyLake.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-7089672747297107270</id><published>2010-04-24T14:38:00.005+03:00</published><updated>2010-04-24T14:45:12.540+03:00</updated><title type='text'>KISA CHA MWANAMKE WA ZIWANI-SEHEMU YA PILI</title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S9LYyUDMopI/AAAAAAAAAXw/KQl_pNhX0vA/s1600/lake-murder415.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5463667656841011858" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; CURSOR: hand; HEIGHT: 212px; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S9LYyUDMopI/AAAAAAAAAXw/KQl_pNhX0vA/s320/lake-murder415.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt; &lt;strong&gt;&lt;span style="color:#990000;"&gt;Gordond Park na Carol&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S9LYf3mU5bI/AAAAAAAAAXo/hxW3VjhIKI8/s1600/Gordon-Park-001.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5463667339966080434" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; CURSOR: hand; HEIGHT: 192px; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://4.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S9LYf3mU5bI/AAAAAAAAAXo/hxW3VjhIKI8/s320/Gordon-Park-001.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;strong&gt;&lt;span style="color:#990000;"&gt;Gordons Park na Mkewe Jenny aliyefunga naye ndoa baada ya Carol kutoweka&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;ILIPOISHIA……………..&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati Polisi wakiendelea kumsubiri Gordon arejee kutoka Ufaransa alipokwenda kwa likizo, waliona ni vyema wawahoji watoto wao watatu ambao ni Jeremy aliyekuwa na miaka 27 lakini wakati mama yake anatoweka alikuwa na umri wa miaka 6, mwingine ni Rachel aliyekuwa na miaka 26 na Vanessa aliyekuwa na miaka 29 wakati mwili wa mama yao ulipopatikana.&lt;br /&gt;Katika mahojiano hayo, Polisi waligundua kwamba Vanessa hakuwa mototo wa Gordon wa kuzaa, bali alikuwa ni binti wa dada yake Carol aitwae Christina ambae aliuwawa na bwana ake mnamo mwaka 1969, ambapo Carol na Gordon waliamua kumuasili na kumfanya binti yao. Hata hivyo Polisi walikanusha kuwepo kwa mahusiano kati ya kesi hizo mbili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ENDELEA KUSOMA HAPA……..&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukweli ni kwamba Polisi hawakupata ushahidi wowote wa kumtia Gordon hatiani, kwani wale watoto wote watatu hawakuwa na kumbukumbu za matukio yote yaliyotokea kabla na baada ya mama yao kutoweka. Pia Polisi walitaka kutengeneza taarifa ya kumbukumbu (Profile) ya maisha ya Gordon Park na familia yake mpaka kufikia mwaka 1976.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kazi hiyo ilikuwa ngumu kwa sababu watu waliotaka kuwahoji walikuwa aidha wamehamia katika maeneo ya mbali au wamefariki Dunia. Hata hivyo Polisi walifanikiwa kumpata mama mmoja aitwae Mary Robins aliyekuwa na umri wa miaka 61 ambae alikuwa akifanaya kazi ya uyaya kwenye familia ya Gordon Park. Mama huyo alikiri kuwa anakumbuka vizuri sana siku Carol aliyotoweka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizidi kuwasimulia Polisi mama huyo alisema kwamba, hata yeye binafsi alijenga wasiwasi na namna carol alivyotoweka, na alihisi kwamba huenda kuna jambo ambalo si la kawaida limemtokea. Kwani pale mtaani kila mtu aliliona tukio la kutoweka kwa Carol kama kitu cha kushangaza, kwa mtu kuwatekeleza watoto wake ghafla kiasi kile na kutokomea kusikojulikana bila kuwasiliana na wanae kama alivyokuwa akifanya awali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mama Robinson aliendelea kuwaeleza Polisi kuwa, yeye alidhani labda ameamua kwenda kuanza maisha mapya huko nchi za ulaya kwa sababu hata hivyo alikuwa ni mwalimu mzuri hasa katika kufundisha lugha ya kiingereza. Mnamo August 24 1996, Gordon Park na mkewe Jenny walirejea nchini uingereza wakitokea nchini Ufaransa. Baada ya kufika nyumbani kwake katika eneo la Barrow-in-Furness ambapo alishusha mizigo kutoka kwenye gari, kisha akaondoka na kuelekea katika kituo cha Polisi kujisalimisha kwani pamoja na kwamba alikuwa nje ya Uingereza lakini alikuwa akiifuatilia ile habari ya kupatikana kwa mabaki ya mwili wa aliyekuwa mkewe kupitia vyombo vya habari na hasa Luninga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alipofika alishikiliwa kwa muda na kuhojiwa. Wanafamilia na marafiki pamoja na majirani zake walionyesha kusikitishwa kwao na kukamatwa kwa Gordon, akizungumzia tukio hilo mmoja wa marafiki zake aitwae Paul Shaw alisema kwamba alitokea kumfahamu Gordon kwa miaka mingi, kwani walisoma pamoja. Akizidi kumuelezea Paul kwa maneno yake mwenyewe alisema “Ni mtu anaejiheshimu, muungwana, anaeheshimu kila mtu, na katika kipindi alipokuwa mwalimu alikuwa akifanya kazi zake kwa uadilifu mkubwa na asiyependa kumkwaza mtu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na kuzungumziwa vizuri na marafiki na majirani zake lakini kulikuwa na wingu la mashaka lililotanda kwa upande wa familia ya Carol dhidi ya Gordon. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya misa ya kumuombea dada yake, kaka yake na Carol alisema “Bado nina mashaka dhidi yake lakini, mpaka hapo atakapokamatwa muuaji ndio atakuwa hana hatia”&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Baada ya masaa 36 tangu Gordon kukamatwa, msemaji wa Polisi, akizungumza na waandishi wa habari waliokuwa wakisubiri nje aliwaambia kwamba Gordon Park amefunguliwa mashitaka ya kuhusika na mauaji ya Carol.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa maneno yake mwenyewe msemaji huyo alisema “mnamo majira ya saa mbili na nusu usiku, kuna mtu amefunguliwa mashitaka ya kuhusika mauaji ya Carol Park, na kwa taarifa yenu mtu huyo atafikishwa katika mahakama ya Barrow siku inayofuata”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baadae msemaji huyo alibainisha kwamba mtu huyo alikuwa ni Gordon Park.&lt;br /&gt;Siku inayofuata Gordon alifikishwa mahakamani na kusomewa mashitaka ambapo alikanusha kuhusika na mauaji hayo. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;Kesi hiyo iliahirishwa mpaka wiki inayofuata ili kuruhusu upelelezi wa kesi hiyo ukamilike.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya kuahirishwa kwa kesi hiyo, wakili wa Gordon aitwae Michael Graham aliiomba mahakama impe dhamana mteja wake, lakini mwendesha mashitaka katika kesi hiyo aliyejulikana kwa jina la Elizabeth Grant, alikataa Gordon kupewa dhamana na alitoa sababu zifuatazo, kwanza alidai kwamba mshitakiwa anaweza kuingilia upelelezi wa kesi hiyo, pili alisema kwamba kuna uwezekano wa wa Gordon kushindwa kutimiza masharti ya dhamana na mwisho ni kutokana na usalama wake mwenyewe, Mama Grant alisema kwamba kuna uwezekano wa mtu yeyote ambae ameguswa na kifo cha Carol kujichukulia sheria mkononi na kumdhuru mshitakiwa, hivyo kutokana na kukataliwa Dhamana ilibidi aendelee kubakia Rumande.&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;Hata hivyo wiki mbili baadae Mwendesha mashtaka mama Grant alibatilisha uamuzi wake na kuruhusu Gordon kuachiwa kwa dhamana kwa masharti kwamba akakae kwa dada yake aishie katika mji wa Manchester, pia asalimishe Hati yake ya kusafiria na awe anaripoti Polisi kila siku na hakutakiwa kutoka nje ya mji wa Manchester.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kesi yake iliahirishwa mpaka Januari 1998, ambapo iliwapa Polisi fursa ya miezi minne kufanya uchunguzi. Mnamo Januari 7, 1998 ikiwa imebaki wiki moja ili kesi ya Gordon kusikilizwa, msemaji wa Polisi aliwaambia waandishi wa habari kwamba polisi wameamua kutoendelea na kesi ya Gordon, kwa sababu ya kukosekana kwa ushahidi madhubuti wa kumtia mshitakiwa hatiani. Taarifa hiyo ilipokelewa kwa furaha sana na Gordon,na kusema wazi kwamba hana hatia ya kuhusika na mauaji ya Carol.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akiongea na waandishi wa habari Gordon, kwa maneno yake mwenyewe alisema “Kwa jinsi Carol alivyonitendea katika ndoa yetu, watu wanadhani nilihusika na mauji yake, lakini ukweli ni kwamba sikuhusika na mauaji hayo, najua watu wanatilia mashaka kutokutiwa kwangu hatiani labda mpaka hapo mhusika wa mauaji hayo atapofikishwa mahakamani na kutiwa hatiani ndio watu wataamini kwamba sikuhusika na mauaji hayo”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo Mnamo Januari 2002, Polisi walianza upelelezi wa siri kwa kuunda timu ya watu sita wakiongozwa na Detective Chief Inspector Keith Churchman. Timu hiyo ilitangaza zawadi ya paundi 5000 kwa mtu yeyote atakaye jitokeza na kutoa taarifa zitakazowezesha kupatikana kwa kuuaji na pia kituo kimoja cha Luninga nchini humo cha Channel 4 kuonesha kipindi maalumu (Documentary) kuhusina na kesi hiyo iliyopewa jina marufu la Lady in the Lake wakiifananisha na jina la kitabu cha riwaya kilichotungwa na mwandishi maarufu wa vitabu vya riwaya Raymond Chandler, ambapo kilikuwa na jina kama hilo.&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;/span&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Hatua hiyo ilizaa matunda baada ya watu wawili ambao waliwahi kufungwa katika jela ambayo Gordons Park aliwekwa rumande watu hao walitoa taarifa Polisi kuwa Park aliwahi kukiri kumuua mkewe kwa kumpiga na kitu kizito kichwani, watu hao waliokuja kujulikana kwa majina ya Michael Wainwright na mwenzie Glen Banks walimnukuu Park akiwaambia, “anastahili kufa, kwani nilimkuta chumbani akiwa na mwanaume mwingine” Ushahidi huo maarufu kama Jailhouse Snitch ndio uliopewa uzito zaidi na Polisi katika kumtia Gordons hatiani.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Walidai kuwa katika kipindi cha siku 14 alizokuwa amewekwa rumande akisubiri kusomewa masitaka ndipo alipokiri kuhusika na mauaji ya mkewe Carol Park.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya timu hiyo kukusanya ushahidi mnamo Novemba 2004, Gordons Park alifikishwa mahakamani kwa mara ya pili na kufunguliwa mashitaka ya kuhusika na mauaji ya mkewe Carol Park.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Wakati wa kuendeshwa kwa kesi hiyo iliyokuwa ikisikilizwa na Mheshimiwa Jaji McCombe katika mahakama ya Manchester Crown, ilielezwa kwamba Park alimpiga mkewe Carol kichwani na kitu kizito wakiwa chumbani hapo mnamo julai 1976.&lt;br /&gt;Baadae aliuhifadhi mwili huo kwenye Jokofu kabla ya kwenda kuutelekeza katika ziwa la Caniston wiki moja baadae.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mahakama ilielezwa kwamba wanandoa hao hawakuwa na mahusiano mazuri katika maisha yao ya ndoa na kuwa walikuwa wakijihusisha na shajara za kubadilishana wanawake, maarufu kama ‘'wife-swapping' parties’ ambapo katika tukio moja la shajara ya chakula cha usiku Carol Park aliondoka na kwenda kulala na rafiki wa mumewe aitwae Colin Foster, huku Gordond Park akiondoka na mke wa Colin Foster kwenda kulala naye katika chumba kingine.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;ITAENDELEA………….&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-7089672747297107270?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/7089672747297107270/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=7089672747297107270&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/7089672747297107270'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/7089672747297107270'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2010/04/kisa-cha-mwanamke-wa-ziwani-sehemu-ya.html' title='KISA CHA MWANAMKE WA ZIWANI-SEHEMU YA PILI'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S9LYyUDMopI/AAAAAAAAAXw/KQl_pNhX0vA/s72-c/lake-murder415.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-5468561602062663958</id><published>2010-04-23T09:46:00.007+03:00</published><updated>2010-04-23T09:58:52.944+03:00</updated><title type='text'>KISA CHA MWANAMKE WA ZIWANI</title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S9FC6XF36TI/AAAAAAAAAXY/aL5uO00gY50/s1600/news-graphics-2005-_588405a.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5463221393375619378" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 160px; CURSOR: hand; HEIGHT: 186px; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://4.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S9FC6XF36TI/AAAAAAAAAXY/aL5uO00gY50/s320/news-graphics-2005-_588405a.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;strong&gt;&lt;span style="color:#990000;"&gt; Carol Park&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S9FCsqR2IwI/AAAAAAAAAXQ/707ac5i8iBg/s1600/Gordon-Park_1565475c.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5463221158007939842" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; CURSOR: hand; HEIGHT: 200px; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://4.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S9FCsqR2IwI/AAAAAAAAAXQ/707ac5i8iBg/s320/Gordon-Park_1565475c.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;strong&gt;&lt;span style="color:#990000;"&gt;Gordons Park&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Mnamo August 12, 1997 majira ya Mchana Katika wilaya ya Lake nchini uingereza kundi la wazamiaji kutoka mji mdogo wa Kendal waliamua kwenda kufanya mazoezi katika mto ulioko jirani wa Caniston.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mmoja wa wazamiaji wale alifanikiwa kwenda kina kirefu zaidi ya mita 21 na ndipo alipohisi harufu kali ya kitu kinachonuka, alipozidi kusogelea eneo lile aligundua ni mabaki ya mwili wa mwanadamu uliofungwa kwenye mfuko wa plastiki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mzamiaji yule pamoja na wenzie ilibidi wasitishe mazoezi yao na kuwafahamisha Polisi.&lt;br /&gt;Baadae mchana huo huo kikosi cha Polisi wazamiaji walifika kwenye eneo la tukio na kufanikiwa kuyatoa mabaki ya mwili ule.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Walipofungua ule mfuko wa plastiki walikuta mabaki ya mwili wa mwanamke ambae alikuwa akionekana dhahiri kwamba alikuwa na umri wa chini ya miaka 30 na ilionekana dhahiri kwamba alikaa ndani ya maji kwa miaka mingi sana kwani hata mavazi aliyokuwa ameyovaa yalionyesha hivyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alikuwa amevaa vazi la usiku la miaka ya 70 na alionekana kwamba alikuwa amepigwa na kitu kizito kichwani na kisha kutupwa mtoni. Ndani ya mfuko wa plastiki uliokuwa umehifadhi ule mwili kulikutwa pia vipande vizito vya vyuma ambavyo viliwekwa kwa makusudi na muuaji ili ule mwili uzame moja kwa moja bila kuibuka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kuanzia askari wa upepelezi walianza kuchunguza kesi zaidi ya 50 za watu walioripotiwa kutoweka katika mazingira ya kutatanisha kwenye miaka ya 70. Ukweli ni kwamba hata vazi alilokutwa nalo Carol lilirahisisha sana kutambuliwa kwake kwani haikuwachukuwa muda mrefu Polisi kutangaza kuhusu kutambuliwa kwa mwili ule ambao ulikwisha harbika vibaya kutokana na kukaa katika maji kwa takribani miaka 21.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mnamo August 21, 1997 ikiwa ni siku 9 baada ya kugundulika kwa ule mwili, Polisi wa upelelezi walitangaza rasmi kwamba ule mwili ulikuwa ni wa Carol Park mama wa watoto watatu na mwalimu wa shule ya msingi aliyekuwa na miaka 30 wakati huo alipotoweka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Taarifa za Kipolisi zilionyesha kwamba Carol alitoweka nyumbani kwake mnamo July, 1976.&lt;br /&gt;Inasemekana kwamba mnamo tarehe hiyo Familia yao ilikubalina wafanye safari ya kwenda katika mji wa Blackpool ili kupunga upepo kwenye Hoteli za ufukweni lakini Carol alisitisha uamuzi wa kwenda huko kwa madai kwamba anajisikia vibaya, hivyo mumewe Gordon Park ambae pia ni mwalimu pamoja na watoto wao wakaamua kwenda bila ya mama yao.