Kuna mdau amenitumia hii picha ya ng'ombe, lakini hakunieleza kwamba hii picha aliipiga wapi, na alikuwa anataka kufikisha ujumbe gani kwa wasomaji wa blog hii. Lakini nikiangalia hawa ng'ombe naona kama wamekonda hivi na hii sio ishara nzuri, nadhani hii inaashiria kwamba kuna ukame katika eneo hilo ilipopigwa hii picha. naomba wadau mnisaidie hivi hapa ni wapi?
Nov 13, 2008
Subscribe to:
Posts (Atom)