0715 72 92 92

SHABAN KALUSE

Kwa Matangazo na mambo mbalimbali & Wasiliana Nami

http://www.serenahotels.com/serenadaressalaam/default-en.html

Feb 14, 2011

ILIKUWA NI NASIBU AU?

Jana nilitembela kituo chetu cha tiba mbadala kinachoendeshwa na wanautambuzi wenzangu wakiongozwa na Dk. John Simbila na Mwenzie Emmanuel, na katika hali isiyotarajiwa tulijikuta wote tukiwa tumevaa fulana zinazofanana, lakini cha kushangaza zaidi ni pale nilipogundua kuwa hata makubazi (Sandles) alizovaa Dk. John na za kwangu zimefanana vile vile. Kutoka kushoto Dr. John Simbila, katikati ni Emmanuel na anayefuatia ni mimi.
This Blog Designed by DonSoo, Contact 0656212326.DonSoo
Kaa Karibu na Mimi