&lt;br /&gt;Lakini waliporudi usiku hakumkuta mkewe, na ilimchukuwa wiki 6 kuripoti kutoweka kwa mkewe polisi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alipoulizwa sababu ya kuchelewa kutoa taarifa wakati huo aliwaambia Polisi kwamba katika miaka ya karibuni mkewe alikuwa na akitoka nje ya ndoa na wanaume tofauti tofauti tabia ya kutoweka pale nyumbani na kurejea na akiwa salama. Utokana na tabia hiyo mume huyo alidai kuwa hata maisha yao ya ndoa yalishaanza kuyumba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Polisi walikuja kugundua baadae kupitia kwa majirani kwamba Maisha ya ndoa kati ya Gordon na mkewe Carol yalikuwa si mazuri na yaliyojaa misukosuko mingi. Majirani waliwaeleza Polisi kwamba Carol aliwahi kuwaambia kuwa alikuwa na wanaume wawili waliokuwa wakiishi katika maeneo tofauti na alikuwa akienda kuishi nao katika vipindi tofauti. Taarifa zaidi zilibainisha kwamba kuna wakati aliwahi kutoweka nyumbani kwa miezi 18.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia majirani hao walijenga hisia kwamba huenda Carol alikwepa safari ya kwenda Blackpool akichukulia kama ni nafasi muhimu kwake atakayoitumia ili kutoroka pale nyumbani kwake na kwenda kuanza maisha mapya mahali pengine na mwanaume mwingine. Hata hivyo kaka yake Carol aitwae Ivor Price alidai kwamba ni jambo lisiloingia akilini kuamini kwamba dada yake anaweza kuwatelekeza watoto wake watatu na kwenda kusikojulikana bila mawasiliano nao kwa kipindi chote alichopotea kwani hata kipindi cha nyuma alichowahi kutoweka alikuwa akiwasiliana nao. Pamoja na maelezo yake, Polisi hawakuonekana kuyatilia maanani kwani waliona kwamba hakuna haja sana ya kushughulika na kesi ya mtu ambae alikuwa na tabia ya kutoweka nyumbani kwake mara kwa mara.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo Polisi hawakuipuuza sana ile kesi, kwani waliona ni busara kuichunguza ile kesi kwa makini zaidi, hasa ikizingatiwa kwamba tukio lenyewe lilitokea zaidi ya miongo miwili iliyopita.&lt;br /&gt;Ili kuthibitisha hayo mwendesha mashtaka wa serikali(Detective Superintendent) aliyejulikana kwa jina la Ian Douglas ambae aliipa kesi hii jina la “mwanamke wa ziwani”(Lady of the Lake) aliwaambia waandishi wa habari kwamba Polisi wanaishughulikia kesi ya Carol kama ya mauaji ya kukusudia, kutokana na mazingira ya jinsi mwili ulivyopatikana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia Msemaji huyo alitanabahisha kwamba Polisi watawahoji ndugu na watu wa karibu wa Carol akiwemo Aliyekuwa mumewe Gordon Park ambae alikuwa ameshastaafu kazi yake ya ualimu, na kwa wakati ule ambao mwili wa Carol umepatikana alikuwa ameenda Likizo nchini Ufaransa akiwa na mke wake wa tatu aitwai Jenny.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alipoulizwa na waandishi wa habari kama kuna uwezekano wa Gordon Park kuchukuliwa kama nimtuhumiwa wa mauaji hayo. Msemaji huyo alisema kwamba haingekuwa vyema kwa Polisi kumtuhumu moja kwa moja Gordon, na hawezi kuwaomba Polisi wa nchini Ufaransa wamkamate kwa sababu kuna mambo mengi ya kuangaliwa kabla ya kumtia mbaroni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa maneno yake mwenyewe Douglas alisema “Bado tuna jukumu la kuwatafuta na kuwahoji watu waliokuwa wakiishi jirani na familia ya Gordon Park wakati Carol alipotoweka, na pia ndugu wa karibu wa familia husika pamoja na marafiki, ni jambo ambalo linahitaji muda na umakini wa hali ya juu hasa ikizingatiwa kwamba ni siku nyingi tangu tukio hili lilipotokea, na ikumbukwe kwamba tunazungumzia tukio lililotokea miaka 21 iliyopita, ni vigumu watu kuwa na kumbukumbu za tukio zima”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alipoulizwa kama Polisi watakwenda kuchunguza nyumba ambayo familia ya Gordon Park ilikuwa ikiishi. Msemaji huyo alisema kwamba hilo linawezekana kwa sababu teknolojia imekuwa kubwa katika miaka ya karibuni na kuna uwezekano wa mtuhumiwa kukamatwa.&lt;br /&gt;Siku mbili baada ya Msemaji wa Polisi Ian Douglas kutoa taarifa kwa waandishi wa habari juu muenendo wa upelelezi wa kesi ya Carol Park.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Msemaji huyo pamoja na timu ya wataalamu wa kuchunguza mazingira ya eneo la tukio walikwenda kuchunguza nyumba anayoishi Gordon Park iliyoko katika eneo la Borrow-in-Furness. Pia Timu hiyo ilikwenda kuchunguza Boti ya uvuvi(Yatch) ya Gordon ambayo ilikuwa imeegeshwa kando ya ziwa Caniston. Timu hiyo iliondoka na vitu kadhaa kwa ajili ya kuvifanyia uchunguzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na kuondoka na ushahidi huo lakini Douglas alionyesha wasiwasi na muonendo mzima wa maisha ya Gordon. Kwani Polisi walijenga wasiwasi kutokana na kitendo cha Gordon kuuza Boti yake ya uvuvi ya awali ambayo aliipa jina la “Lady J” muda mfupi tu baada ya Carol kutoweka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati Polisi wakiendelea kumsubiri Gordon arejee kutoka Ufaransa alipokwenda kwa likizo, waliona ni vyema wawahoji watoto wao watatu ambao ni Jeremy aliyekuwa na miaka 27 lakini wakati mama yake anatoweka alikuwa na umri wa miaka 6, mwingine ni Rachel aliyekuwa na miaka 26 na Vanessa aliyekuwa na miaka 29 wakati mwili wa mama yao ulipopatikana.&lt;br /&gt;Katika mahojiano hayo, Polisi waligundua kwamba Vanessa hakuwa mtoto wa Gordon wa kuzaa, bali alikuwa ni binti wa dada yake Carol aitwae Christina ambae aliuwawa na bwana ake&lt;br /&gt;mnamo mwaka 1969, ambapo Carol na Gordon waliamua kumuasili na kumfanya binti yao.&lt;br /&gt;Hata hivyo Polisi walikanusha kuwepo kwa mahusiano kati ya kesi hizo mbili. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="left"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;ITAENDELEA............&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-5468561602062663958?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/5468561602062663958/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=5468561602062663958&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/5468561602062663958'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/5468561602062663958'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2010/04/kisa-cha-mwanamke-wa-ziwani.html' title='KISA CHA MWANAMKE WA ZIWANI'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S9FC6XF36TI/AAAAAAAAAXY/aL5uO00gY50/s72-c/news-graphics-2005-_588405a.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-330520564324160454</id><published>2010-04-17T17:47:00.003+03:00</published><updated>2010-04-17T17:55:21.685+03:00</updated><title type='text'>THAMANI YAKO UNAYO, HAIWEZI KUCHUKULIWA NA YEYOTE!</title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S8nLAVLIHRI/AAAAAAAAAXI/dpGL5ewKc98/s1600/obama.bmp"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5461119229707689234" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 319px; CURSOR: hand; HEIGHT: 320px; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S8nLAVLIHRI/AAAAAAAAAXI/dpGL5ewKc98/s320/obama.bmp" border="0" /&gt;&lt;/a&gt; &lt;strong&gt;&lt;span style="color:#660000;"&gt;Rais Obama wa Marekani anajua siri ya kujiamini na ndio sababu akafika hapo&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Mhubiri mmoja maarufu nchini kwenye moja ya semina zake alifungua semina kwa kuishikilia noti ya shilingi 10,000 mkononi. Kulikuwa na watu zaidi ya 500 kwenye ukumbi alimokuwa akifanyia mahubiri yake. Aliinua noti hiyo na kuuliza ‘ni nani anayeitaka noti hii?’&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mikono karibu yote ukumbini ilinyooshwa. Mhubiri aliendelea kusema, ‘nitampa mmoja wenu noti hii, lakini kwanza ngoja nifanye hivi.’ Alipomaliza kusema hivyo aliikunjakunja noti ile. Baada ya kuikunjakunja aliuliza tena, ‘ni nani anayeitaka bado noti hii?’ vidole karibu vyote vilinyooshwa tena.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;‘Sawa,’ alisema, kabla hajaendelea, ‘Je kama nikifanya hivi?’ Alipomaliza kuuliza hivyo aliiweka noti ile chini na kuisigina kwa mguu bila kuichana, halafu aliiokota ikiwa imechafuka na kuikunjakunja. Aliuliza tena, ‘sasa ni nani ambaye bado anaitaka noti hii?’ vidole vilinyooshwa tena juu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;‘Rafiki zangu, wote leo mmejifunza somo la maana sana. Bila kujali nilichokifanya kwenye noti hii, lakini bado mmeendelea kuitaka, kwa sababu kuikunja kwangu na hata kuikanyaga, hakukuondoa thamani yake. Bado imeendelea kubaki noti ya shilingi 10,000.’&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bila shaka hata wewe utakubaliana na kauli hii ya mhubiri huyu, kwamba noti ile iliendelea kubaki noti ya shilingi 10,000 na kwamba thamani yake iliendelea kubakia pamoja na kukunjwa na kukanyagwa kwake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mara nyingi kwenye maisha yetu huwa inatokea tukaangushwa na kukunjwakunjwa na penngine kugalagazwa kwenye vumbi la fedheha na dhalilisho kwa uamuzi ambao huwa tunauchukua na mazingira ambayo huja au kutujia kwenye njia zetu kimaisha. Katika nyakati kama hizi hutokea tukajihisi kuwa hatuna thamani. Lakini tusichokijua ni kwamba, hata kama kingetutokea kitu gani, hatuwezi kamwe kupoteza thamani zetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tuwe wachafu au wasafi, tuwe tumekunjwakunjwa na kutupwa kwenye vumbi la dharau na kejeli au tuwe tumetakaswa kwa kila aina ya usafi, bado thamani yetu haiwezi kununulika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa nini?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni kwa sababu thamani yetu haiji kupitia au kutokana na kile tunachokifanya au kutokana na akina nani tunaowajua au wanaotujua, bali jinsi tulivyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Thamani yetu iko ndani mwetu, kama ambavyo thamani ya noti iko kwenye noti yenyewe bila kujali kama imekunjika au ni safi. Tukiamua kwamba thamani yetu iko nje yetu, ni wazi tukikejeliwa au kuvurugwa kwenye dhalilisho na dharau, tutajikuta tukijidharau na kudharauliwa kikweli na hata wale waliokuwa wakituheshimu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lazima tujue kwamba, sisi ni watu maalum. Kati ya watu bilioni sita na nusu tuliopo duniani hakuna mwingine kama sisi, nasi kila mmoja kama yeye ndiye anayekamilisha idadi hiyo. Kama tumeshazaliwa ni lazima tujue kwamba hakuna mwingine tena atakayezaliwa kama sisi na hajawahi kuwepo mwingine anayelingana nasi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tukitukanwa, tukasingiziwa, tukaharibiwa jina, tukaaibishwa na kufanyiwa ubaya, bado thamani yetu itaendelea kuwepo. Kama tutalijua hilo, basi hakuna dhalilisho au kashfa ambayo itaweza kutufanya tuone kwamba tumevunjiwa heshima au kudhalilishwa. Hii ni kwa kuwa thamani yetu haiwezi kuguswa na mtu kwani iko ndani mwetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni sisi tu tunaoweza kamua kuitoa au kubaki bila thamani na sio mtu mwingine wala mazingira yoyote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa nini basi tuamue hivyo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna wakati huwa tunajiingiza mahali ambapo tunajiumiza bure kwa kudhani kwamba thamani yetu wanayo watu wengine. Watu hao wanapotuita wajinga au wanapotuita masikini au wanyonge, huwa nasi kwa kutojua tunakubaliana nao kwamba sisi kweli tuko hivyo na hao wanaotuita hivyo ndio ambao ni wajanja, matajiri na wenye nguvu. Hatujui kwamba kwa kufanya hivyo tumejiondolea wenyewe thamani yetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini pale ambapo watu hao wanapotushusha na kutubeza, sisi tutawachukulia kama mkono wa mhubiri au mguu wake ambao unatukunjakunja na kutukanyaga bila kumudu kuondoa thamni yetu, hatutajisikia vibaya kwani hatutakubaliana nao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wengine wanasemaje kuhusu maisha yetu na wanatutendea kitu gani, sio kinachotuumiza, bali kinachotuumiza ni namna tunavyoamini. Kama tunaamini kwamba thamni yetu inapimwa nao, kuwekwa au kuondolewa nao, ni lazima watatupangia tuishi vipi. Hapo tutakuwa hatuna thamani tena kama binadamu kamili au halisi.&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-330520564324160454?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/330520564324160454/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=330520564324160454&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/330520564324160454'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/330520564324160454'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2010/04/rais-obama-wa-marekani-anajua-siri-ya.html' title='THAMANI YAKO UNAYO, HAIWEZI KUCHUKULIWA NA YEYOTE!'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S8nLAVLIHRI/AAAAAAAAAXI/dpGL5ewKc98/s72-c/obama.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-8083800220390563504</id><published>2010-04-11T12:34:00.005+03:00</published><updated>2010-04-11T12:43:56.128+03:00</updated><title type='text'>MGUU ULIOPOTEA KWA AJALI YA NGUVU HASI-SEHEMU YA MWISHO</title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S8GYvNOZbLI/AAAAAAAAAXA/2FCFS8Xz_rw/s1600/disabled-beach460_1527084c.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5458812160121072818" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; CURSOR: hand; HEIGHT: 200px; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S8GYvNOZbLI/AAAAAAAAAXA/2FCFS8Xz_rw/s320/disabled-beach460_1527084c.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;strong&gt;&lt;span style="color:#660000;"&gt;Kila kitu kilikuwa peupe&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;ILIPOISHIA.........&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt; &lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Upande alikuwa amekaa Waridi ukifikia kwenye shina la mwembe. Sikusikia tena kitu, wala kujua kilichotokea. Ni siku ya pili jioni niliposhtuka nikiwa Muhimbili. Nilimwona mke wangu akiwa kando ya kitanda changu pamoja na watumishi wa makao makuu ya idara niliyokuwa nafanyia.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;ENDELEA KUSOMA HAPA..........&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilihisi kama wepesi fulani huko chini. Nilipokaguia, niligundua kwamba, sikuwa na mguu wa kushoto.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ilinichukua muda kabla sijakumbuka kilichotokea. Polepole nilikumbuka kutoka Iringa, Morogoro bado Mlandizi. Sikukumbuka tena kitu. Ilinichukua muda kukumbuka ajali na kumkumbuka Waridi. Nisingeweza kumuuliza mke wangu au yeyote pale kuhusu Waridi, Lakini nilikuwa na uhakika kwamba , alikuwa amekufa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilianza kububujikwa na machozi. “Nilijaribu kusema , lakini sikuweza, ni midomo tu iliyokuwa ikicheza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Amekufa, amekufa, uso wangu sasa naupeleka wapi, nauweka wapi jamani...” Mke wangu alisema na kuangua kilio. Nilimwelewa. Wale watumishi wenzangu walimtuliza.