Jana nilitembela kituo chetu cha tiba mbadala kinachoendeshwa na wanautambuzi wenzangu wakiongozwa na Dk. John Simbila na Mwenzie Emmanuel, na katika hali isiyotarajiwa tulijikuta wote tukiwa tumevaa fulana zinazofanana, lakini cha kushangaza zaidi ni pale nilipogundua kuwa hata makubazi (Sandles) alizovaa Dk. John na za kwangu zimefanana vile vile. Kutoka kushoto Dr. John Simbila, katikati ni Emmanuel na anayefuatia ni mimi.
Feb 14, 2011
Subscribe to:
Posts (Atom)