tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post4160315963555378239..comments2023-06-18T14:45:58.364+03:00Comments on UTAMBUZI NA KUJITAMBUA: HOFU ZA MAISHA, SAWA, LAKINI........Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/17192821931569912610noreply@blogger.comBlogger3125tag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-8229882305657956792008-12-01T07:29:00.000+03:002008-12-01T07:29:00.000+03:00Kaka,nitakuwa mgeni wako mara kwa mara kwa sababu ...Kaka,<BR/>nitakuwa mgeni wako mara kwa mara kwa sababu napenda kupanua uelewa wangu.<BR/>Nakushukuru sana nawe kwa kuwa mtembeleaji wa blog yangu.<BR/>Nakutakia kila la kheri katika shughuli zako za kila siku, afya njema na furaha.<BR/>Wanasema "success doesn't bring happiness, but happiness is a key to success."<BR/>Kazi njema kaka.Fadhy Mtangahttps://www.blogger.com/profile/10322331153810581894noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-33265621377938136542008-12-01T06:53:00.000+03:002008-12-01T06:53:00.000+03:00Ahsante kaka Mtanga kwa kunitembelea.Ukweli ni kwa...Ahsante kaka Mtanga kwa kunitembelea.<BR/>Ukweli ni kwamba nilivutiwa sana na maoni yako uliyoyatoa kwenye blog ya Yasinta Ngonyani.<BR/>Nilipoyasoma niliishiwa na maneno.<BR/>Nakukaribisha tena na tena uje tujitambue.Anonymoushttps://www.blogger.com/profile/17192821931569912610noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-355810992072839076.post-50735294768985855122008-11-30T18:05:00.000+03:002008-11-30T18:05:00.000+03:00Kaka,Awali ya yote, napenda kukupongeza sana kwa k...Kaka,<BR/>Awali ya yote, napenda kukupongeza sana kwa kuwa mwanablog. Blog yako, pamoja na uchanga wake ni nzito, imesheheni fikra makini juu ya maisha.<BR/>Nilipoyasoma maoni yako kwenye blog ya dada Yasinta nilisukumwa kuzuru kijijini mwako. Kama nilivyohisi kabla sijafika, blog yako ni babkubwa. Kaza uzi kaka.<BR/>Napenda kukukaribisha kijijini kwangu, usome mashairi, ili nawe ufikiri.<BR/>Ni hayo tu!<BR/>Kazi njema.Fadhy Mtangahttps://www.blogger.com/profile/10322331153810581894noreply@blogger.com