`tuangalie na kujali hali ya mgonjwa kwanza,` walimwambia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni kweli, Waridi alikufa palepale kwenye tukio la ajali na mimi ni bahati tu kupona na kukatwa mguu mmoja badala ya miguu miwili na mikono. Nilikuwa na uhakika kwamba, makovu ya mwilini baada ya kupono yangekuwa yanatisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kila kitu kilifahamika baada ya siku ya tatu tu. Mume wa marehemu Waridi alirejea safarini na kusimuliwa kila kitu. Aliahidi mbele za watu kwamba, angenimaliza na mimi, iwe kwa mvua au jua. Nilipopata taarifa hizo nilicheka kwa sababu, niliona akifanya hivyo angekuwa amenitua mzigo mzito. Labda aliambiwa baadaye nilivyokuwa nasema, ndiyo maana hakunifanya lolote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilitoka hospitalini nikiwa na mguu mmoja baada ya miezi mitatu.Nilikuwa na nafuu kidogo. Mke wangu alishaanza uhusiano na yule mfanyabiashara na hakunificha. Ilibidi nifikie mahali niombe talaka. Talaka ilitolewa na kuwaacha waendelee. Hatimaye, mwaka 1985 walioana, ingawa ndoa yao ilivunjika mwaka 1990 kwa makeke na vurugu kubwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mimi nimepunguzwa kazi mwaka juzi na hivi sasa nina shughuli zangu. Nilikuja kuoa mwaka 1987, mke ambaye tunaelewana sana na amekuwa ndiye kiongozi wangu kwa mambo mengi. Tuna watoto wanne Kuna watu wanapenda kuniita Zubeir Kaguu kwa siri. Nawaomba waniite kabisa kwa nguvu, kwa sababu ninastahili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;**********************************************&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Tunajifunza kutoka kwa wengine, kama tumeemua kujifunza. Ka wale ambao wameamua kujifunza kupitia habari hii, ni wazi watakuwa wamejifunza kitu kikubwa na cha maana sana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wataalamu wa uhusiano wanadai kwamba, mtu anapotoka nje ni lazima atafumaniwa. Kama hatafumaniwa mwaka wa tatu tangu uhusiano wake na huyo mpenzi wake kuanza, basi ni lazima atafumaniwa kabla ya mwaka wa sita wa uhusiano huo haramu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kinachofanya mtu afumaniwe ni ule ukweli kwamba, baada ya kuzoea, mtu hujisahau na kuweka ngao yake ya kujikingia chini. Badala ya kwenda mbali kufanya mapenzi, watu watafanyia karibu, badala ya kuwaficha watu, ataambiwa mmoja ambaye anaitwa rafiki yangu wa kufa na kuzikana na hisia za umiliki badala ya wizi hujijenga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kufumwa kunaweza kusababishwa na chochote kati ya hayo au mangine. Kwa mfano, ajali ambayo imewatoa hadharani marehemu Waridi na Zubeir, inatokana na kuzoeana ambako kumeondoa hofu ya wizi wa `mali ya mtu`na kuwafanya wote, kila mmoja kuamini kwamba, huyo mwenzake ni mali yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Unaweza ukaamini kwamba , wewe ni mjanja na una maarifa mengi sana katika kukanusha, katika kuteleza, usifumaniwe. Lakini kwa sababu ni nguvu mbovu unazozippanda ni lazima utazilipia, kwani zitakurudia tu, utake usitake-&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Unapotoka nje, jiandae kunaswa siku isyo na jina. Kama utaacha kabla hujanaswa, siyo kwa sababu ni mjanja, bali ni kwa sababu, hiyo nguvu uliyopanda ilikuwa haijakamilishwa mzunguko wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Unapoonywa na mpenzi wako, unapooneshwa wasiwasi kwamba, unatoka nje, kama ni kweli, inabidi uache. Kama utaendelea, jua tu kwamba, utapata shida utaumia baadaye.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;**************MWISHO******************&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-8083800220390563504?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/8083800220390563504/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=8083800220390563504&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/8083800220390563504'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/8083800220390563504'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2010/04/kila-kitu-kilikuwa-peupe-ilipoishia.html' title='MGUU ULIOPOTEA KWA AJALI YA NGUVU HASI-SEHEMU YA MWISHO'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S8GYvNOZbLI/AAAAAAAAAXA/2FCFS8Xz_rw/s72-c/disabled-beach460_1527084c.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-881057882411795325</id><published>2010-04-09T12:11:00.005+03:00</published><updated>2010-04-09T12:23:10.744+03:00</updated><title type='text'>MGUU ULIOPOTEA KWA AJALI YA NGUVU HASI</title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S77wZvRfiYI/AAAAAAAAAW4/E6GAaBDDeB4/s1600/disabled-beach460_1527084c.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5458064123396852098" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; CURSOR: hand; HEIGHT: 200px; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S77wZvRfiYI/AAAAAAAAAW4/E6GAaBDDeB4/s320/disabled-beach460_1527084c.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;strong&gt;&lt;span style="color:#660000;"&gt;Kila kitu kilikuwa peupe&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Nina mguu mmoja, mwingine niliopoteza katika ajali. Nimeamu kuandika habari hii ili kuwasaidia wenzangu ambao wanatenda yale yaliyonifisha hapa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilikuwa mtumishi wa idara ya serikali mkoani Iringa kuanzia mwaka 1977 hadi 1983 nilipopata ajali ambapo ilibadili kabisa maisha yangu, kutoka yenye matarajio hadi maisha yaliyosheheni giza totoro.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nikiwa hapo Iringa, familia yangu ilizoeana na familia nyingine ya bwana mmoja ambaye alikuwa na maduka ya vyakula. Mke wa bwana huyo alikuwa ni mwalimu wa shule ya msingi. Mke wangu alikuwa ni mwalimu shule ambapo mwanamke huyu alikuwa akifundisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika urafiki huo wa kifamilia, mimi niliingiliwa na ibilisi wa kumtamani yule mke wa mfanyabiashara, ambaye naweza kusema, alikuwa ni rafiki yangu, kwani kuzoeana kwetu kulikuwa kumepevuka kidogo . Mwanamke huyu naye kumbe alikuwa amevutiwa nami. Wakati huo nilikuwa bado kijana, ninayependeza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tulianza uhusiano mwaka 1979, miaka miwili baada ya mimi kufika Iringa na kujuana na familia hii. Wakati huo ndoa yangu ilikuwa na miaka sita tu, maana nilikuwa nimeoa mwaka 1973. Tulianza kukutana kwa siri na mwanamke huyu, ambaye alikuwa mdogo ukilinganisha na mumewe, kwani mumewe alikuwa ni mtu mzima kidogo, akiwa kwenye umri wa mwanzoni mwa miaka 50. Yeye alikuwa na umri wa miaka kama 25.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uhusianao wetu na mke wa jamaa yangu ambaye hapa nitamwita Mfanyabiashara ulianza kwa kazi kubwa sana. Tulikuwa tumehemkwa kwa nguvu kubwa kiasi kwamba nilianza kuhofia. Nilijitahidi sana kuweka mipaka ili tusifikie mahali tukajisahau.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwaka 1981 habari zilianza kuvuja kuhusu uhusiano wetu. Mke wangu ambaye alikuwa anafundisha na huyu hawara yangu shule moja, huku wakiitana marafiki, aliniambia kwamba, kuna jambo linanongónwa kwamba, nina uhusiano na huyu rafiki yake, mke wa mfanyabiashara, ambaye hapa mke huyo, nitamwita Waridi, ikiwa ni tafsiri ya kiswahili ya jina lake halisi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Niliposikia habari hiyo kutoka kwa mke wangu nilishtuka sana. Lakini nilimudu kujifaragua nakujitetea kiasi kwamba, ingekuwa ni mtu mwenye moyo mgumu sana ambaye asingeweza kulainika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Watu hawapendi wakiona familia mbili kama zetu. Mimi bado kijana mdogo, nina kazi nzuri, na fedha na wewe una kazi, hawa wenzetu wana biashara nyingi hapa mjini, ni lazima utasikia mengi. Shemeji Waridi hawezi hata kufikiria kuhusu upuuzi huo na mimi wala sijawahi hata kuota, siyo kwa Waridi, bali kwa mwanamke yeyote.” Nilimaliza kujitetea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilimwonya sana Waridi baada ya kukutana. Aliniambia naye mume wake alikuwa amemuuliza kuhusu madai anayopata ya uhusiano wetu. Niliogopa sana. Lakini alisema, alikuwa amemudu kumtuliza kabisa na wala hilo halikuwa suala tena. Nilipata moyo na mapenzi yetu yakapamba moto zaidi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwaka 1982, mke wangu alinisakama tena, safari hii akidai kwamba, ana vyanzo vya kuaminika kuhusu uhusiano wetu na Waridi. Nilimwambnia kwamba, sina haja ya kubishana naye, ila niko tayari kushika kitabu cha dini tuape kwa laana zote. Nilipomwambia hivyo alinywea. Nilimwambia hivyo kwa makusudi, nikijua kwamba, alikuwa ni mtu dini sana. Aliogopa akiamini kwamba, kusema kwangu vile, kulikuwa na maana ya uhakika kwamba sikuwa nashiriki jambo hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema, hao watu wanaomwambia, wana sababu gani ya kudanganya. “Nimekwambia watu wana hila mke wangu. Dini inasema, kufumania ni kuona kwa macho na siyo mtu mmoja, bali wanne. Unadhani inasema hivyo bure tu, hapana , ni kwa sababu ya mambo kama hayo.” Nilizidi kumfanya aniamini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ilibidi sasa tubadili mikakati yetu na Waridi. Nilikuwa nachukua gari la kazini na tukawa tunaondoka wote hadi nje kabisa ya mji wa Iringa. Wakati mwingine tulikuwa tunaingiza gari porini na kufanyia mambo yetu garini na hii ilitupa raha zaidi. Tuliamua kufanya hivyo baada ya kubaini kwamba, kuingia gesti za pale mjini ilikuwa ni kujichongea bure-&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ilisaidia kwani mwaka 1982 uliisha bila kero na 1983 ukafika hadi Juni, bila kusikia lolote. Lakini kama inavyosemwa, mkizini mtafumwa tu, hata iweje, ilitokea kwa aibu na fadhaa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hiyo Juni, 1983 mume wa Waridi alipata safari ya kwenda Malawi kibiashara. Wiki hiyo mimi nilikuwa na safari ya kwenda Dar es Salaam. Tulikubaliana kwamba, tuondoke wote wakati mimi naenda Da es Salaam, tuje hadi Morogoro, tulale pale hadi kesho yake, mimi niendelee na safari naye arudi Iringa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa bahati nzuri shule zilikuwa zimefungwa. Waridi alisema angemwambia mumewe akirudi kwamba, alikuwa ameenda Morogoro kumwona dada yake ambaye alikuwa ameumwa ghafla. Niliona ni wazo zuri. Ni kweli tuliondoka wote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tulifika Morogoro na kupiga kambi. Waridi alikwenda kwa dada yake na kumwambia kwamba, amesikia kwamba anaumwa, hivyo amekuja kumwona. Ni kweli, alikuwa anaumwa kidogo wiki hiyo, lakini alikuwa na nafuu. Baada ya kuzungumza naye kwa muda wa saa mbili alimwaga kwamba anarudi Iringa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alimsindikiza hadi stendi, ambapo mimi nilijitokeza na gari na kujifanya tunajuana na Waridi na kujifanya kwamba, natoka Dar es Salaam na ninaenda Iringa. Waridi alijifanya ananiomba lifti ambapo nilimkubalia. Dada yake alisema, “una bahati kweli, haki ya Mungu.” Wenyewe tuliona tunafanya ujanja mkubwa sana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tuliondoka hadi mzunguko wa Msamvu na kurudi mjini. Tulilalala Morogoro na asubuhi yake Waridi aligoma kurudi Iringa, akisema ni lazima afike na kulala Dar. Niliogopa kidogo, lakini nami wakati huo ilibilisi alikuwa amenikalia kichwani vibaya sana. Nilimkubalia. Tuliondoka Morogoro saa 1.45 asubuhi kuelekea Dar.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ilikuwa ni kama kilomita mbili tu kutoka Mlandizi, ndipo ilipotokea. Nilikuwa nimeshuka kilima kutokea mji wa Mlandizi na kupanda, halafu nikakanyaga mafuta hadi gari likawa linaenda kilomita 100 kwa saa. Nilisikia mlio mkubwa sana na gari iliyumba na nikanyangánywa usukani. Halafu niliona tukipaishwa na kutupwa kando ya njia kwenye mti wa mwembe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Upande alikuwa amekaa Waridi ukifikia kwenye shina la mwembe. Sikusikia tena kitu, wala kujua kilichotokea. Ni siku ya pili jioni niliposhtuka nikiwa Muhimbili. Nilimwona mke wangu akiwa kando ya kitanda changu pamoja na watumishi wa makao makuu ya idara niliyokuwa nafanyia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilihisi kama wepesi fulani huko chini. Nilipojikagua, niligundua kwamba, sikuwa na mguu wa kushoto.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;ITAENDELEA......................&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;*Kisa hiki cha kweli kiliandikwa katika Gazeti la Jitambue&lt;/span&gt; &lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-881057882411795325?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/881057882411795325/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=881057882411795325&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/881057882411795325'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/881057882411795325'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2010/04/mguu-uliopotea-kwa-ajali-ya-nguvu-hasi.html' title='MGUU ULIOPOTEA KWA AJALI YA NGUVU HASI'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S77wZvRfiYI/AAAAAAAAAW4/E6GAaBDDeB4/s72-c/disabled-beach460_1527084c.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-1234907936475089100</id><published>2010-04-04T08:16:00.005+03:00</published><updated>2010-04-04T08:26:19.294+03:00</updated><title type='text'>MALAIKA WA KIFO! SEHEMU YA MWISHO</title><content type='html'>&lt;div align="justify"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S7ghNvV4ogI/AAAAAAAAAWw/afOpntAn2fs/s1600/1281299-L.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5456147468489630210" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 195px; CURSOR: hand; HEIGHT: 320px; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S7ghNvV4ogI/AAAAAAAAAWw/afOpntAn2fs/s320/1281299-L.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;ILIPOISHIA.......&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Akiongea na waandishi wa habari mara baada ya Orville kusomewa mashitaka, wakili huyo aliwaambia waandishi wa habari kwamba mteja wake amestushwa sana na mashtaka yale.&lt;br /&gt;Wakili yule aliendelea kusema kwamba, anadhani kuwa baada ya miaka mitatu mingine huenda mtu mwingine akafunguliwa mashtaka yanayofanana na yale kwa sababu vifo vyote vilivyotokea katika Hospitali ya Vermillion County kwa jinsi ninavyofahamu vilikuwa ni vifo vywa kawaida kabisa. Siamini kabisa kama kuna mtu alihusika na vifo vile.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ENDELEA NA SIMULIZI HII………………&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akiendelea kufafanua kauli yake wakili yule alisema kwamba kilichotokea ni kuwa kulikuwa na wagonjwa ambao wengi walikuwa wazee ambao walifikishwa katika hospitali hiyo kwa matibabu na kama inavyojulikana kuwa mji wa Vermillion County ni mji wa pili kwa ongezeko la watu katika jimbo la Indiana hivyo hospitali hiyo ilishuhudia ongezeko hilo la wagonjwa wengi wazee huku kukiwa hakuna maandalizi yoyote ya kuongeza wataalamu.&lt;br /&gt;Wakili huyo aliendelea kubainisha kwamba kimsingi Hospitali ya Vermillion County haina wataalam wa kutosha ambao wangekwenda sambamba na ongezeko hilo la wagonjwa, ambapo hasa wengi walikuwa ni wazee, na kama wangekuwepo vifo hivyo visingetokea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naye mwendesha mashtaka wa mahakama hiyo aliyejulikana kwa jina la Mark Greenwall akionekana kujiamini aliwaambia waandishi wa habari kuwa anayo kesi nzito dhidi ya Orville na kesi hiyo inategemea zaidi ushahidi kutoka kwenye jopo lake la wapelelezi wakishirikiana na wataalamu wa kitabibu ambao ndio waliopewa jukumu la kuchunguza vifo 160 vilivyotokea katika hospitali hiyo kati ya mwaka 1993 na mwaka 1995, ambapo asilimia 50 ya vifo hivyo vilionekana kutokea katika mazingira ya kutatanisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumzia kitendo cha Orville kufunguliwa mashtaka ya mauaji ya watu 6 tu badala ya watu 160 ambao ndio aliokuwa akituhumiwa kuwauwa awali, Greenwall alisema kwamba kitendo cha Orville kufunguliwa mashtaka ya watu sita tu hakimaanishi kuwa kulikuwa na vifo vya watu sita tu, bali walichukuwa kesi za watu sita ambazo walikuwa na uhakika wa kupata ushahidi wa kutosha ambao ungemtia Orville hatiani bila ya kutia shaka yoyote.