Wasomaji wapendwa, tangu juzi nilikuwa naandaa majumuisho ya makala ya muda ambayo niliiweka hapa na kupata changamoto toka kwa wadau mbalimbali, lakini kwa bahati mbaya compiuta yangu imeingia virusi ambavyo vimetafuna mafaili yangu yote.
Kibaya zaidi virusi vyenyewe nilivibeba na flash disc, ambayo nayo imekwenda na maji, imekuwa kaputi.
Jana kutwa nzima nilikuwa na fundi wangu akijaribu kuinusuru, kwa kuifomati na kuweka windo mpya, kazi ambayo ilikamilika jioni kabisa.
Naomba msibabaike, naamini kila kitu kitaenda sawa kwani natarajia mpaka kesho nitarejea ulingoni.
Kibaya zaidi virusi vyenyewe nilivibeba na flash disc, ambayo nayo imekwenda na maji, imekuwa kaputi.
Jana kutwa nzima nilikuwa na fundi wangu akijaribu kuinusuru, kwa kuifomati na kuweka windo mpya, kazi ambayo ilikamilika jioni kabisa.
Naomba msibabaike, naamini kila kitu kitaenda sawa kwani natarajia mpaka kesho nitarejea ulingoni.