&lt;br /&gt;Baada ya Orville kusomewa mashtaka, nje ya mahakama ile ambayo ilifurika umati wa watu ambao walikuwa wakiifuatilia kesi ile ambayo ilivuta hisia za watu wengi, miongoni mwao wapo waliokuwa wakimtetea Orville.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumza nje ya mahakama mdogo wake na Orville aitwae Debbie McClelland alisema kuwa kaka yake hana hatia kwa sababu hakuhusika na mauaji yale.&lt;br /&gt;Kwa maneno yake mwenyewe Debbie alisema “tangu uchunguzi wa kesi hii uanze na mpaka kufikia sasa hivi ambapo kesi ipo mahakamani wazazi wetu wamekuwa na wakati mgumu sana na hii imevuruga kwa kiasi kikubwa maisha yao lakini mungu anatupa nguvu na kuendelea na maisha yetu kama kawaida, japokuwa tunatiwa moyo na majirani zetu lakini hali si ya kuridhisha pale nyumbani”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nae mwanamke mwingine aliyejulikana kwa jina la Ida Harris ambae aliwahi kuwa muhudumu wa wazazi wa Orville pale nyumbani kwao wakati Fulani alisema kuwa kwa jinsi anavyomfahamu Orville haamini kwamba alihusika na mauaji yale, na anaona kabisa kwamba hawamtendei haki. Kesi ile ambayo iliahirishwa kwa zaidi ya mwaka mmoja hadi mwaka 1999, ilipangwa kuhamishiwa katika mji mwingine uitwao Brazil ambao upo maili kadhaa kutoka katika mji wa Vermillion kusini mwa mji mwingine wa Terre Haute, na hii ilitokana na kwamba mji huo ndipo idadi ya watu waliopoteza maisha katika mazingira ya kutatanisha katika Hospitali ya Vermillion County ni kubwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mashahidi wapatao 79 walijitokeza kutoa ushahidi wao ambapo wengi walikiri kumuona Orville akiwachoma sindano ambazo zilipelekea vifo vya wapendwa wao, ambapo kimsingi alikuwa haruhusiwi kuwachoma wagonjwa sindano hizo. Mnamo October 17, 1999 Orville alipatikana na hatia ya kuhusika na mauaji ya watu sita na hivyo kuhukumiwa kifungo cha miaka 360 gerezani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;*****************MWISHO*******************&lt;/span&gt; &lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-1234907936475089100?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/1234907936475089100/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=1234907936475089100&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/1234907936475089100'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/1234907936475089100'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2010/04/malaika-wa-kifo-sehemu-ya-mwisho.html' title='MALAIKA WA KIFO! SEHEMU YA MWISHO'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S7ghNvV4ogI/AAAAAAAAAWw/afOpntAn2fs/s72-c/1281299-L.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-7179964785128114073</id><published>2010-04-02T13:11:00.005+03:00</published><updated>2010-04-02T13:22:51.332+03:00</updated><title type='text'>MALAIKA WA KIFO! SEHEMU YA PILI</title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S7XDrU89G5I/AAAAAAAAAWo/IDKz1e5wIf0/s1600/1281299-L.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5455481672755387282" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 195px; CURSOR: hand; HEIGHT: 320px; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S7XDrU89G5I/AAAAAAAAAWo/IDKz1e5wIf0/s320/1281299-L.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;&lt;span style="color:#660000;"&gt;Muuaji Orville Lynn Majors&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;ILIPOISHIA........&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Muuguzi huyo alikiri kwamba kuna wakati walikuwa wakicheza kamari kwa kuwekeana dau juu ya mgonjwa gani atakufa pindi Orville atakapokuwa kazini, na mara zote mshindi alikuwa akipatikana na kujizolea kitita cha fedha. Pamoja na ushahidi huo ambao ulielemea zaidi kwenye minong’ono na maneno ya mitaani, lakini bado wapelelezi walikuwa na wakati mgumu wa kujenga ushahidi madhubuti wa kumtia Orville hatiani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ENDELEA KUSOMA HAPA………………&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ili kupata ushahidi huo ilibidi wapelelezi wa polisi watumie muda mwingi kuwaita watu ambao ndugu zao walipoteza maisha katika hospitali hiyo na wanao ushahidi kwamba kwa njia moja au nyingine Orville alihusika. Mtu wa kwanza kujitokeza alikuwa ni kijana mmoja aliyejulikana kwa jina la Russell Firestone au kwa jina la utani aliitwa “Rusty”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kijana huyu alimpoteza baba yake aliyekuwa na umri wa miaka 74 wakati huo. Kijana huyo akitoa ushahidi wake mbele ya wapelelezi wa Polisi, Rusty alisema kwamba baba yake alilazwa katika hospitali hiyo mnamo December 12, 1994, kwa wiki kadhaa baada ya kusumbuliwa na tatizo la kuzimia ghafla. Kijana huyo aliendelea kuwaeleza Polisi kwamba baba yake alipewa ruhusa kabla ya kulazwa tena siku sita baadae katika hospitali hiyo hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya kupata tarifa kuwa baba yake amelazwa tena, Rusty alikwenda kumuona na alipofika hospitalini hapo alimkuta Orville na muuguzi mwingine wakiwa pembeni ya kitanda cha baba yake, alipowakaribia alimsikia yule muuguzi akisema kwa sauti “mwanae huyo anakuja” Alipofika karibu na kitanda alichokuwa amelala baba yake alimuona baba yake akipepesa macho na mara ghafla akaacha kupepesa macho na kubaki kimya kama vile mtu aliyekata roho. Alipowauliza kwamba baba yake amepata tatizo gani, walimjibu kuwa hajui, hata hivyo Orville alitoa mashine yake ya kupimia mapigo ya moyo na kumpima baba yake, lakini kulikuwa hakuna dalili za mtu kuwa hai. Baadae Orville alichukuwa box lake alilokuwa nalo na kuchukuwa sindano kisha akaijaza dawa asiyoifahamu na kumchoma baba yake na kutoweka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rusty alimuuliza yule muuguzi kama ile sindano ilikuwa ni ya dawa gani lakini hakupewa jibu na badala yake yule muuguzi aliendelea na shughuli zake. Baadae Orville alirejea na hapo ndipo yule muuguzi alipomuuliza kwamba Rusty anataka kufahamu kama ile sindano ilikuwa ni ya nini?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa maneno yake mwenyewe Orville alimjibu kwa mkato “baba yako amekwisha fariki, je kuna mtu unahitaji kumuita?” kisha wote wawili wakatoweka na kumuacha pale peke yake.&lt;br /&gt;Mtu mwingine aliyetoa ushahidi wake alikuwa akijulikana kwa jina la Robert Doran.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akiongea na wapelelezi wa Polisi, Robert alisema kwamba anakumbuka baba yao John Andrew Doran aliyekuwa na umri wa miaka 76 wakati huo, alilazwa katika Hospital hiyo mnamo October 1994. Akisimulia zaidi Robert alisema kwamba baba yao alianza kupoteza uzito ghafla na kuwa dhaifu kulikoambatana na kizunguzungu, hivyo walipoona hali ya baba yao imebadilika ghafla vile yeye na mkewe aliyemtaja kwa jina la Marjorie waliamua kumpeleka katika katika hospitali ya Vermillion County kwa ajili ya uchunguzi zaidi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Walipofika Hospitalini hapo baba yao alilazwa kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi zaidi. Siku iliyofuata walirejea pale Hospitalini ili kufuatilia vipimo vya baba yao, lakini walipofika walikuta baba yao amehamishiwa katika chumba cha wagonjwa mahututi. Robert alibainisha kwamba hapo ndio kwa mara ya kwanza alipomuona Orville.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa maneno yake mwenyewe Robert alisema “Huyu kijana mwenye mwili mkubwa(Akimaanisha Orville kwa sababu alikuwa ni mnene) alifika pale tulipo na kutusalimia na kisha alijitambulisha kwetu”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huku akimnukuu Orville Robert alisema, “Jina langu naitwa Orville Lynn Majors, mimi ndie nitakaekuwa muuguzi wa baba yenu leo, si mlikuwa mkihitaji muuguzi Mahiri?” kwa jinsi alivyokuwa akizungumza alionekana kuwa ni muuguzi mzuri anaeifahamu kazi yake na ambae aliguswa na ugonjwa wa baba yetu, aliendelea kubainisha Robert.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baadae majira ya mchana Robert alikiri kumuona Orville akimchoma baba yao sindano ambayo wote hawakuifahamu na baada ya sindano hiyo baba yao alionekana kupua kwa shida na kuonekana kama vile anataka kupoteza fahamu. Akiwa amesimama pembeni Orville alikuwa akimpiga piga begani baba yao huku akimwambia “subiri kidogo nakuandalia dawa nyingine”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baadae baba yao alifariki kwa kile kilichoelezwa na daktari kwamba amefariki kwa ugonjwa wa shambulio la moyo (Heart Attack). Robert aliendelea kuwaeleza wapelelezi wa Polisi kwamba baada ya habari za hospitali hiyo kutuhumiwa kusababisha vifo vya watu wengi kutoka katika vyombo vya habari, yeye na mkewe Marjorie Doran waligundua kwamba huenda na wao walishuhudia mauaji ya baba yao akiuwawa na Orville mbele ya macho yao.&lt;br /&gt;Kwa manaeno yake mwenyewe Robert alisema “ Tulijiona wote tuwajinga kwa kukaa kimya baada ya tukio lile ambalo lilifanyika mbele ya macho yao”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mpaka kufikia mwishoni mwa mwaka 1997, bado jopo la wapelelezi walijua dhahiri kwamba isingekuwa rahisi kwao kupata ushahidi wa kina wa kumtia hatiani Orville Lynn Majors.&lt;br /&gt;Kesi ya Orville ilianza kusikilizwa rasmi mnamo December 30 1997 katika mahakama ya Clay County.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huku akionekana kutokuwa na wasiwasi, Orville alikuwa ametulia wakati Jaji wa mahakama hiyo aliyejlikana kwa jina la Ernest Yelton alimsomea mashitaka ambayo ni ya kuhusika na mauaji ya watu sita, ambapo akipatikana na hatia adhabu yake itakuwa ni kifungo cha miaka isiyopungua 65. Baada ya kusomewa mashitaka hayo wakili wa Orville aliyejulikana kwa jina Marshall Pinkus, alikanusha mashtaka yote yaliyosomwa, kwa niaba ya mteja wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akiongea na waandishi wa habari mara baada ya Orville kusomewa mashitaka, wakili huyo aliwaambia waandishi wa habari kwamba mteja wake amestushwa sana na mashtaka yale.&lt;br /&gt;Wakili yule aliendelea kusema kwamba, anadhani kuwa baada ya miaka mitatu mingine huenda mtu mwingine akafunguliwa mashtaka yanayofanana na yale kwa sababu vifo vyote vilivyotokea katika Hospitali ya Vermillion County kwa jinsi ninavyofahamu vilikuwa ni vifo vya kawaida kabisa. Siamini kabisa kama kuna mtu alihusika na vifo vile. &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;font-size:130%;"&gt;ITAENDELEA.................&lt;/span&gt; &lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-7179964785128114073?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/7179964785128114073/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=7179964785128114073&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/7179964785128114073'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/7179964785128114073'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2010/04/malaika-wa-kifo-sehemu-ya-pili.html' title='MALAIKA WA KIFO! SEHEMU YA PILI'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S7XDrU89G5I/AAAAAAAAAWo/IDKz1e5wIf0/s72-c/1281299-L.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-7350441523283405950</id><published>2010-04-01T16:24:00.002+03:00</published><updated>2010-04-01T16:29:04.487+03:00</updated><title type='text'>MALAIKA WA KIFO!</title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S7Se7RNw0WI/AAAAAAAAAWg/3Y2IrK-qKUM/s1600/1281299-L.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5455159789723111778" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 195px; CURSOR: hand; HEIGHT: 320px; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://4.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S7Se7RNw0WI/AAAAAAAAAWg/3Y2IrK-qKUM/s320/1281299-L.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt; &lt;strong&gt;&lt;span style="color:#cc0000;"&gt;Muuaji Orville Lynn Majors&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Kila mgonjwa aliyewahi kukutana na muuguzi Orville Lynn Majors, alimuona kama nesi mpole na mwenye upendo wa hali ya juu na anaejua kuwahudumia wagonjwa kwa uadilifu mkubwa. Lakini katika hali kushangaza ikawa kila mgonjwa anaehudumiwa na muuguzi huyu katika Hospitali hiyo ya Vermillion County iliyopo katika jimbo la Indiana akawa anakufa katika mazingira ya kutatanisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mpaka kufikia mwaka 1995 takwimu za idadi ya vifo vilivyokuwa vikitokea katika Hospitali hiyo iliyokuwa na idadi ya vitanda 60 tu vya kulaza wagonjwa ilikuwa ni ya kutisha na hata wafanyakazi wa hospitali hiyo walipoulizwa hawakuwa na majibu ya kuridhisha. Mnamo March 7 1995 uongozi wa hospitali ya Vermillion ulikuwa na wakati mgumu wa kujibu tuhuma hizo kwani kulikuwa na uwezekano wa hospitali hiyo kushitakiwa kwa uzembe wa kusababisha idadi kubwa ya vifo katika hospitali hiyo ambapo watu walihisi kwamba huenda kuna mchezo mchafu unaochezwa na baadhi ya wauguzi wa hospitali hiyo ambao unahitaji kufanyiwa uchunguzi wa kipolisi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uongozi wa hospitali hiyo ulitoa ripoti yao kwa askari wa upelelezi ambao ulikuwa ukionyesha kwamba vifo vilivyokuwa vikitokea kwenye chumba maalum cha wagonjwa mahututi vilikuwa vimeongezeka ghafla kutoka wastani wa asilimia 20 kwa mwaka hadi asilimia zaidi ya 100, kwani watu wapatao 147 walikuwa wamepoteza maisha katika chumba hicho kuanzia mwaka 1993. Polisi walianza kuangalia rekodi za utendaji kazi wa kila mfanyakazi wa hospitali hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika ripoti karibu zote za watu waliopoteza maisha katika hospitali hiyo jina la Orville Lynn Majors lilitajwa kama muuguzi aliyekuwa zamu katika chumba cha wagonjwa mahututi wakati kifo kinatokea. Polisi pia waligundua kwamba vifo hivyo vya mfululizo vilianza wiki chache tangu Orville aanze kazi katika hospitali hiyo. Kwa mujibu wa rekodi zilizopatikana katika hospitali hiyo ilionyesha kuwa Orville alikuwa zamu wakati vifo vya wagonjwa 130 kati ya vifo 147 vilivyotokea katika hospitali hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ripoti hiyo ilikuwa ni tofauti na muonekano na tabia aliyokuwa nayo, kwani alikuwa akijulikana na uongozi wa hospitali hiyo pamoja na wagonjwa waliowahi kutumia hospitali hiyo kama muuguzi mwenye kujituma na mwenye upendo kwa wagonjwa. Baada Polisi kutilia mashaka utendaji wake, mnamo March 9 1995 ilibidi uongozi wa hospitali hiyo umsimamishe kazi ili polisi wapate fursa ya kufanya upelelezi wao kwa ufanisi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mshangao na wafanyakazi wengi wa hospitali hiyo kwani wengi hawakuamini kama Orville angeweza kuwa mtu wa kwanza kutuhumiwa kwa kusababisha vifo vya wagonjwa katika hospitali ile. Hata hivyo kitendo cha Orville kusimamishwa kilikuja kuibua makosa mengi ambayo aliyafanya bila ya kujulikana wakati akiwa kazini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika uchunguzi uliofanywa hospitalini pale ilikuja kugundulika kuwa Orvile alikuwa akifanya kazi za kitabibu kwa wagonjwa wakati alikuwa hana ujuzi nazo, pia ilikuja kugundulika kuwa alikuwa akiwachoma wagonjwa sindano ambazo kitaalamu huchomwa na mtu maalum aliyesomea ujuzi huo. Kutokana na kugundulika kwa makosa hayo mnamo April 1995 Orville alifukuzwa kazi rasmi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Msemaji wa Bodi ya wauguzi ya Jimbo la Indiana Gerorge Patton Jr. alimzungumzia Orville kama mtu hatari kwa wagonjwa. Kitendo cha Orville kusimamishwa kazi kilikuwa kimeitikisa taaluma ya uuguzi. lakini polisi walikuwa na mtihani mwingune kwani pamoja na kuamini kwamba Orville alihusika na mauaji ya wagonjwa zaidi ya 100 lakini walikuwa na wakati mgumu wa kupata ushahidi wa kumtia hatiani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika ushahidi uliokusanywa katika ripoti ya vifo vingi vya ghafla vilivyotokea katika hospitali hiyo ulionyesha kwamba vilitokana na moyo kushindwa kufanya kazi ghafla au matatizo yatokanayo na mfumo wa kupumua. Wataalam walidai kwamba kama Orville atakuwa ndiye muuaji, basi atakuwa amewauwa kwa kuwachoma sindano yenye kemikali ya Potashiam Kloraid (Potassium Chloride) Ni kitu gani kinachosababisha kuwepo na ugumu kuthibitisha madai hayo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kawaida sindano yenye kemikali ya Potashiamu Kloraidi hutumika kwa kuwauwa watu walihukumiwa kunyongwa, ambapo kwa upande wa Orville kulikuwa hakuna ushahidi wa kuthibitisha madai hayo. Kwa muda wa miezi 15 waliotumia wapelelezi wa polisi lakini bado walikuwa hajapata ushahidi wa kina wa kumfungulia Orville mashtaka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ingawa walikuwa wamepata hizo kemikali za potashiamu kloraidi nyumbani kwake lakini huo haukuwa ushahidi wa kuthibitisha madai yao. Pamoja na polisi wa upelelezi kuchukuwa miaka 3 katika upelelezi wao dhidi ya Orville ambao uliwagharimu walipa kodi wa jimbo la Indiana kiasi cha dola milioni moja na nusu lakini bado ushahidi wa kumtia orville hatiani ulikuwa ni wa kimazingira zaidi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwani wapelelezi wa polisi waliamini kwamba, ikiwa ni kweli Orville alihusika na mauaji ya wagonjwa zaidi ya 130 katika kipindi cha miezi 32 aliyofanya kazi katika hospital hiyo, basi ni wazi kuwa hakuacha ushahidi wowote nyuma yake zaidi ya takwimu tu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo bado polisi walikuwa na tegemeo jingine la ushahidi kutoka kwa mtaalamu kutoka jimbo la Washington ambao waliongozwa na mwanasayansi aliyejulikana kwa jina la StevenLamm.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika uchunguzi wao ambao uligharimu kiasi cha dola laki tatu, wataalamu hao walikiri kwamba kwanza kuna ukweli wa kimazingira wa kumuhusisha Orville na vifo vya wagonjwa 130 kati ya wagonjwa 147 waliopoteza maisha katika Hospitali hiyo, ambavyo vyote vilitokea Orville akiwa kazini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika ripoti yao ilionyesha kwamba wagonjwa wote waliopoteza maisha katika Hospitali wakati Orville akiwa kazini walikuwa wakifa kila baada ya masaa 23 na dakika 1, isipokuwa mgonjwa mmoja ambae alifariki baada ya masaa 551 na dakika 6, ambapo Orville hakuwepo ikazini. Mmoja wa wauguzi wanaofanya kazi katika hospitali hiyo alidai kwamba hali ilikuwa mbaya sana kutokana na kushuhudia vifo vya wagonjwa kila Orville awapo kazini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Muuguzi huyo alikiri kwamba kuna wakati walikuwa wakicheza kamari kwa kuwekeana dau juu ya mgonjwa gani atakufa pindi Orville atakapokuwa kazini, na mara zote mshindi alikuwa akipatikana na kujizolea kitita cha fedha. Pamoja na ushahidi huo ambao ulielemea zaidi kwenye minong’ono na maneno ya mitaani, lakini bado wapelelezi walikuwa na wakati mgumu wa kujenga ushahidi madhubuti wa kumtia Orville hatiani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ITAENDELEA…………………&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-7350441523283405950?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/7350441523283405950/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=7350441523283405950&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/7350441523283405950'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/7350441523283405950'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2010/04/malaika-wa-kifo.html' title='MALAIKA WA KIFO!'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S7Se7RNw0WI/AAAAAAAAAWg/3Y2IrK-qKUM/s72-c/1281299-L.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-1701405402907343946</id><published>2010-02-27T13:51:00.003+03:00</published><updated>2010-02-27T13:55:55.470+03:00</updated><title type='text'>TUONDOE SEHEMU ZA MIILI YETU ZILIZOKUFA.</title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S4j5ssaH9zI/AAAAAAAAAWY/a45Ie1a5hnU/s1600-h/JONGOO.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5442874695907538738" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; CURSOR: hand; HEIGHT: 214px; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://4.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S4j5ssaH9zI/AAAAAAAAAWY/a45Ie1a5hnU/s320/JONGOO.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt; &lt;strong&gt;&lt;span style="color:#990000;"&gt;Kupitia Jongoo huyu alijifunza kitu muhimu maishani&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Mzee mmoja, Salim Keni wa Makongorosi huko Chunya mkoani Mbeya, anasema kuwa siku moja alishangazwa sana na kauli ya mtoto wake wa miaka kumi. Anasema alikuwa amekaa nje ya nyumba yake jioni. Hapo alipokuwa amekaa alikuwa akiangalia jongoo. Jongoo huyo alikuwa ameumia sehemu yake ya nyuma, ambayo sasa ilikuwa imekauka, yaani imekufa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sehemu ya mbele ambayo ilikuwa ni nzima iliunganishwa na sehemu hiyo ya nyuma au ya mkia kwa kiuzi kidogo sana. Tunaweza kusema kwamba sehemu hiyo ya mkia ilikuwa inakokotwa na ile ya mbele. Hali hiyo ilimfanya jongoo yule kupata shida sana ya kusogea. Ukweli ni kwamba, hata kama sehemu ile ya nyuma ya jongoo yule ingeondolewa wala asingebaini, kwani ilikuwa sio sehemu ya mwili wake tena-ilishapoteza uhai.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini aliendelea kuikokota kama vile bado alikuwa akiihitaji. Wakati Mzee Salim akimshangaa jongoo yule, mtoto wake huyo ambaye ni mtundu sana alifika hapo, ambapo naye alimuona jongoo huyo.&lt;br /&gt;Alikaa chini karibu na baba yake na kumkodolea macho kabla hajatoa kauli hiyo ya kushangaza. ‘Sasa baba, huyu mdudu si anapata shida bure, kwa nini asiache hii sehemu ya nyuma ili atembee vizuri, kwa sababu yenyewe imekauka…..’&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kabla baba yake hajajibu, mtoto yule alichukua kijiti na kutenganisha sehemu ya mbele na ile ya nyuma ya jongoo yule. Baada ya kufanya hivyo, jongoo yule aliweza kuongeza kasi ya kutembea na alionekana wazi kwamba amekuwa huru.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mzee Salim alishikwa na butwa kwani hakuwa amepata muda wa kufikiri hivyo wakati akimtazama yule jongoo. Ni kweli kabisa, mtoto wake alikuwa amemfunulia kitendawili kikubwa sana cha maisha. Ya nini kutembea na sehemu ya mwili ambayo haina kazi, ambayo imekufa, ambayo angeweza kuiacha na kuwa huru zaidi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mtoto yule aliona wazi kabisa pamoja na akili yake ya kitoto kwamba, kama mdudu yule angemudu kuiacha sehemu ya mwili wake ambayo ilikuwa tayari imekufa angeweza kuishi katika uhalisia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uvumbuzi wa mtoto yule ni uzumbuzi wetu sote. Ni lini nasi tutaamua kuacha sehemu zetu ambazo zimekufa ili tuweze kuishi katika uhalisia? Sehemu zetu za miili zilizokufa ni zipi? Ni maumivu ya kimaisha yaliyopita. Ni mizigo ya mashtaka ya dhamira zetu na haja yetu ya kutaka kulipiza visasi. Ni masikitiko na majuto ya mambo yaliyopita, ambayo bado yanatuumiza hadi leo, mambo ambayo hayana maana yoyote tena kwetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wengi wetu tunatembea au kuishi na mizigo mizito sana ya mambo yaliyopita, mambo ambayo ukweli ni kwamba hayana maana yoyote kwetu. Lakini kwa sababu tumeamua kutembea nayo, hutuzuia kwenda kama tunavyotaka, hutuzuia kufurahia maisha na hutuzuia kuwa huru katika mambo yetu mengi kimaisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bila shaka tukiwa jasiri kama mtoto yule na kubaini sisi wenyewe kwamba tunatembea na sehemu zetu ambazo zimekufa, tutakuwa tayari kuziondoa na kuwa huru. Ni vizuri kujiuliza kama kuna mambo yaliyopita ambayo yanatuzuia katika kufanya na kufikia malengo yetu, ambayo yanatunyima furaha na kutufanya tujione kama watumwa. Je mambo hayo yana maana gani kwetu wakati yameshapita? Ni wazi yamekua, tunayabeba bure.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna ambao wanalia hadi leo kufuatia vifo vya wapenzi wao vilivyotokea mika kumi iliyopita. Kuna wanaohangaika kutaka kulipa visasi vya yale mabaya waliyotendewa miaka kadhaa nyuma. Kuna wale ambao wanasumbuliwa na mawazo ya jinsi walivyofilisika au kusalitiwa na jamaa au wapenzi wao. Hii yote ni mizigo ya bure, ni sehemu za miili au maisha yao ambazo zimekufa, lakini wanaziburuza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimekuwa nikiandika hapa mara kwa mara kwamba mambo yaliyopita hayapaswi kutuumiza, kutuondolea furaha na kutufanya tujihisi wanyonge na tusio na thamani, kwa sababu mambo haya hayana maana yoyote tena kwetu. Hata kama utafikiri kwa miaka mia kuhusu jambo Fulani ambalo tayari limekutokea, huwezi kulibadili hata kwa chembe ndogo sana, sanasana unalipa uzito ili likutese zaidi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ili uishi hasa, uishi kwa kadiri ya utashi wa kanuni za kimaumbile, inakupasa uondoe sehemu ya mwili wako ambayo imeshakufa. Bila kuiondoa sehemu hiyo, ni lazima utaelemewa sana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Habari hii iliwahi kuandikwa katika Gazeti la Jitambue. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-1701405402907343946?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/1701405402907343946/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=1701405402907343946&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/1701405402907343946'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/1701405402907343946'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2010/02/tuondoe-sehemu-za-miili-yetu-zilizokufa.html' title='TUONDOE SEHEMU ZA MIILI YETU ZILIZOKUFA.'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S4j5ssaH9zI/AAAAAAAAAWY/a45Ie1a5hnU/s72-c/JONGOO.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-3819471748903902266</id><published>2010-02-14T10:49:00.003+03:00</published><updated>2010-02-14T10:56:15.185+03:00</updated><title type='text'>MUUAJI SHOGA ALIYEPUKUTISHA WENZIE SEHEMU YA MWISHO</title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S3erlrcPBtI/AAAAAAAAAWQ/zncppBBudWg/s1600-h/andrew+cunanan.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5438003738877822674" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; CURSOR: hand; HEIGHT: 281px; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://3.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S3erlrcPBtI/AAAAAAAAAWQ/zncppBBudWg/s320/andrew+cunanan.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;strong&gt;&lt;span style="color:#cc0000;"&gt; Muuaji Andrew Cunanan katika muonekano tofauti tofauti&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;ILIPOISHIA.........................&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Siku mbili baadae Polisi waligundua mwili wa Jeff Trail ukiwa umeviringishwa na zulia nyumbani kwa Madson na ilionesha kwamba Jef Trail aliuawa kwa kupigwa na nyundo kichwani na uso wake ulikuwa umepondwa pondwa kwa nyundo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ENDELEA KUSOMA HAPA........................&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Polisi waliamini kwamba Madson hakuwepo nyumbani wakati mauaji yanapotokea, na aliporudi alishikiliwa na ndani ya nyumba yake kama mateka kwa siku mbili huku mwili wa Trail ukiendelea kuaribikapale ndani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baadaye Cunanan alimchukua Madson na kumpakia ndani ya gari aina ya Cherokee Jeep, linalo milikiwa na Madson mwenyewe, kisha aliednesha gari hilo umbali wa kilometa 48, Magharibi mwa jiji la Minnesota, ambapo alimpiga risasi mbili kichwani na kuutupa mwili wake ndani ya ziwa na kutoroka na gari la Madson.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baadaye mwili wa Madson ulikutwa na wavuvi, ambao waliwajulisha polisi.Kupatikana kwa mwili wa Madson kulipelekea polisi kwenda nyumbani kwake ambapo waliukuta mwili wa Trail na mkoba wa Nailoni wenye jina la Cunanan.Walipokwenda kuchunguza nyumbani kwa Trail walikuta ujumbe kwenye mashine maalumu ya simu za mezani inayotumika kuacha ujumbe kama muhusika hayupo, ujumbe ambao uliachwa na Cunnan, ukimualika Trail nyumbani kwa Madson.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hiyo ilidhihirisha kwamba Cunanan hakuchukua tahadhari kuficha uhusika katika mauaji yale. Mnamo Mei 4,1997,siku tano baada ya kutokea mauaji ya Trail, mtu mwingine aliye julikana kwa jina la Lee Miglin aliye kuwa na umri wa miaka 72, milionea mmiliki wa majumba, alikutwa na mke wake akiwa ameuwawa ndani ya gereji ya gari, katika mtaa wanaoishi matajiri huko Chicago.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwili wake ulikutwa umeviringiswa ndani ya plastiki huku ukiwa umekatwa shingoni na kitu chenye ncha kali na mdomo ulifungwa kwa plasta.Inawezekana ni ili asipige kelele.Pia macho yake yalikuwa yameng'olewa na alikuwa na majeraha ya kuchomwa sana na kitu chenye ncha kali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hiyo, iliwadhihirishia polisi kwamba kabla ya kuuwawa kwake Miglin alikuwa amteswa sana. Walipochunguza zaidi ndani ya nyumba waligundua kuwa muuaji alijitengenezea mkate wa nyama na kunyowa ndevu zake, na kabla ya kuiba mavazi ya thamani ya Miglin na feza zipatazo dola 2,000 na kutoweka na gari la Miglin aina ya Lexus.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Gari la Madson aina ya Cherocee Jeep lilikutwa likiwa limetekelezwa nje ya eneo la tukio, kwa mara nyingine tena, Cunanan hakuficha kuhusika kwake na mauaji yale.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mke wa Miglin, mama Margareth ambaye hakuwepowakati mauwaji ya mumewe yanatokea, alikanusha kwamba mumewe alikuwa shoga na kuwa alikuwa akifahamiana na Cunanan.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Siku tano baadaye Cunanan aliibukia Pennsville, New Jersey. Mnamo mei 9,1997, mwili wa mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la William Reese aliyekuwa na umri wa miaka 45, mtunza makaburi katika eneo la Finn's Point, ulikutwa katika eneo hilo ukiwa na majeraha ya risasi kichwani, na aina ya silaha ikiwa ni ileile iliotumika katika matukio ya mauaji ya Madson.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;K wa mara nyingine tena makosa ya awali ya muuaji yalijirudia ya kuacha ushahidi wa dhahiri. Gari la Miglin aina ya Lexus liliachwa katika eneo la tukio na gari la Reese aina ya Chevrolet lilikuwa halipo, na h1yo ilionesha kwamba Cunanan alihusika na mauaji yale.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati mwili wa Reese ukigunduliwa, Cunanan alielekea Miami akitumia gari la Reese. Pamoja na kwamba alikuwa anatafutwa na FBI, na alikuwa kwenye orodha ya watu muhimu wanaotafutwa lakini alikuwa hafichi mwonekano wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alipofika Miami alifikia kwenye Hoteli ijulikanayo kama Normandy Plaza ambapo alikaa kwa miezi miwilihuku akijichanganya kwenye klabu za mashoga na kujitambulisha katika jamii ya mashoga wa Miami.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mnamo Julai 6, 1997, siku tisa kabla ya Cunanan hajamuua Giani Versace, alitumia sarafu adimu ya dhahabu aliyoiiba nyumbani kwa Miglin na kuiweka rehani kwenye maduka maalum ya kuwekesha rehani, ambao aliandikisha jina lake kamili na anuani ya hoteli aliyofikia. Kwa kawaida Wamarekani hutumia sarafu maalum za dhahabu kukopea fedha kwenye maduka maalum ya kuweka rehani {Pown Shop}&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa sheria ya jimbo la Florida, taarifa za muweka rehani hutakiwa kupelekwa polisi ndani ya masaa 24 tangu meka rehani kuchukuwa fedha, lakini pamoja na taarifa hizo kufikishw polisi, hazikufanyika juhudi zozote kuchunguza taarifa za mmiliki wa sarafu ile.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ilipofika julai 15, 1997 ndipo Cunanan alipoitikisa jamii ya wafanyabiashara wa mitindo ya mavazi kwa kumuua Giani Versace.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ndani ya wiki moja tangu Giani Versace kuuawa FBI wakishirikiana na polisi walianza msako mkali wa kumtafuta muuajina ndipo Julai 23, 1997 saa kumi jioni, polisi walipopigiwa na mtu mmoja aliyejitambulisha kwa jina Fernando Curreira.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mlinzi wa boti za starehe zilizopo pembezoni mwa bahari, akiwajulisha kwamba amemwona mtu mmoja anayefanana na Cunanan akiingia kwenye boti moja inayotumika kama makazi, na alipojaribu kumsimamisha alimrushia risasi na kuingia ndani ya boti hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baadaye polisi walifika wakiwa na kikosi maalum maarufu kama SWAT, wakiwa na mbwa na kuizingira boti hiyo hukukukiwa na helikopta inayoranda angani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Polisi walikuwa wakitoa matangazo kupitia kwenye spika zao wakimtaka mtuhumiwa ajisalimishe, lakini Cunanan hakufanya hivyo na aliendelea kubaki kimya ndani ya boti.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ilipofika saa 2 usiku, polisi walisikia mlio wa risasi kutoka ndani ya boti hiyo na kufuatiwa na ukimya. Baadaye polisi walitumia gesi ya kutoa machozi na kuvamia boti hiyo ambapo wakakuta mwili wa mtu akiwa amejipiga risasi kupitia mdomoni mwake na kuharibu uso wake wote kiasi cha kutotambuliwa, pembeni mwa mwiliule ilikutwa bastola ambayo ilitumika katika mauaji ya David Madson na William Reese.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwili ule ulikuja kujulikana kwamba niwa Andrew Cunanan baada ya alama zake za dole gumba kufuanana kabisa na alama alizoacha katika duka la kuweka rehani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Msemaji wa polisi, Baretto alisema, sura yake iliharibika vibaya baada ya kujipiga risasi kiasi cha kutotambulika, lakini baada ya uchunguzi wa alama za vidole, imekuja kujulikana kwamba mwiliule ulikuwa wa Andrew Cunanan.'&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baretto aliendelea kusema kwamba ingawa yapo maswali mengi ambayo hayajapata majibu juu ya mauaji aliyokuwa akiyaendesha Cunanan, lakini, wakati umefika wa watu kupumua baada ya jinamizi lile kuondoka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alipoulizwa kwamba, haoni kama polisi walichelewa kumkamata mtuhumiwa wakati alikuwa akijibainisha dhahiri kila anapofanya mauaji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baretto alisema, 'sidhani kama polisi walizembea, kwani walichukua hatua madhubuti katika kumsaka mtuhumiwa, naamini hawapaswi kulaumiwa kwani walifanya kazi nzuri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mtu mmoja alijitambulisha kwa jina la Nicole-Murray mwandishi wa makala za jamii katika magazeti na rafiki wa zamani wa Cunanan alisema kwamba polisi waliichukulia kesi ya Cunanan kwa wepesi mno, mpaka alipouwawa mtu aliyegusa jamii ya watu maarufu duniani katika biashara ya ubunifu wa mavazi ndipo ndipowakashtuka nakuchukua hatua zinaostahili, kwa wao polisi ilikuwa kama,'Eh” Nguruwe mwingine ameuwawa huko, lakini alipouwawa Gianni Versace ndiyo wakashtuka kwamba yupo mtu anayeendesha mauaji. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;******************MWISHO*******************&lt;/span&gt; &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-3819471748903902266?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/3819471748903902266/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=3819471748903902266&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/3819471748903902266'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/3819471748903902266'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2010/02/muuaji-shoga-aliyepukutisha-wenzie_14.html' title='MUUAJI SHOGA ALIYEPUKUTISHA WENZIE SEHEMU YA MWISHO'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S3erlrcPBtI/AAAAAAAAAWQ/zncppBBudWg/s72-c/andrew+cunanan.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-4823070380856191838</id><published>2010-02-13T08:42:00.007+03:00</published><updated>2010-02-13T11:16:32.759+03:00</updated><title type='text'>MUUAJI SHOGA ALIYEPUKUTISHA WENZIE. SEHEMU YA PILI</title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S3ZfklyCqCI/AAAAAAAAAWI/Y5IDcndDERE/s1600-h/imgGianni%20Versace3.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5437638682318383138" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; CURSOR: hand; HEIGHT: 222px; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S3ZfklyCqCI/AAAAAAAAAWI/Y5IDcndDERE/s320/imgGianni%2520Versace3.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;strong&gt;&lt;span style="color:#cc0000;"&gt; Princess Diana na Elton John walimlilia Gianni Versace&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S3Y-2zI_IJI/AAAAAAAAAV4/Bq3o8O77aZU/s1600-h/HBm3juvT_Pxgen_r_467xA.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5437602711258210450" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; CURSOR: hand; HEIGHT: 218px; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://3.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S3Y-2zI_IJI/AAAAAAAAAV4/Bq3o8O77aZU/s320/HBm3juvT_Pxgen_r_467xA.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt; &lt;strong&gt;&lt;span style="color:#990000;"&gt;Gianni Versace akiwa na Naomi Campbell na Cindy Crowford&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S3Y-r252KoI/AAAAAAAAAVw/Vj--7xuVs7M/s1600-h/8How+many+supermodels+can+you+spot+Gianni+Versace+feels+the+love+of+the+worlds+most+beautiful+women+from+1991.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5437602523289889410" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; CURSOR: hand; HEIGHT: 198px; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S3Y-r252KoI/AAAAAAAAAVw/Vj--7xuVs7M/s320/8How%2Bmany%2Bsupermodels%2Bcan%2Byou%2Bspot%2BGianni%2BVersace%2Bfeels%2Bthe%2Blove%2Bof%2Bthe%2Bworlds%2Bmost%2Bbeautiful%2Bwomen%2Bfrom%2B1991.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;strong&gt;&lt;span style="color:#cc0000;"&gt;Gianni Versace akiwa na wanamitindo wake&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S3Y-jfexiCI/AAAAAAAAAVo/GZ0tjiMqIAM/s1600-h/226375-2.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5437602379563370530" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 228px; CURSOR: hand; HEIGHT: 320px; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://3.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S3Y-jfexiCI/AAAAAAAAAVo/GZ0tjiMqIAM/s320/226375-2.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;strong&gt;&lt;span style="color:#cc0000;"&gt;Mojawapo ya bidhaa zake&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="center"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="center"&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;ILIPOISHIA..........&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Polisi walivamia katika jumba hilo na kukuta mwili wa mtu aliyekuja kujulikana kama Silvio Alfonso aliyekuwa na umri wa miaka 44, daktari mhamiaji kutoka nchini Cuba, Mwili wake ulikutwa ukiwa nusu uchi sakafuni………..&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ENDELEA KUSOMA HAPA.......&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama ilivyotokea kwa Versace ambaye na yeye alikuwa ni shoga wa waziwazi aliuawa kwa kupigwa risasi mbili kisogoni. Wapelelezi waliamini kwamba kuna uwezekano mkubwa Dk. Alfonso alimchukua Cunanan katika baa moja ya mashoga iliyopo katika viunga vya Miami na kwenda naye kwake kwa nia ya kufanya naye mapenzi na hivyo kuuawa baada ya kuwa wameshafanya mapenzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Labda nikujulishe tu wewe msomaji kwamba kwa nchini Marekani mtu anayejihusisha na mapenzi ya jinsia moja kwa upande wa wanaume awe anaingilia au anaingiliwa kinyume na maumbile, wote hujulikana kama mashoga. Pia miongoni mwao wapo wanoingilia na kuingiliwa kinyume na maumbile.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Habari za kuuawa kwa Dk. Alfonso zilisambaa kwa haraka sana jijini Miami na kuleta hofu miongoni mwa jamii ya mashoga nchini Marekani, na kusababisha jamii hiyo kuituhumu FBI na Polisi wa Florida kwamba hawafanyi juhudi zozote za kumtafuta muuaji na kumtia mbaroni kwa sababu tu wanaouawa ni jamii ya mashoga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati msako wa muuaji Cunanan ukiendelea, majivu ya Gianni Versace yalisafirishwa kwandege ya kukodi kwenda nchini Italia kwa mazishi ya kifamilia ambapo kabla ya mazishi kulifanyika misa maalum katika kanisa la Milan, huku kukiwa na wahudhuriaji wengi maarufu akiwemo hayati Princess Diana na Elton John.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huku matajiri na watu maarufu wakiomboleza kifi cha Gianni Versace, lakini vyombo vya Habari vgya nchini Marekani viliweka kipaumbele katika kumzungumzia muuaji Andrew Cunanan kuliko Gianni Versace.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je huyu Andrew Cunanan ni nani? Je, alikuwa na uhusiano gani na na Gianni Versacempaka kufikia kumuuwa? Je, ni kitu gani hasa kilichosababisha awe anauwa watu hovyo tena Mashoga? Maswali yote hayo yalikuwa yakiulizwa na jamii ya Wamarekani, kwani kwa muda mfupi mno muuaji Andrew Cunanan alikuwa maarufu nchini Marekani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akielezewa na mama yake wa kumzaa, Andrew Cunanan alikuwa ni shoga Malaya aliyejipachika hadhi ya ya utajiri asiokuwa nao wakati alikuwa ni mtoto wa dalali mmoja aitwae Modesto aishiye Manila, nchini Philipine. Mtu huyu alijipachika majina na nyazifa nzitonzito katika jamii ya mashoga ili kuwafanya mashoga wenzie wamheshimu na kumhofia, na hii ilitokana na kutaka kuchukuliwa na mashoga matajiri na wenye hadhi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna wakati alijitambulisha kama Andrew De Silver mfanyabiashara na mmiliki wa viwanda kutoka nchini Mexicona wakati mwingine, akijiita Luteni kamanda Cunnings kutoka jeshi la wanmaji la Marekani u mwigizaji kutoka Hollywood, ama mtoto wa tajiri mmoja maarufuu kutoka kutoka Ufilipino.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa ujumla Cunanan alikuwa anajiweka kulingana na mazingira anayojitambulisha nayokwani alikuwa na uwezo wa kucheza na sura yake kwa kujiremba kwa jinsi anavyotaka kwa sababu alikuwa ni mzuri kwa sura na alikuwa na haiba ya kuvutia hasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alikuwa ni shabiki mkubwa wa mavazi yaliyobuniwa na Gianni Versace kwani mavazi mavazi yake mengi yalikuwa na lebo ya Gianni Versace zikiwemo hata chupi zake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kufikia mwaka 1997 maisha ya Cunanan yalianza kuporomoka na kupoteza ule muonekano wake wa awali aliokuwa akiuringia. Sura yake ilioneksana kuchakaa na hiyo ilichangiwa na ulevi wake wa pombe kali kupindukia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mabadiliko hayo yalimshushia hadhi aliyojipachika na kumshusha thamani kiasi cha kuwa shoga rahisi mno aliyekuwa akiuuza mwili wake kwa bei rahisi ili mradi apate hela ya kujikimu pamoja na ya kunywea pombe na kununulia dawa za kulevya ambazo alikuwa akizitumia kwa fujo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rafikie aitwae Mike Scott alieleza kwamba, mnamo April 1997, Cunanan alikwenda kituo kimoja kupima Ukimwi kilichopo San Diego na kugundulika kwamba ni muathirika wa Ukimwi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya klupewa majibu hayo, Cunanan alichanganyikiwa na kuondoka Miami kuelekea Los Angeles, ambapo alikaa kwa siku moja na kisha alirejea na kwenda katika viunga vya Santa Monica Boulevard, mashariki mwa Hollywood na kuwa shoga Malaya wa mtaani akijiuza waziwazi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna wakati aliwahi kumweleza rafiki yake huyo kwamba alikuwa akichukuliw na na watu maarufu wa Hollywood ambao alifanyanao mapenzi bila kutumia kinga ndani ya magari yao na alikuwa akijisifu kwamba atakuwa amewaambukiza Ukimwi sawia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika kipindi hicho, Cunanan alikuwa ameishiwa hasa, kwani alifikia hatua ya kukopa nauli ili anunue tiketi ya ndege aende Minnesota baada ya kumkumbuka mpenzi wake wa zamani aitwae David Madson aliyekuwa na umri wa miaka 33.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alipofika Minnesota kwa mujibu wa kipolisi, inaaminika kwamba David Madson alikwenda kumpokea Cunanan kwenye uwanja wa ndege na kwenda naye moja kwa moja hadi nymbani kwake ambapo baadae walitoka kwenda kula chakula cha usiku. Wakijumuika nammoja wa rafiki zake David Madson walionekana wakitoka pamoja kurudi nyumbani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Siku mbili baadae Cunanan alimwalika mtu mmoja aitwae Jeff Trail nyumbani kwa mpenzi wake Madson wakati huo Madson alikuwa hayupo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jeff Trail alikuwa ni mwanafunzi kutoka Chuo cha Kijeshi, ambaye alipata kuwa mpenzi wake Cunanan wakati akijiuza kwenye viunga vya San Diego, lakini hawakudumu kutokana na tabia ya Cunanan ya kutumia dawa za kulevya kupita kiasi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Trial aliyekuwa na umri wa miaka 28 wakati huo inasemekana alitoroka jeshini na kukimbilia Minnesota. Mnamo majira ya saa nne usiku, siku ambayo Cunanan alimualika rafikie Trail nyumbani kwa Madson, mtu mmoja aishiye jirani na nyumba ya Madson alisikia mabishano ya wanaume wakitukanana nyumbani kwa Madson.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Siku mbili baadae Polisi waligundua mwili wa Jeff Trail ukiwa umeviringishwa na zulia nyumbani kwa Madson na ilionesha kwamba Jef Trail aliuawa kwa kupigwa na nyundo kichani na uso wake ulikuwa umepondwa pondwa kwa nyundo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ITAENDELEA ……………… &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-4823070380856191838?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/4823070380856191838/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=4823070380856191838&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/4823070380856191838'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/4823070380856191838'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2010/02/muuaji-shoga-aliyepukutisha-wenzie_13.html' title='MUUAJI SHOGA ALIYEPUKUTISHA WENZIE. SEHEMU YA PILI'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S3ZfklyCqCI/AAAAAAAAAWI/Y5IDcndDERE/s72-c/imgGianni%2520Versace3.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-7610523910118709404</id><published>2010-02-12T12:54:00.002+03:00</published><updated>2010-02-12T12:58:50.887+03:00</updated><title type='text'>MUUAJI SHOGA ALIYEPUKUTISHA WENZIE.</title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S3UlxgSDIII/AAAAAAAAAVg/ig-nq9itHf4/s1600-h/imgGianni%20Versace4.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5437293657529196674" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; CURSOR: hand; HEIGHT: 223px; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S3UlxgSDIII/AAAAAAAAAVg/ig-nq9itHf4/s320/imgGianni%2520Versace4.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt; &lt;span style="color:#ff0000;"&gt;&lt;strong&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;Gianni Versace&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Wakati mbunifu maarufu wa mavazi duniani, Gianni Versace alipouawa kwa kupigwa risasi nje ya mlango wa nyumba yake katika jiji la Miami, nchini Marekani, polisi walituhumu moja kwa moja kwamba ni mauaji ya kupangwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini hata hivyo baadaye waliachana na nadharia hiyo na kumgeukia mtuhumiwa mmoja, aliyekuwa akiendesha mauaji ya watu mbalimbali katika majimbo kadhaa nchini Marekani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ilikuwa ni asubuhi ya Julai 15, 1997, kama kawaida yake, Gianni Versace alitoka kwenye jumba lake la kifahari, lililopo ufukweni na kuelekea kwenye mghahawa uliopo karibu na hapo kwake. Alipofika pale alinunua magazeti na baadae alikunywa kahawa na kisha kurejea nyumbani kwake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ilikuwa ni kama saa 3 asubuhi wakati anapandisha ngazi za nyumbani kwake, ndipo muuaji alipomtokea kwa nyuma akiwa na bastola na kumpiga risasi mbili kichwani na kisha kutoweka, bila hata kuonekana. Versace alikimbizwa hospitalini na jirani zake waliomwona akigaagaa pale chini huku damu zikimtoka, lakini madaktari wa hospitali ya Jackson Memorial hawakufanikiwa kuokoa maisha yake. Alikufa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa wale wasiomjua Gianni Versace, labda niwaelezee kwa kifupi kwamba yeye ni nani? Kama wewe ni mfuatiliaji wa wabunifu wa mavazi, naamini kabisa ushawahi kukutana na pafyum, mikoba ya kike, suruali za dangrizi, maarufu kama Jeans, pochi na hata nguo za ndani zenye lebo ya Gianni Versace.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huyu alikuwa ni miongoni mwa wabunifu wa mavazi, waliojizolea umaarufu kwa kubuni mitindo ya mavazi ya watu maarufu, kama hayati Princess Diana, Elton John, pamoja na waigizaji wa filamu huko Hollywood.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akiwa na umri wa miaka 50, Gianni Versace alikuwa katika kilele cha mafanikio na utajiri wake alikadiriwa kufikia zaidi ya dola million 500 {kama shilingi za Tanzania bilioni 600}, pamoja na majumba yake ya kifahari yaliopo, Miami, mahali alipouawa, New York na Milani, nchini Italia alikozaliwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kifo chake kiliwashtua watu wengi maarufu hasa Princess Diana, Elton John na Gloria Estafan ambao inasemekana waliwahi kumshauri Gianni Versace ajiwekee walinzi kwa ajili ya usalama wake, lakini alikataa kwa madai kwamba, hataki kuingiliwa uhuru wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukweli ni kwamba Gianni Versace alikuwa ni shoga na hata katika mojawapo ya mahojiano yake na jarida la Vague alikiri kwamba yeye ni shoga na kumtambulisha mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Antonio D’Amato kama mpenzi wake wa muda mrefu, mtu ambae gazeti mmoja la udaku nchini Marekani liliwahi kumtuhumu kwamba alikuwa pia ni bwanaake dada yake Gianni Versace, aitwaye Donatela Versace, kabla hajaanza uhusiano na Gianni Versace.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama nilivyoeleza hapo awali kwamba, mauaji ya Gianni Versace yalihusiswa na mauaji ya kupangwa, msemaji wa polisi wa Miami, Richard Barreto alidai kwamba ushahidi wote wa awali uliokusanywa kutoka kwenye eneo la tukio ulionyesha kwamba mauaji yale yalipangwa kwa umakini wa hali ya juu. ilionekana wazi katika upelelezi wa awali kwamba, Versace aliuawa na mtaalamu wa mauwaji ya kupangwa anayejua ni nini anachokifanya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na polisi waliamini hivyo kwa sababu, kuna wakati Versace alituhumiwa kuhusika na genge la maharamia, wanaoendesha uharamia katika biashara ya ubunifu wa mavazi, na hata kuna wakati waliwahusisha wazazi wa Versace ambao ni matajiri wanaomiliki viwanda vya nguo nchini Italia kwamba wanashirikiana na mtoto wao kuvusha dawa za kulevya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa ujumla biashara ya ubunifu wa mavazi ulihusishwa na biashara ya dawa za kulevya, hivyo haikuwa ajabu kwa Versace kutuhumiwa kuhusika na magenge hayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Versace mwenyewe aliwahi kuzikanusha tuhuma hizo. ‘watu wanasema mimi ni ‘mafioso’ hii inaniumiza sana, na inaiumiza hata familia yangu pia.’ Alisema. Lakini, Polisi hawakusita kulitazama hilo kwa sababu wakati wa mauaji yake alikuwa anachunguzwa na polisi kutokana na tuhuma za kukwepa kodi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wapelelezi wa Miami walijua kwamba kama mauaji yale yalikuwa ni ya kupangwa, basi kulikuwa na kazi kubwa ya kumkamata muuwaji, kwani kwa mujibu wa takwimu za Florida, jimbo ambalo ndipo mji Miami ulipo, kuna kesi zipatazo 300 za mauaji ya kupangwa, na karibu nusu yake watuhumiwa hawajakamatwa, na hii inatokana na kwamba wauwaji wanatokea katika majimbo ya mbali ambapo huingia jimboni Florida, kuuwa na kisha kutoweka kabisa bila kuacha ushahidi wa kuwatia mbaroni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Majira ya mchana siku yalipotokea mauaji ya Versace, polisi waliokota nguo ambazo kwa mujibu wa watu wanaoishi jirani na Versace, walikiri kumwona mtu aliye kuwa amevaa nguo zinazofanana na zile zilizookotwa, akisalimiana na Versace, mtu ambaye polisi walianza kumhisi kuwa ndiye muuwaji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini nadharia hiyo iliwashangaza polisi kwamba iweje muuwaji makini aache nguo zake kwenye eneo la tukio? Je atakuwa ni mzembe kiasi gani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapo tena wakaanza kujenga wasiwasi mwingine kwamba, huenda Versace ameuwawa na mmojawapo wa wapenzi wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hadi kufikia usiku wa siku mauaji yalipotokea, FBI walishajenga hoja nyingine kwamba huenda Versace akawa ameuawa na na muuaji shoga aitwae Andrew Cunanan, anayeendesha mauaji nchini Marekani akiwa amewalenga mashoga wenzie na mpaka kufikia siku Versace anauawa alikuwa ameshauwa watu wanne katika maeneo ya Minnesota, Illinois na New Jersey.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alikuwa amewekwa kwenye orodha ya watu muhimu kumi wanaotafutwa nchini Marekani na FBI. Cunanan aliyetambuliwa kama kijana mwenye umri wa miaka 27 wakati huo, akiwa na urefu wa futi 5 na inchi 10, alihusishwa na mauaji ya Versace moja kwa moja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na hii ilitokana na kwamba, huenda alikuwa na chuki kwa mashoga wenzie baada ya kupimwa na kuonekana ni muathirika wa Ukimwi, kwani watu wote aliotuhumiwa kuwauwa akiwemo Versace walikuwa ni mashoga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutokana na kuwa mtu muhimu anayetafutwa, FBI ilitangaza dau la dola 40,000 kwa mtu yeyote atakayetoa taarifa zitakazopelekea kukamatwa kwake. FBI walitawanya picha zake tofauti tofauti zikiwemo zile ambazo alivaa mavazi ya kike kwenye majimbo yote ya Marekani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Siku mbili baadae tangu mauaji ya Versace, Cunanan alionekana kushambulia tena Miami .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Polisi walipata taarifa za kuonekana mtu anayefanana naye akikimbia kutoka kwenye jumba la kifahari lililokuwa umbali wa kama kilomita 16 kutoka nyumbani kwa Versace.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Polisi walivamia katika jumba hilo na kukuta mwili wa mtu aliyekuja kujulikana kama Silvio Alfonso aliyekuwa na umri wa miaka 44, daktari mhamiaji kutoka nchini Cuba, Mwili wake ulikutwa ukiwa nusu uchi sakafuni………..&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ITAENDELEA ……………… &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-7610523910118709404?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/7610523910118709404/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=7610523910118709404&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/7610523910118709404'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/7610523910118709404'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2010/02/muuaji-shoga-aliyepukutisha-wenzie.html' title='MUUAJI SHOGA ALIYEPUKUTISHA WENZIE.'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S3UlxgSDIII/AAAAAAAAAVg/ig-nq9itHf4/s72-c/imgGianni%2520Versace4.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-6392372580091316578</id><published>2010-02-07T12:01:00.004+03:00</published><updated>2010-02-07T12:11:52.248+03:00</updated><title type='text'>AJALI IKAFICHUA SIRI! SEHEMU YA MWISHO</title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S26CWtPwGcI/AAAAAAAAAVY/jNDTY2WeORE/s1600-h/618658.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5435425126897162690" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; CURSOR: hand; HEIGHT: 240px; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://3.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S26CWtPwGcI/AAAAAAAAAVY/jNDTY2WeORE/s320/618658.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;strong&gt;&lt;span style="font-size:130%;color:#ff0000;"&gt;Ilikuwa ni ajali mbaya sana....&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;ILIPOISHIA............&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Tulimzika mke wangu na nikarudishwa hospitalini. Nilitoka hospitalini baada ya mwezi mmoja na kurejea nyumbani. Nyumba yangu mwenyewe ilinitisha na nilihisi simanzi kubwa kuwa mle ndani. Watoto wangu walinisikitisha zaidi. Lakini nilishaamua kuikubali hali halisi. Nilikuwa nimekubali kuanza upya maisha. &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;ENDELEA........... &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Siku ya Tatu tangu kurejea nyumbani niliamua kupangua ili kuvipanga upya vitu vya marehemu. Nilipanga nguo zake na mapambo mengine ya kike. Halafu ilibidi kupanga vitu vilivyokuwa kwenye droo zake ambazo funguo zake alikuwa nazo mwenyewe marehemu. Kwa sababu sikuwa najua alipokuwa ameweka funguo za droo zile mbili ilibidi nizivunje moja baada ya nyingine. &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Droo ya kwanza ilikuwa na barua na karatasi mbali mbali za mawasiliano na mambo mengine. Hapo nilianza kuzisoma barua. Barua ya kwanza ilikuwa ni kutoka kwa mpenzi wake. Haikuwa ni barua ya zamani, kwani ilikuwa imetumwa kwake miezi minne tu kabla ya kifo chake. Ilitumwa na bwana aliyekuwa ametuuzia ile gari iliyohusika kwenye ajali iliyomuua. Sehemu ya barua ile ilikuwa imeandikwa: Kuhusu hilo nisawa mpenzi. &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Wewe mwambie nitawauzia kwa mkopo, tena kwa bei rahisi sana. Lakini hizo fedha utazichukua wewe. Kuhusu kwenda Harare nitakufahamisha, jaribu kwa upande wako kumwambia kwamba utakuwa na semina huko, April. Najua kufika Aprili tutaelekea huko. Nataka tuwe mahali huru na salama ili niufaidi mwili wako na wewe uumiliki wangu, Barua hii ilijaa upuuzi mwingi…… Nilipomaliza kuisoma nilihisi kama ninayeota au ambaye nitaugua kichaa. &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Ni kweli huyu jamaa ndiye aliyetuuzia lile gari iliyochukua maisha ya mke wangu kwa bei ya chini sana. Gari Nissan Pajero kwa shilingi milioni 3.5 nzuri tu,hata kama imetumika! Kumbe ulikuwa ni mpango wake na mke wangu wa kuipatia familia yangu gari. Nilienda kupekua barua na hati kadhaa. Niligundua hati ya nyumba kwa jina la mke wangu. &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Nyumba hii ilikuwa Kijitonyama. Nilipata barua nyingine. Hii ilikuwa ni ya bwana wake wa zamani lakini ilikuwa imeandikwa mwaka mmoja tu nyuma, ilikuwa ikimlaumu mke wangu kwamba hakuwa mkweli Sehemu muhimu katika barua hiyo ilikuwa imeandikwa:Ninajua wazi huyo…….ni mwanangu na hata rafiki yangu…….amesema tunafanana sana. kama umeamua kunidanganya , ni sawa, lakini kumbuka hiyo ni damu yangu. &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Sitamchukua wala kumdai lakini kujua ukweli ni muhimu kwangu.Nilipomaliza kusoma barua ile nilishikwa na kizunguzungu. Nilitulia hapo kitandani kwa muda. Halafu niliendelea kupekua kwenye karatasi hizo. Niliona barua kadhaa na kadi za mapenzi. &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Kadi mbili zilikuwa zinatoka kwa bosi wake. Barua moja ilikuwa ikitoka uingereza kwa mtu aliyeitwa P Hughes. Huyu ni wazi alikuwa ni mpenzi wa mke wangu kwa muda mfupi, alipokwenda Uingereza miaka miwili nyuma kwa kozi fupi ya miezi sita. Barua yake ilikuwa imejaa sifa nyingi, akimsifia mke wangu kwa kuwa na mwili mzuri na kuwa mtaalamu wa mapenzi na ilisifia shanga zake pia. &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Nilihisi nikibana kifua na mapigo ya moyo wangu yalikuwa kama yamesimama. Bila shaka siku ile ndipo yalipoanzia maradhi yangu ya shinikizo la chini la damu, ambayo ninayo hadi sasa.Nilivunja ile droo ya pili ambayo ilikuwa na pichas kadhaa. Zote zilikuwa ni picha za mapenzi. Nilitazama mbili za kwanza, nikatoka chumbani mle nikiyumba. &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Naomba nisiseme sana kuhusu picha hizi, kwa sababu, hata kama mtu sio mke wako, ni mwanamke unayemfahamu tu, ukiona picha zake akiwa kwenye hali kama ile, utatahayari sana. Picha unazoziona kwenye mikanda ya ibilisi au kwenye mtandao wa inteneti ndizo zilizokuwa pale kwenye droo, zikiwa ni za mke wangu na wanaume watatu tofauti.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Yule aliyejifanya kutuuzia gari na nyingine za wanaume wawili ambao sikuweza kuwafahamu. Baadae mchana baada ya kupata nguvu nilimpigia simu kaka mkubwa wa marehemu na kumwomba apite nyumbani. Huyu ni mtu wa hekima sana na hadi sasa tunaelewana sana. &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Alipofika nyumbani nilimwomba radhi na kumwonyesha barua na picha zile. Alizitazama kidogo na kunirudishia, alikaa kwa muda na kusema, “Huyu sio dada yangu niliyekuwa namfahamu mimi, hii ni aibu kubwa sana shemeji” Hakuweza kusema chochote baada ya hapo, Alipoondoka kwa huzuni kubwa nilichukua nguo zote za mke wangu, barua, picha na vitu vingine vyote ambavyo vingenipa kumbukumbu yake na kwenda kuvichoma moto. &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Nilivichomea moto shambani kwangu, Kiwangwa Bagamoyo na kufukia majivu yake. Tangu siku ile hadi leo sijakanyaga kaburini kwake, watoto wake wankwenda na huwa nawahimiza kufanya hivyo. Yule mkubwa anajua mengi hivi sasa baada ya kusimuliwa na baadhi ya ndugu. Nilimwambia kwamba maneno yale hayana ukweli. &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Lakini najua anafahamu kuwa yana ukweli, kwani kuna siku aliniiuliza, mbona haoni picha za mama yake ukutani. Nilimwambia, zinanitia uchungu zaidi. Ilibidi niende Afrika Kusini kupima DNA, ili kujua kama yule mtoto mdogo ni wangu kweli. &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Bahati nzuri ilionesha kwamba ni wangu kwa asilimia kubwa sana. Hii ilinipa moyo sana. Kilichonitokea kimenifanya nisiwe na hamu hata ya kuwa karibu na mwanamke, achilia mbali kuoa. &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Mtu ambaye umemuamini kuliko binadamu mwingine , kumbe ndiye anayefanya uasi usio na kipimo gizani. Nasema hivi mnapaswa kuwaamini wapenzi au wake zenu. Kilichonitokea mimi ni bahati mbaya na ninaamini kam marehemu angeendelea kuishi ni lazima ningekuja kumnasa. -- &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;br /&gt;******************MWISHO*****************&lt;/span&gt; &lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-6392372580091316578?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/6392372580091316578/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=6392372580091316578&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/6392372580091316578'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/6392372580091316578'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2010/02/ajali-ikafichua-siri-sehemu-ya-mwisho.html' title='AJALI IKAFICHUA SIRI! SEHEMU YA MWISHO'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S26CWtPwGcI/AAAAAAAAAVY/jNDTY2WeORE/s72-c/618658.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-8769051589615275917</id><published>2010-02-06T09:48:00.004+03:00</published><updated>2010-02-06T09:58:03.993+03:00</updated><title type='text'>AJALI IKAFICHUA SIRI!</title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S20SXEUaTdI/AAAAAAAAAVQ/Qg5PHo4notI/s1600-h/618658.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5435020512811699666" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 320px; CURSOR: hand; HEIGHT: 240px; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S20SXEUaTdI/AAAAAAAAAVQ/Qg5PHo4notI/s320/618658.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;strong&gt;&lt;span style="font-size:130%;color:#ff0000;"&gt;Ilikuwa ni ajali ya kutisha&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;* Mume alienda mazishini na ambulance kwa upendo wake&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;* Aliyewauzia gari lililomuua ni miongoni mwa wapenzi wake&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;* Picha na barua za aibu zikakutwa kwenye droo zake mbili za siri.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Tunaambiwa siku zote tusisemee mioyo ya watu wengine, kwani wao ndio wanaojua hasa nini kinaenda kwenye mawazo yao. Ni hatari kwa mfano, mtu kusema hadharani kwamba mpenzi wake hatoki nje. Anachotakiwa kufanya mtu ni kuamini kwamba mpenzi wake hatoki nje lakini sio kutangaza kwamba mpenzi wake hawezi kutoka nje. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Kuna mambo mengi sana ambayo yanaweza kuwa yanafanywa gizani na wapenzi wetu ambayo tukiyafahamu hutokea kutuumiza sana na kutufanya kuchanganyikiwa. Hebu fikiria, inakuwaje pale mume anapoamini kwamba mkewe ni mwaminifu sana na hawezi kutoka nje, iwe ni kwa jua au mvua. Bila shaka anapong’amua kwamba hutoka sana nje, kunakuwa na kuchanganyikiwa na kuumia kwa kiwango cha juu sana. Lakini jambo la kujiuliza ni hili. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Ni kwa sababu zipi hasa mtu anapendwa na kupewa kila kitu na mpenzi wake lakini bado anakwenda nje na kufanya mambo mengi, makubwa na ya aibu kiasi hiki? Kila kitu hatimaye hujifunua wazi hata kama tumefukiwa makaburini tayari! Utu na uadilifu wetu “feki” hutusuta huko mbinguni tuliko……….. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt; &lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;********************************&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Ilikuwa ni ajali kubwa na hata mimi sijui niliweza vipi kupona. Dereva na mke wangu walifia pale pale kwenye eneo la tukio. Tulikuwa tukitokea Chalinze kurudi Dar es salaam baaada ya kukagua shamba ambalo ilikuwa tulinunue katika kijiji cha Msata wilayani Bagamoyo. Mbele kidogo ya mji wa Chalinze ndipo ajali hiyo ilipotokea . &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Dereva wetu alikuwa akijaribu kulipita lori fulani lakini wakati huo huo gurudumu la mbele la gari letu lilipasuka na kusababisha gari kuyumba ambapo lililivaa lile lori. Kufuatia kuligonga huko, gari letu lilirudishwa katikati ya barabara ambapo liligongana uso kw auso na gari lingine lililokuwa linakuja mbele yetu. Sikujua kilichotokea hadi baada ya siku mbili Muhimbili. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Nilipopata fahamu ilinichukua muda kukumbuka kidogo kilichotokea. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Nilipouliza kuhusu mke wangu hakuna aliyesema kitu kati ya wale ndugu na jamaa zangu waliokuwa pale kando ya kitanda changu. Pamoja na maumivu yangu nilijua kilichokuwa kimetokea. Nilianza kulia , hata kabla hawajaniambia chochote. Kaka yangu aliponiambia “jikaze ni kazi ya Mungu, shemeji mama Rehema ametutoka” Nilipoteza fahamu. Nilipopata fahanu na kukubali kuipokea taarifa ile, niliambiwa kuwa mke wangu alifia pale kwenye eneo la ajali pamoja na dereva. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Mimi nilikuwa nimevunjika mguu wa kushoto, mkono wa kushoto na mbavu mbili na kubanwa kifuani. Hali yangu kwa kweli haikuwa nzuri lakini nililazimika kujikaza. Mke wangu alikuwa amekufa, haikuwa rahisi kukubali. Nilikuwa nampenda na yeye pia alikuwa ananipenda.Ukweli ni kwamba tulikuwa tukiaminiana sana na mke wangu ambaye nitamwita Sia {Jina linalokaribiana na jina lake halisi}. Tulikuwa tumeshibana kiasi kwamba, kulikuwa hakuna ambaye alikuwa hajui. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Nilikumbuka kwamba kwa miaka minane ya ndoa yetu tulikuwa hatujawahi kukorofishana, ukiacha kusigishana kwa hapa na pale. Nilikuwa sijawahi kumsaliti na hata yeye pia. Nilijaribu kukumbuka ahadi zetu kwa kila mmoja na kuhusu watoto wetu wawili mmoja wa kiume na mwingine wa kike. Kwa kweli ilinichukuwa muda wa saa kadhaa kukubali kwamba nilikuwa sina mke, mwili wa yule nimpendaye ulikuwa ukiganda mochuari. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Nilijikuta nikiinuka kwa nguvu na kupiga yowe nikitaka kwenda kumfufua mke wangu. Nilikuwa nimechanganyikiwa kwa kweli! Ndugu zangu na jamaa waliokuwepo pale wodini walinishika nakunituliza. Ilibidi waombe msaada kwa madaktari ambapo nilichomwa sindano iliyonipa utulivu na usingizi. Nilipoamka jioni sana , nilikuwa na utulivu kidogo, kaka yangu aliniomba nijikaze na kumrudia mungu, Aliniambia nijaribu kuukubali ukweli na hali halisi. Nilijikaza na aliniambia kwamba mazishi ya mke wangu ingebidi yafanyike kesho, kwa mujibu wa makubaliano ya ndugu wa pande zote. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Aliniambia dereva wangu alikuwa amezikwa tayari na ndugu zake. Nilimwomba kaka wauache mwili wa mke wangu ili niwe nae karibu kwa muda fulani. Kaka alinishawishi sana nikubali kwa sababu, kama mwislamu ninajua inavyokatazwa kuuweka mwili wa marehemu bila kuuzika kwa muda mrefu, bila sababu.Hatimaye nilikubaliana naye, lakini nilisema ni lazima nami niende kuzika. Kaka alinimbia kwa hali yangu nisingeruhusiwa na madaktari na wala nisingeweza kumudu kwenda makaburini Kinondoni. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Nilimwambia kaka katika yote ningemkubalia lakini sio hilo la kutomzika mke wangu. Nilimwambia, habari ya madaktari aachane nayo na kuhusu mimi kumudu ningemudu tu. Nilikataa katakata hata kusikiliza ilibidi kaka aondoke pale bila muafaka. Walikuja ndugu zangu wengine kunishawishi lakini niligoma kabisa, hadi ikabidi wakubaliane nami. Lakini walijua ingekuwa ngumu sana kutokana na hali yangu. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Kesho yake walikuwa tayari wamepata ufumbuzi. Walikubaliana na uongozi wa hospitali kwamba nipelekwe makaburini kwa gari la wagonjwa. Ni kweli nilikwenda kuzika. Pamoja na kuwa waislamu huwa hatutoi heshima za mwisho kwa kuuona mwili wa marehemu, mimi nililazimisha hadi nikaonyeshwa mwili wa mke wangu. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Alikuwa hana alama hata moja usoni kwani alikuwa ameumia miguuni hadi kifuani. Nilipomwona nilipoteza fahamu………… Tulimzika mke wangu na nikarudishwa hospitalini. Nilitoka hospitalini baada ya mwezi mmoja na kurejea nyumbani. Nyumba yangu mwenyewe ilinitisha na nilihisi simanzi kubwa kuwa mle ndani. Watoto wangu walinisikitisha zaidi. Lakini nilishaamua kuikubali hali halisi. Nilikuwa nimekubali kuanza upya maisha. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:Times New Roman;font-size:130%;"&gt;ITAENDELEA..................................&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/355810992072839076-8769051589615275917?l=kaluse.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kaluse.blogspot.com/feeds/8769051589615275917/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=355810992072839076&amp;postID=8769051589615275917&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/8769051589615275917'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/355810992072839076/posts/default/8769051589615275917'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kaluse.blogspot.com/2010/02/ilikuwa-ni-ajali-ya-kutisha-mume.html' title='AJALI IKAFICHUA SIRI!'/><author><name>Shabani Kaluse</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17192821931569912610</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='27' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/TEvqQzMRLeI/AAAAAAAAAbk/9xaJ36DECEs/S220/picha_passport.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S20SXEUaTdI/AAAAAAAAAVQ/Qg5PHo4notI/s72-c/618658.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-1064936003925689489</id><published>2010-01-28T10:24:00.004+03:00</published><updated>2010-01-28T10:31:37.547+03:00</updated><title type='text'>SIKUAMINI KAMA NI YEYE</title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S2E8AJQWFFI/AAAAAAAAAVI/nwca7orAjZQ/s1600-h/Woman3.jpg"&gt;&lt;img id="BLOGGER_PHOTO_ID_5431688598767670354" style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; WIDTH: 242px; CURSOR: hand; HEIGHT: 284px; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://2.bp.blogspot.com/_nX7FYEyLQ_Q/S2E8AJQWFFI/AAAAAAAAAVI/nwca7orAjZQ/s320/Woman3.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;span style="color:#660000;"&gt; &lt;/span&gt;&lt;strong&gt;&lt;span style="color:#660000;"&gt;Alikuwa ni zaidi ya mama&lt;/span&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/div&gt;&lt;strong&gt;&lt;span style="color:#660000;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;div align="center"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;/strong&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Sikumbuki umri wangu kamili wakati ule, lakini bila shaka nilikuwa na umri wa miaka kama sita hivi. Nakumbuka sisi nyumbani tulikuwa miongoni mwa familia za awali kupata simu nyumbani pale Tabora. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;/span&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Hata hivyo, nilikuwa tu nasikiliza baba au mama akizungumza na simu , kwani ilikuwa ikikaa juu kwenye meza fulani ndefu. Hata hivyo siku moja wakati nikicheza na nyundo, nilijigonga kidole na kuumia. Kwa sababu nilikuwa peke yangu, nilianza kulia kwa maumivu. Lakini, wazo lilinijia ambapo nilikumbuka kuhusu simu. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;Baba au mama, mara zote walipokuwa wakitaka kupiga simu, nilikuwa nikiwasikia wakisema, ‘opereta tafadhali.’ Halafu baada ya hapo, wangeuliza au kuomba jambo, ikiwemo kusaidiwa wazungumze na watu fulani.&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;/span&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Nilitafuta stuli na kupanda juu yake. Halafu niliinua simu na kusema, ‘opereta tafadhali.’ Upande wa pili wa simu ulijibu, ilikuwa ni sauti ndogo ya kike. ‘Ehe nikusaidie nini mwanangu?’ Nilianza kulia , labda kwa sababu, sasa nilisikia sauti ya mtu, yaani niliamua kudeka. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;‘Nimeumia kwa nyundo, nataka mama aje.’ Ile sauti ya upande wa pili iliniuliza, ‘unatoka damu?’ nilijibu, ‘sitoki damu ila nimeumia ,’ Ile sauti ambayo wakati huo sikuwa najua kwamba ni ya operetta ilijibu. ‘kama kuna friji nyumbani, chukua barafu halafu weka kwenye kidole chako, kitapoa tu wala usilie.’ Nilirudisha mkono wa simu na kufanya hivyo.&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;/span&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Nilikuwa naijua vizuri friji kuliko simu, hivyo sikupata shida. Nilipata nafuu na kujiambia, ‘kumbe hawa maopereta wanajua vitu vingi.’ Kwa hiyo mara kwa mara sasa wazazi wanapokuwa hawapo nyumbani , nikawa nainua mkono wa simu na kumwita operetta , ambapo nilikuwa naongea naye mambo mengi sana. Nilikuwa namuuliza maswali mbalimbali naye akawa anajibu . Basi tukazoeana angalau kwa sauti tu, bila kujuana.&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;/span&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Nakumbuka kuna wakati kasuku wa jirani yetu mmoja mwarabu alikufa. Alikuwa ni kasuku ambaye tulimpenda sana . Alikuwa akijua kuiga sauti hata kuimba . Nilipojua kwamba, kasuku amekufa, niliinua simu na kumwambia operetta juu ya kifo cha kasuku yule. Opereta alisema, ‘kuna dunia nyingine ambapo watu huenda na kuendelea kuimba.’ Nililipenda jibu lake, kwani lilinipa moyo kwamba, kasuku ataendela kuimba huko alikoenda.&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;/span&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Nakumbuka nikiwa darasa la pili, siku moja nilimuuliza opereta maana ya ‘kabwela’ Aliniambia kabwela ni mtu anayeamka akiwa hajui atakavyolala. Lakini usiku ukifika hulala. Sikulielewa vizuri jibu lake lakini nililipenda. Wakati huu nilishajua jina la operetta kuwa ni Marry na mimi alishajua jina langu, ingawa tulikuwa hatujawahi kuonana..&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;/span&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Wakati huohuo nikiwa la pili, baba alipata uhamisho kwenda mkoani Tanga. Nilijua zikiwa zimebaki siku tatu tu kuondoka. Kwa kule kubabaika labda, nilisahau kumwita operetana kumwambia kuhusu kuhama.&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;/span&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Usikuwa kuamkia siku ya safari ndipo nikakumbuka kuhusu opereta wangu. Kwa kuwa wazazi walikuwepo nyumbani nisingeweza kupiga simu. Niliamua kuchukua picha yangu ambayo nilipigwa shuleni na kuiweka kwenye bahasha. Juu ya bahasha niliandika opereta Marry. Kabla hatujaondoka nilikwenda nyumbani kwa rafiki yangu mmoja tuliyekuwa tukisoma naye darasa moja .&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;/span&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;"&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;span style="font-size:130%;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Nilipofika nilimkabidhi ile bahasha na kumwomba ampe mama yake aipeleke kwa opereta. Tuliondoka Tabora nikiwa sijui kama operetta yule alipewa bahasha ile au hapana.&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;/span&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;span style="font-family:times new roman;font-size:130%;"&gt;Siku zikapita na nilisoma nakumaliza kidato cha nne ambapo nilipata kazi au ajira ya moja kwa moja {direct employment} kwenye shirika la reli {TRC} nilipangiwa Tabora kama kituo changu cha awali cha kazi. Kwa kweli hali haikuwa nzuri 
